Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
- Thread starter
-
- #81
Jiandae kwa vitimbi visivyo kwishaMimi nawaza kuja na ideas zangu kama mbil ivi, ni heavy maana ni uzalishaji wa ...sitasem moja kwa moja, ambpo nikifanikiwa nitatengeneza ajira za kudumu kwa vijana wa tz, ila nawaza sasa nitakavyopigwa vita na ccm, sjui mpk uwe benet nao dah mpk nakat tamaa, nawaza labd niende abroad.
Haiti inaongoza dunia kwa kuwa na maduko ya kuuza uchawi yaani voodoo shopsHawa washenzi Haiti wana soko la kuuziana uchawi ila kuuziana maendeleo hawana pumbavu kabisa
Mbona huko SA mbali aanze na bongoMwafrika ni mwafrika haijalishi yuko wapi. Ona hata black Americans. Sisi tunapenda sana lawama. Maisha wanayoishi ya kimbwa mbwa halafu baadae lawama nyingi.
Na mkuu acha kulinganisha south korea na mambo ya kipuuzi walau ungeiringanisha na south africa
Botswana wazungu wanamchango mkubwa mpaka sasaNenda pale Mauritius uone
Wahindi walipelekwa pale Kama watumwa wa mwingereza na Mfaransa Ili walime mashamba ya miwa na chai
Walienda kwa aibu,kwa mizengwe mingi ya wakoloni ila Leo nenda uone wanavyoishi utafikkiri wapo ulaya
Nenda Visiwa viwili vya Komoro na Mayotee
Vyote vilitawaliwa na Mfaransa,Comoro wakaomba uhuru huku Mayotte wakaomba kuendelwa kuwa chini ya Ufaransa
Miaka mingi,kila siku pale Komoro wanapinduana na wananchi wanapiga mbizi na kupanda mashuja waende Mayotee
Watu wapo tayari kufa maji Ili tu watoto wao wazaliwe Mayotee wapate papers na uraia wa Ufaransa Ili waende Ulaya
Waafrika bado sana,kidogo labda Botswana
AaahaaaaHamu aliuona uchi wa babaye, lakini Nuhu akatoa laana kwa Kanaani mwanaye, halafu jamani huo si uonevu kabisa kwanini asiitoe Kwa Hamu mwenyewe.
Hatufanani hata kidogo kwa majanga ya asili ya mara kwa mara kwa hayo mataifa niliyo kuorodheshea kama ambavyo kimaendeleo hatufanani nao hata kidogoSisi sio mengi isipokuwa huwa yanajirudia.
Mara nyingi kwetu huwa ni Majanga ya Mafuriko tu
Unanyonywa na huku unafanyiwa Sabotage soma vizuri Historia ya Haiti 🇭🇹 acha kuleta Hoja za Vijiweni.Mbona Japan na Ujerumani walilipa sana gharama ya vita ya pili kwa Allied Powers tena hapa juzi na Leo wameshatusua,tena Karne ya 20
Ni kweli, sisi tunaitwa Nchi za Dunia ya 3Hatufanani hata kidogo kwa majanga ya asili ya mara kwa mara kwa hayo mataifa niliyo kuorodheshea kama ambavyo kimaendeleo hatufanani nao hata kidogo
Dominka SI ipo chini ya USA?
kazungumzia madiliMaadili yanayo acha wenzao masikini wa kupindukia milele
Exactly 💯😂Mwafrika ni mwafrika haijalishi yuko wapi. Ona hata black Americans. Sisi tunapenda sana lawama. Maisha wanayoishi ya kimbwa mbwa halafu baadae lawama nyingi.
Na mkuu acha kulinganisha south korea na mambo ya kipuuzi walau ungeiringanisha na south africa
Sahihi mataifa mengi yalifanyiwa unyama ila Leo wapo mbaliHivyo ni vichaka tu
Mataifa yote duniani yalitawaliwa
Ishu siyo kutawaliwa,
Issue ni je baada ya kuwa huru unautumiaje uhuru na akili ya yako kwenda mbele
Hao wa Dominican in wabaguzi kishenzi,juzi walimweka detention pastor Joshua Mapongo wa Zimbabwe bila sababuMfano mzuri ni nchi iliyopakana na haiti, The Dominican Republic Ukizilinganisha ni mfano wa mbingu na ardhi
Soma kitabu Cha Why Nations FailBotswana wazungu wanamchango mkubwa mpaka sasa
Nini ?tu minimises.
Ni huzuni kwa kwelipopote unapomwona mtu mweusi,au mwarabu aliyeshika dini kunakuwa na tabia zinazofanana.
ukitaka kujua watu weusi tuna matatizo angalia mambo wanayofanya ccm,yaani hawana shida nyingine zaidi ya kuona nchi imeingia machafuko haitawaliki tena ndio tumaini lao.kila siku wanafanya ujinga tu.