Nenda pale Mauritius uone
Wahindi walipelekwa pale Kama watumwa wa mwingereza na Mfaransa Ili walime mashamba ya miwa na chai
Walienda kwa aibu,kwa mizengwe mingi ya wakoloni ila Leo nenda uone wanavyoishi utafikkiri wapo ulaya
Nenda Visiwa viwili vya Komoro na Mayotee
Vyote vilitawaliwa na Mfaransa,Comoro wakaomba uhuru huku Mayotte wakaomba kuendelwa kuwa chini ya Ufaransa
Miaka mingi,kila siku pale Komoro wanapinduana na wananchi wanapiga mbizi na kupanda mashuja waende Mayotee
Watu wapo tayari kufa maji Ili tu watoto wao wazaliwe Mayotee wapate papers na uraia wa Ufaransa Ili waende Ulaya
Waafrika bado sana,kidogo labda Botswana