Hivi Wazee wetu wa kuanzia Miaka ya 70 hawa Mabinti wa 20's na 30's Mnaowaoa na Kuzaa nao huwa hampigiwi na hambambikiwi Watoto kweli?

Hivi Wazee wetu wa kuanzia Miaka ya 70 hawa Mabinti wa 20's na 30's Mnaowaoa na Kuzaa nao huwa hampigiwi na hambambikiwi Watoto kweli?

Hivi kweli jamani kwa haya Maisha yetu ya Kiafrika ( hasa Kitanzania ) huku Wazee wetu nao wakiwa na Changamoto mbalimbali za Kiafya kutoka na Umri wao huo kwenda wanaweza kuwa na Uwezo wa Kumbebesha Mimba Mabinti wa miaka kati ya 25 hadi 35 na Kuzaa?

Je, hapa siyo kwamba hawa Wazee wetu wa kuanzia Miaka ya 70 Kiumri huwa Wanabambikiwa tu hizo Mimba na hao Watoto ila Ukweli ni kwamba huwa 'Wanachapiwa' tu na Madogo / Wajuba wenye Nguvu zao na Umri sahihi wa Kubandua Kisawasawa?

GENTAMYCINE nitakuwa wa mwisho Kuamini kuwa Mzee wa Umri wa kuanzia mwaka 70 anaweza / anauthubutu wa Kupandikiza Mbegu za Ujauzito kwa Binti wa kati ya Umri wa miaka 25 hadi 35 na Kuzaa ila niliambiwa kuwa huwa Wanachapiwa na Kubambikiwa hao Watoto nitakubali na kuamini kwa 100%

Haya karibuni rasmi katika Mjadala.
Mkuu una ugomvi na Professor Kapuya?[emoji1787][emoji1787]

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Wazee wana msemo wao "KITANDA HAKIZAI HARAMU".

KWAHYO WANAMESHAKUBALIANA NA LOLOTE.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Vijana tuu ndio wanamindi vitu vya kijinga kama kuchapiwa demu/mke wako. Mbususu yenyewe uzuri hainaga makombo
 
Hivi kweli jamani kwa haya Maisha yetu ya Kiafrika ( hasa Kitanzania ) huku Wazee wetu nao wakiwa na Changamoto mbalimbali za Kiafya kutoka na Umri wao huo kwenda wanaweza kuwa na Uwezo wa Kumbebesha Mimba Mabinti wa miaka kati ya 25 hadi 35 na Kuzaa?

Je, hapa siyo kwamba hawa Wazee wetu wa kuanzia Miaka ya 70 Kiumri huwa Wanabambikiwa tu hizo Mimba na hao Watoto ila Ukweli ni kwamba huwa 'Wanachapiwa' tu na Madogo / Wajuba wenye Nguvu zao na Umri sahihi wa Kubandua Kisawasawa?

GENTAMYCINE nitakuwa wa mwisho Kuamini kuwa Mzee wa Umri wa kuanzia mwaka 70 anaweza / anauthubutu wa Kupandikiza Mbegu za Ujauzito kwa Binti wa kati ya Umri wa miaka 25 hadi 35 na Kuzaa ila niliambiwa kuwa huwa Wanachapiwa na Kubambikiwa hao Watoto nitakubali na kuamini kwa 100%

Haya karibuni rasmi katika Mjadala.
UGANDA!!! mzee wa miaka 110 amuua mkewe mwenye miaka 109 kwa kumnyima unyumba!!!
 
Back
Top Bottom