my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,397
Movies zao karibia zote lazima ziwe na characters ambao ni gays. Nlikuwa nangalia Bridgerton, nmeangalia mpk episode ya 3 sijaona scenes zenye hyo mambo mpk nkajisemea wamejtahidi kweli π
Hamia za kichina, huku ni mkono na kupaaa tu...
Duh inawezekana kweli wko kwenye malengo yaoWenzako wanafanya misheni kwa malengo; hapa Bongo sanasana ni kutafuta chakula mezani. Gayism, homosexuality, is part of the religion --- New World Order, Satanism, Luciferianism, Spiritualism, Superstition, and so forth. Ni kama baadhi huku kwetu, nyimbo mpaka waimbe matusi na kudansi uchi ndipo maprodyuza wa kuzimuni waridhie kuzipeleka sokoni.
Kama zipi hzo?Ni izo tu unazoangalia wwe mbna movie nyng 2020-2021 amna izo mambo ??Na kama yapo wwe pita jifanye kama ujaona
Mi sipendi muvi za kupigana siwezi kuangalia hta kwa dakika 5Hamia za kichina, huku ni mkono na kupaaa tu...
WaΓ§ha niendelee kuangalia old school moviesMovies zao karibia zote lazima ziwe na characters ambao ni gays. Nlikuwa nangalia Bridgerton, nmeangalia mpk episode ya 3 sijaona scenes zenye hyo
Hzo ulizotaja zpo kama za ngumi mimi sipendi muvi za ngumi na kupiganaMkuu umezaliwa lini.
Hebu nambie movies kama war bus ,,predator,, terminator,delta force.,commando.
Kuna dalili ya scene za ushoga?
Tatizo directors wengi wa sasa wanakwenda na dunia inavyotaka.
Ila zipo movies nyingi za kibabe ambazo huoni hata dalili za ushoga ndani yake...
Nadhani huyu jamaa ana mwelekeo huo. Ndio maana anakutana na vitu vya fikra zakeNi izo tu unazoangalia wwe mbna movie nyng 2020-2021 amna izo mambo ??Na kama yapo wwe pita jifanye kama ujaona
inawezekana. eti movie za mkong'oto mtoto wa kiume hawezi kuziangalia [emoji2303][emoji2303][emoji2303]Nadhani huyu jamaa ana mwelekeo huo. Ndio maana anakutana na vitu vya fikra zake
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hata bongo new world order freemason wapo nyuma ya tamthilia au movies hizi wametageti kuharibu ndoa kubomoa familia, jiulize why wanawake wote wanaonyesha wakiwafokea wananume zao,wakikosa heshima kwa waume zao,wakiwadharau waume zao,hakuna heshima Hakuna ndoa.Wenzako wanafanya misheni kwa malengo; hapa Bongo sanasana ni kutafuta chakula mezani. Gayism, homosexuality, is part of the religion --- New World Order, Satanism, Luciferianism, Spiritualism, Superstition, and so forth. Ni kama baadhi huku kwetu, nyimbo mpaka waimbe matusi na kudansi uchi ndipo maprodyuza wa kuzimuni waridhie kuzipeleka sokoni.
Who controls the world in the one control the futureMkuu umezaliwa lini.
Hebu nambie movies kama war bus ,,predator,, terminator,delta force.,commando.
Kuna dalili ya scene za ushoga?
Tatizo directors wengi wa sasa wanakwenda na dunia inavyotaka.
Ila zipo movies nyingi za kibabe ambazo huoni hata dalili za ushoga ndani yake...
Ni kimstari kidogo ila kiko deep [emoji1430]hakuna heshima, Hakuna ndoa.
Nyuso zimekunjamana kama wamelamba limaomwenzenu mwana jf dume la mbegu ndo naelekea gesti apaaa mazeee!!
View attachment 1896379