Hivi wazungu hawawezi kutengeneza movies/ series bila gay scenes?

Hivi wazungu hawawezi kutengeneza movies/ series bila gay scenes?

Zaman enzi za ITV na ABN mnakaa za baba na mama mnaangalia MUVI. Yakikaribia yale mambo ya kudendeka ITV wanaweka Tangazo. Sasa izi season za sasa huwezi amini hadi za kikorea zipo za kulana kisamvu mwa mwi. Asee muvi za kukaa sisi na watoto wetu kuziangalia kwa pamoja hazipo sokoni. Watoto wetu wataharibika sana.
Ipo genre kwenye movies inaitwa FAMILY. Angalia hizo mkuu na familia yako.

Au angalia animations. Hazina mambo ya ushoga na adult scenes. Zinafaa kuangalia na familia yako.

Movies kama; UP, WRECK IT RALPH, COCO, BABY BOSS, LUKA, THE INCREDIBLES, HOTEL TRANSVANNIA, etc.

Zipo series za familia mfano KYLE XY , na YOUNG SHELDON. Hutojutia, hazina ushoga wala nudity scenes.
 
Hamia za kichina, huku ni mkono na kupaaa tu...
Tafuta ya kichina inaitwa inaitwa "Frozen Flower" mfalme gay anayapakuliwa na mlinzi wake, akamruhusu amle mkewe ili wapate mtoto, jamaa kanogewa.
 
Hamia za kichina, huku ni mkono na kupaaa tu...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Dah nimechekaaaa
 
Movies zao karibia zote lazima ziwe na characters ambao ni gays. Nlikuwa nangalia Bridgerton, nmeangalia mpk episode ya 3 sijaona scenes zenye hyo mambo mpk nkajisemea wamejtahidi kweli [emoji23]

Hee kufika episode ya 4 wameonyesha gays km kawaida yao. Halafu scene yenyewe ina km sekunde 5 tu hta wasingeweka kisingeharibika kitu.

Tena km netflix ndo lazma ziwepo scenes km hzo. Mfano kwnye tamthilia ya elite wamemfanya mtoto wa kiume wa kiarabu ambae anatokea familia ya islam kua gay. Halafu dada yke akawa na uhusiano na mwanaume mkristo.

Hivi wazungu hawawezi kutengeneza movies bila kuwa na homosexuality?
Mpango maalum
 
Movies zao karibia zote lazima ziwe na characters ambao ni gays. Nlikuwa nangalia Bridgerton, nmeangalia mpk episode ya 3 sijaona scenes zenye hyo mambo mpk nkajisemea wamejtahidi kweli 😂

Hee kufika episode ya 4 wameonyesha gays km kawaida yao. Halafu scene yenyewe ina km sekunde 5 tu hta wasingeweka kisingeharibika kitu.

Tena km netflix ndo lazma ziwepo scenes km hzo. Mfano kwnye tamthilia ya elite wamemfanya mtoto wa kiume wa kiarabu ambae anatokea familia ya islam kua gay. Halafu dada yke akawa na uhusiano na mwanaume mkristo.

Hivi wazungu hawawezi kutengeneza movies bila kuwa na homosexuality?
Wakati mwingine chuki yangu kwa Taliban inapungua ninapowakumbuka HAO JAMAA.....
 
Hata bongo new world order freemason wapo nyuma ya tamthilia au movies hizi wametageti kuharibu ndoa kubomoa familia, jiulize why wanawake wote wanaonyesha wakiwafokea wananume zao,wakikosa heshima kwa waume zao,wakiwadharau waume zao,hakuna heshima Hakuna ndoa.

Lengo kuu la tamthilia hizi ni Ili mwanamke aige ajifunze ukosefu wa heshima.
Mfano halisi check tamthilia ya HUBA mcheki kibibi ni ajenda ya shetani nyuma yake.
Ni rahisi kwa mwanamke kucopy chochote kama kilivyo kwenye tamthilia yeyeto na kukipaste kwenye ndoa yake maana wengi elimu ya mambo ya kiroho hawana.

Nani wateja wakuu au ukaa mda mwingi kuangalia hizi tamthilia ni wanawake na watoto na hapa ndipo shetani anataka.
Gaysim ni kwa sababu ya maadili yetu na sheria zetu thus wanaogopa lakini hawashindwi wabongo.
Exquisite 👊
 
Mleta uzi hajasapoti comment yoyote inayomuelekeza movie zisizo na gayism
 
Tafuta ya kichina inaitwa inaitwa "Frozen Flower" mfalme gay anayapakuliwa na mlinzi wake, akamruhusu amle mkewe ili wapate mtoto, jamaa kanogewa.

Yaani nitafute movie ili nione tu namna mwanaume anavyopakuliwa samvu...yuck!!!!
 
Lengo la lucifa kutumia movie hizo ni kuipandikiza roho ya ushoga kwa vijana waone kitu cha kawaida.
TB Joshua alikuwa anatibu ushoga wakamuua.
Hakuna dhambi inayomfurahisha shetani kama ushoga baada ya kuyaachilia mapepo ya ushoga duniani yawaingie wanadamu.
 
Movies zao karibia zote lazima ziwe na characters ambao ni gays. Nlikuwa nangalia Bridgerton, nmeangalia mpk episode ya 3 sijaona scenes zenye hyo mambo mpk nkajisemea wamejtahidi kweli 😂

Hee kufika episode ya 4 wameonyesha gays km kawaida yao. Halafu scene yenyewe ina km sekunde 5 tu hta wasingeweka kisingeharibika kitu.

Tena km netflix ndo lazma ziwepo scenes km hzo. Mfano kwnye tamthilia ya elite wamemfanya mtoto wa kiume wa kiarabu ambae anatokea familia ya islam kua gay. Halafu dada yke akawa na uhusiano na mwanaume mkristo.

Hivi wazungu hawawezi kutengeneza movies bila kuwa na homosexuality?
Tena wanaharakati wakikusoma hapa watakuangukia kama nyuki. LGBTQ ni suala kama uonavyo mambo ya gender(jinsia). Wenzako wanaamini hao ni binadamu, ni kundi lililobaguliwa kwa muda mrefu. Kwahiyo, hicho unachokiona ni sehemu ya kampeni kama unavyoona kwa wanawake. Kuwa na wabunge, mawaziri, walimu n.k toka kundi hilo ili kuleta usawa kwa binadamu wote. Kwahiyo,hapo jamii inazoeshwa, watoto wakiwaona humo kwa movie, hawawezi kuja kuwashangaa mtaani. Na wao wakijisikia wanaunga mkono hoja.

So, kama hutaki vitu hivyo kwako na jamii yako, fikiria mara mbili namna ya kuvitazama.
 
Au zawakorea wanaruka ruka tu na mashuka yao wanapigana mapanga
Wakorea wanazo mbona Mkuu tena mfalme ndio gay na anapelekewa moto wakutosha, hio series inaitwa Prince kama sikosei ila uyo dogo mfalme alikufa akiwa na uyo jamaa general aliyekuwa anamjegeja alafu walivyo wahuni wanakwambia ameenda kwenye dream world yake akiedesha farasi akiwa na uyo general mjegenyaji.
 
Back
Top Bottom