Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa utamaduni wa magharibi,gayism ni kitu kinachokubalika,na Hawa gays,kama zilivyo jamii zingine zinazobaguliwa,huitaji kupata watetezi kwenye jamii,Ili waonekane ni wakawaida,Movies zao karibia zote lazima ziwe na characters ambao ni gays. Nlikuwa nangalia Bridgerton, nmeangalia mpk episode ya 3 sijaona scenes zenye hyo mambo mpk nkajisemea wamejtahidi kweli 😂
Waçha niendelee kuangalia old school movies
Hata makampuni makubwa sasahivi duniani yanabadilisha rangi za logo zao kuwa kama ile bendera ya LGBT. Inatumika nguvu kubwa sana kuuaminisha ulimwengu kuwa ushoga ni kitu cha kawaidaNikweli movie na series mpya na za kisasa zinajaa ushoga ndani either gay au lesbian hii ni mbinu ya kuaminisha dunia kwamba ni jambo la kawaida haswa media za wazungu especially wamerekani wanaeneza sana ushiga na agenda zao binafsi kwenye movie, series kama vile tyrant, empire, elite, legacie, rome na nyingine nyingi sana
Mi sipendi muvi za kupigana siwezi kuangalia hta kwa dakika 5
Dah Mbona umechelewa kubaini gay na lasb takriban movie zote na series zote hivi sasa wanatufanyia hivyo hii ni kampeni maalum wanajaribu kuifanyia duniani ili jambo lionekane lakawaida kabisa leo huoni Dunia ilivyoharibika waimbaji, wana michezo ,malaya ndio wanaonekana ndio wastarabu na ndio wanamitindo wakubwa ktk dunia wkt hata hawakusoma hawajui lolote lkn wanaonekana na wanaheshimiwa nini wamefanya ktk dunia au kuvumbua kitu ni Zero.Sasa wanatupeka huko ktk upumbavu.Movies zao karibia zote lazima ziwe na characters ambao ni gays. Nlikuwa nangalia Bridgerton, nmeangalia mpk episode ya 3 sijaona scenes zenye hyo mambo mpk nkajisemea wamejtahidi kweli 😂
Hee kufika episode ya 4 wameonyesha gays km kawaida yao. Halafu scene yenyewe ina km sekunde 5 tu hta wasingeweka kisingeharibika kitu.
Tena km netflix ndo lazma ziwepo scenes km hzo. Mfano kwnye tamthilia ya elite wamemfanya mtoto wa kiume wa kiarabu ambae anatokea familia ya islam kua gay. Halafu dada yke akawa na uhusiano na mwanaume mkristo.
Hivi wazungu hawawezi kutengeneza movies bila kuwa na homosexuality?
Ndio maana unakutana na scenes za mashoga mara nyingi.Mi sipendi muvi za kupigana siwezi kuangalia hta kwa dakika 5
Unapenda za kukumbatiana siyo? Basi enjoyHzo ulizotaja zpo kama za ngumi mimi sipendi muvi za ngumi na kupigana
kazi ipoMi sipendi muvi za kupigana siwezi kuangalia hta kwa dakika 5
Hata korea kuna baadhi ya series wanaweka hizo mambo ila sio waziwazi kama wazungu.Au zawakorea wanaruka ruka tu na mashuka yao wanapigana mapanga
FILM FUNDING COMPANIES WANATOA CONDITIONS ZAO. ILI WAWEKE MTONYOMovies zao karibia zote lazima ziwe na characters ambao ni gays. Nlikuwa nangalia Bridgerton, nmeangalia mpk episode ya 3 sijaona scenes zenye hyo mambo mpk nkajisemea wamejtahidi kweli 😂
Hee kufika episode ya 4 wameonyesha gays km kawaida yao. Halafu scene yenyewe ina km sekunde 5 tu hta wasingeweka kisingeharibika kitu.
Tena km netflix ndo lazma ziwepo scenes km hzo. Mfano kwnye tamthilia ya elite wamemfanya mtoto wa kiume wa kiarabu ambae anatokea familia ya islam kua gay. Halafu dada yke akawa na uhusiano na mwanaume mkristo.
Hivi wazungu hawawezi kutengeneza movies bila kuwa na homosexuality?