Hivi wenzetu mnaowapanga wanaume au wanawake huwa mnawezaje




Lakini mmnh ?!

Mwenyezi Mungu atuhurumie zaidi!

Halafu mkeo unamuaminisha kuwa ndiye wa pekee na kwamba duuh!

Huruma aisee!
 
Sijaolewa n bikra nishapita sehemu kaza wa kaza lkn Kuna umri ulinifikia nikaona hayo yote ya Nini nikatulia zangu na sio kwamba mm mtakatifu Sana nna mabaya yangu lkn kwenye swala la mshedede sipuyangi puyangi
Una tofauti gani namm?.

Nimeoa, Nina mwanamke mzuriii mnooo, unajua mzuri?? Nina Mke mzuuuriii sana na kanizalia watoto wazuriiiiii.



Hayo mabaya yako....Mimi sio mabaya yangu .

Ukiachilia Kula mbususu, Mbinguni ninaingia mapema Asubuhi !!.


Mara ya mwisho umesaidia lini watoto yatima?
 
😂😂😂😂 Lkn uzuri wa mkeo haujakusaidia kitu bado unambumbusuka tu nyie wanaume nyie hapana ndio Mana nakuambia siwez shindana na mwanaume nawasaidia kila siku maana naishi nao
 
😂😂😂😂 Lkn uzuri wa mkeo haujakusaidia kitu bado unambumbusuka tu nyie wanaume nyie hapana ndio Mana nakuambia siwez shindana na mwanaume nawasaidia kila siku maana naishi nao
Toka umeolewa hutongozwi?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…