Hivi wenzetu mnaowapanga wanaume au wanawake huwa mnawezaje

Hivi wenzetu mnaowapanga wanaume au wanawake huwa mnawezaje

Kwanza, Simu yangu Ina Password kwenye contact, Calls, msg, gallery na pia Nina App zangu za kuficha Baadhi ya Taarifa.


Pili, Ukiwa na wengi kama wee ni mwanaume lazima Ujiamin, úsiwe na woga au wasiwasi wa kukamatwa n.k.

Tatu, Lazima uwe umeshatengeneza mazingira Kwa Wife ya yeye kujua unaopendwa na Wanawake wengine huko mtaani ila huwataki,unamtaka wife wako tuu .

Nne, Ongea na simu au chat Kwa kujiamin hata kama mko na Wife, ukipigiwa simu na Mchepuko, wee pokea tu alafu Lopokaa "Nambieee Mpenzi wangu , wee unapiga simu muda Huu Niko na Mkalia Moyo wangu je huogopi Mwenye Mali kukupiga finboo??. Alafu chekaa chekaaaa ... hapo mchepuko atajiongeza , mtapiga Stori zingine na Hata ukikata Simu, Wife atajua ni masihara akitaka kujua zaidi ,unazugaa, Aaahhh Kadada fulan ka kazin huko kana visaaaaaa akooo!!


Tano, Hakikisha Michepuko yako inajua wee ni Mume wa mtu ,yaan akupe mbususu akijua huwezi kumuoa na kwamba wee ni Mume wa mtu.

Sita, Hakikisha unamjali sana Mkeo, na familia, yaaan wasipungukiwe kitu, hakikisha hakikisha hata shooo unampa ya maana mkeo , msifie sana Mkeo ,wakati unamla unamwambia yaan Wife kiukweli Toka nizaliwe sikuwah kutana na utamu huuu ,umenifanya Wanawake wengine ni waone kama wanaume wenzangu, Sina hamu nao hataaaaa !!.



Kwa ufupi, mambo mengi nishayaeleza humu kupitia nyuzi zangu, naweza kuhitimisha Kwa kusema
[emoji117]kua Alpha Male !!
[emoji117]Mfanye Mkeo / michepuko wawe watumwa wako KIHISIA !!.
[emoji117]Jua wajibu na majukumu yako kama Kichwa Cha familia, na kama Bwana wa michepuko.
Legendary mwenyewe

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
 
Wanawake walioko kwenye ndoa kumbe wengine wanatia huruma sana nyie?!

Fikiria mumewe anavyomdanganya ilihali kumbe ni malaya tu nyie!

Mke anajiona mwenye bahati kumbe laiti angejua michepuko ina-enjoy kuliko yeye asingalijiona mwenye bahati wala nini!
 
Halafu wanaume wengine kwenye ndoa hasa wale malaya Na wakware hujifanya kujali familia na mke kumbe ni hila ya kumpumbaza mke asistukie nyendo zake na hata akisikia asiweze kuamini kirahisi!

Loog! [emoji848]
 
Imeandikwa: “mke mwema hakosi kuzijua njia za watu wa nyumbani mwake “

Maana yake including mume wake [emoji108]

Sasa mke michepuko mpaka inazalishwa huna habari!
 
Kuna wanawake wengine wanakuja kujua mumewe alikuwa na mchepuko wa kudumu na watoto wakati wa msiba wa huyo mume !

Mwanamke wa ndoa aliposikia nazani Na machozi ya kulia msiba wa hiyo mume yalikata hapohapo mazima!
 
Wee hujampanga andunje na matall dark and hansome kweli
Katika vitu nashindwa ni kuwapanga wanaume, kwanza nitakamatwa sababu sinaga siri. Huyo mmoja tu ananipasua kichwa hao wengi nawawezea wapi mie. Sema nina tabia ukinikwaza nikakwazika kweli sichukuagi round nasepa. Ukisikia siku nina mtu sio eti nachepuka ujue ndio nshahamia huko mazima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika vitu nashindwa ni kuwapanga wanaume, kwanza nitakamatwa sababu sinaga siri. Huyo mmoja tu ananipasua kichwa hao wengi nawawezea wapi mie. Sema nina tabia ukinikwaza nikakwazika kweli sichukuagi round nasepa. Ukisikia siku nina mtu sio eti nachepuka ujue ndio nshahamia huko mazima.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ah safi...kwa hiyo bado unapambana na andunje wako🤣🤣🤣
Una moyo ngumu maana watu wafupi wakorofi hao.
Aya andunje akizingua basi unitonye nirushe karata yangu nyingine
 
Ah safi...kwa hiyo bado unapambana na andunje wako[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Una moyo ngumu maana watu wafupi wakorofi hao.
Aya andunje akizingua basi unitonye nirushe karata yangu nyingine
[emoji23] Alafu huwa nakuambia sio andunje bwana khaa!! yaan matani ya siku ile umeyabeba hadi leo muone kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio wanawake wote tupo hivyo Kuna mengine unakutana nayo ya usaliti Tena mkubwa tu unafumba macho maisha yanaenda maana kushindana na mwanaume ni ngumu na Wala hatulipizi kikubwa kukazana kutafuta hela tu.
Sikiliza Bidada, inawezekana ukawa upo sahihi.

Nimeongea Kwa uzoefu .

Muda huuu ndo natoka kutomba mwanamke wa pili Kwa siku ya Leo.

Wote ni wake za watu.

Wote Wana hasira na Waume wao.

Wa kwanza nmemtomba kuanzia saa 3 mpaka saa sita ...bao mbili za masafa marefu...

Huyu ana hasira na Mumewe, baada ya Mumewe Kutembea na Rafiki yake kipindi Yeye kasafiri kwenda kumuuguza Mama yake hiyo ilikua ni Mwaka 2021 , ila mpaka Leo anakinyongo naye na Mume alikiri .... Mnyamwezi najipigia.


Wa pili naye nimepiga bao 2 kuanzia saa nane mpaka saa 11 na dakika 50 hivi .

Huyu Yeye ana hasira na kinyongo Kwa Mumewe, mwaka 2020 akiwa na mimba alojifungua mwaka 2021, aligundua ,Mumewe ametembea na Binti wa Dada yake , Binti huyu alikua kidato Cha nne ,alisomea Kwa Bidada huyu ( Mama Mdogo).........


Juzi ijumaa, nimemla mwingine, yeye ana kinyongo Kwa Mumewe kufuatia Mumewe Kutembea na Binti fulan mtaani kwao.

Hao ni baadhi ya wake za watu nilowala ambao sababu kubwa ya kuliwa ni hasira juu ya Waume wao !!.





my Dear, wee sema hujakutana na vichwa, yaan Mwanamke ajue Mumewe anamsaliti, na athibitishe, na Bado asiwe na Roho ya kisasi?? 🤣🤣🤣🤣
 
Kwakua umenikosea , ngoja namm nikukoseee

Bahati nzuri mnanijua, Huwa ni mtu wa jino Kwa jino.


Ni Hivi Kuna wakati mwanadam anatakiwa ajilaumu Kwa Ujinga wake na Uzito mkubwa kichwan kiasi kwamba akisoma haelewi ,akiambiwa haelewi.

Mjinga Mmoja, mpumbavuui ulojaza matope kwenye Kopo lako Hilo



Uwe unasoma na kuelewa, acha kuruka.

Mimi ni Daktari, nilipata Div One kidato Cha Nne, na One kidato Cha sita .


Post Internship Exam results zangu nilipigaaa mnoo
Onaaa nilivyopiga Mabanda
View attachment 2558304

Ukisoma kitu ,jipe muda kuelewa kilichoandikwa..


Haya weka hapa cheti chako chochote Cha kitaaluma, kama umenizidi popote kuanzia kidato Cha nne, Cha sita, chuo .

Mniite mbwaaaaa !!!.


Usikurupuke Kama Malaya alopigiwa simu Kuna mteja ana Buku Tano alafu siku nzima hajapata Kichwa.



Uelewe, nilichokiandika ni hiki.

Kwa weee unaweza kuja kwangu, na Dalili zote za Gono .

Mimi sikukuambia utombwe pekupeku na jamaa zako.

Kwa kua utakua hofu na Unahitaji kupona.

Nitakupigia mkwaraa kwelikweli wa kufanya uhisi Unaumwa gonjwa kubwaaa na zitoo ambalo litakufanya uweze kupoteza Uwezo wa kuzaa.

Kwakua Wanawake wote hamna asiyetaka kuzaa.

Utaanza kujiliza jilizaa..Sasa Doktaa nifanyejeee , nisaidieeee Mimi jamaaani , chochote nipo tayarii.


Nitakachofanya nikukupiga Hela kubwaaaa haswaaa ambazo haziendani na Matibabu yaan matibabu yako unakuta ni ya Elfu ishirini , Mimi nakupigia Laki na Hamsini.( Ndioo nakupigia kwasababu Sikukuambia ukafanye Ngono zembe ).

Tena ukinikuta nyege na uko vizuri suraa mapaja Makubwa , matakooo makubwaa

Nitakusubiri uponee alafu nakuomba K .


Uje kwangu umefanya Abortion hukoo, umepigwa na sepsis , unahitaj Evacuation , alafu nisikupige helaa??? Nitakua Sina Akili.

Sikukutuma utoe Mimba ,mjinga wee !!! Hela nitakupiga Huduma utapata, utapona, na ulivyo mjinga, hata papuchi utakuja kunipa siku zijazo na Lodge utalipia Mwenyewe !!.
Ndo umemjibuje mwenzako na wewe
 
Back
Top Bottom