Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Tutaongea usijaliAm sad hujui tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutaongea usijaliAm sad hujui tu
Nini ilikuwa shida kwako?Acha tu
Haki Tena tunamsubiriii kwa hamuu atupee mrejeshooo kwa hiyo pis yake mpyaa😅😅Hapa pashaingia upupu
Ngoja Carlos The Jackal aje atupe matokeo ya mechi basii
Wakati wao ndio wanatupanga hatariHuu Uzi naona wadada wako front kusoma mbinu za kivita[emoji1]
Huna lolote mbwembwe tu😁Nitamaliza kesho asubuhi, nawasalimia tu hapa nirudi kusakata kabumbu
Wivuuuu😅😅😅Huna lolote mbwembwe tu😁
Wa kitu gani tenaWivuuuu😅😅😅
Sasa kuweza kupata mbususu nne saba zinakuoea utamu uoni kuwa ni maendeleo?Watu wana vipaji sana sema hawavitumii sehemu sahihi tupate maendeleo
Sio wanawake wote tupo hivyo Kuna mengine unakutana nayo ya usaliti Tena mkubwa tu unafumba macho maisha yanaenda maana kushindana na mwanaume ni ngumu na Wala hatulipizi kikubwa kukazana kutafuta hela tu.Utakua boya sanaaa..nahata ukikamatwa unakata katakata kua hujaingia hata Kichwa .
Usikiri kosa la usaliti Kwa mwanamke,.
Mwanamke nibora Aishi nawee bila uhakika wakwamba unamsaliti.
Ila akijua unamsaliti, ataishi na kisasi Maisha yote na utatombewa sana.
Ndio maana napeleka nguvu kwenye mbususuWewe mzungu kwanii
Ata wewe mkuu utaachaje kula hadi mifupa maana account inasoma bil 40, huna majukumu ya ada wala nini kwa nini usiwapelekee moto warembo wenye tamaaaWapeni mbinu ya Kuteka wazee wenye Pensheni maana zile hela huwa sijui zina mapepoo.. wazeee wanawajengeaga kabisa michepuko kama sio kuwanunulia magarii. Udangaji mzuriii shida Ngoma sasa hapo ndo balaa maana wazee wakiwa na pesaa wanakulaa kila ainaa ya utamu.
Kwan hukupata notes za kajala?Wana wa Tanzania amani iwe kwenu.
Me Leo wala sina mambo mengi .....natamani tu kujua wale wenzangu mnaowapanga wanawake au wanaume zaidi ya mmoja, wawili au watatu au zaidi mnawezaje??
Me ningekamatwa day 1 kwakweli.
Yule shost angu aliyetulizwa kimazabe mazabe ndo ilikuwa zake.... yule hata 10 walikuwa wanafika. Unaweza kuta mmeenda kwenye mishe flani mnachukua Lodge unashangaa tu anakwambia G me Leo sitalala hapa nna mtu wangu nshampanga.... nabaki nashangaa mtu gani huyu kila mahali ana wa kumlala ....?
Ngoja nimuite Carlos The Jackal mtaalam kabisa atupatie uzoefu wake...inakuwaje kuwaje hawakamatwii?
View attachment 2557599
Updates baada ya kusoma comments
Carlos The Jackal ni bingwa wa kupanga wanawake
Kifupi ana nyota zake za kutosha na moto wake maalumu peponi.
Me kuiga siwezi kwakweli sio asili yanguWale wanao fanya hvyo Ni vimalaya na wana malezi mabovu usiige Kila kitu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app