Hivi wenzetu mnaowapanga wanaume au wanawake huwa mnawezaje

Hivi wenzetu mnaowapanga wanaume au wanawake huwa mnawezaje

Wajifunze kutulia.....ukishindwana na huyu ndo uwe na yule....siyo kuwapanga kimafungu....Lazima uumbuke mwisho wa siku...........em subiri kidogo....umean wote anasex nao?
 
Watu wana vipaji sana sema hawavitumii sehemu sahihi tupate maendeleo
Sasa kuweza kupata mbususu nne saba zinakuoea utamu uoni kuwa ni maendeleo?
Alafu waafrica bwana, maendeleo ni ya wadhungu tuu sie waafrica maendeleo yetu ni teuzi basi.
 
Utakua boya sanaaa..nahata ukikamatwa unakata katakata kua hujaingia hata Kichwa .


Usikiri kosa la usaliti Kwa mwanamke,.

Mwanamke nibora Aishi nawee bila uhakika wakwamba unamsaliti.

Ila akijua unamsaliti, ataishi na kisasi Maisha yote na utatombewa sana.
Sio wanawake wote tupo hivyo Kuna mengine unakutana nayo ya usaliti Tena mkubwa tu unafumba macho maisha yanaenda maana kushindana na mwanaume ni ngumu na Wala hatulipizi kikubwa kukazana kutafuta hela tu.
 
Sasa kuweza kupata mbususu nne saba zinakuoea utamu uoni kuwa ni maendeleo?
Alafu waafrica bwana, maendeleo ni ya wadhungu tuu sie waafrica maendeleo yetu ni teuzi basi.
Wewe mzungu kwanii
 
Wapeni mbinu ya Kuteka wazee wenye Pensheni maana zile hela huwa sijui zina mapepoo.. wazeee wanawajengeaga kabisa michepuko kama sio kuwanunulia magarii. Udangaji mzuriii shida Ngoma sasa hapo ndo balaa maana wazee wakiwa na pesaa wanakulaa kila ainaa ya utamu.
 
Wapeni mbinu ya Kuteka wazee wenye Pensheni maana zile hela huwa sijui zina mapepoo.. wazeee wanawajengeaga kabisa michepuko kama sio kuwanunulia magarii. Udangaji mzuriii shida Ngoma sasa hapo ndo balaa maana wazee wakiwa na pesaa wanakulaa kila ainaa ya utamu.
Ata wewe mkuu utaachaje kula hadi mifupa maana account inasoma bil 40, huna majukumu ya ada wala nini kwa nini usiwapelekee moto warembo wenye tamaaa
 
Wana wa Tanzania amani iwe kwenu.
Me Leo wala sina mambo mengi .....natamani tu kujua wale wenzangu mnaowapanga wanawake au wanaume zaidi ya mmoja, wawili au watatu au zaidi mnawezaje??
Me ningekamatwa day 1 kwakweli.

Yule shost angu aliyetulizwa kimazabe mazabe ndo ilikuwa zake.... yule hata 10 walikuwa wanafika. Unaweza kuta mmeenda kwenye mishe flani mnachukua Lodge unashangaa tu anakwambia G me Leo sitalala hapa nna mtu wangu nshampanga.... nabaki nashangaa mtu gani huyu kila mahali ana wa kumlala ....?

Ngoja nimuite Carlos The Jackal mtaalam kabisa atupatie uzoefu wake...inakuwaje kuwaje hawakamatwii?


View attachment 2557599

Updates baada ya kusoma comments

Carlos The Jackal ni bingwa wa kupanga wanawake
Kifupi ana nyota zake za kutosha na moto wake maalumu peponi.
Kwan hukupata notes za kajala?
 
Back
Top Bottom