Hivi wewe mwanamke (modern woman) unapata wapi nguvu ya kumuita mwanamke mwenzako malaya au hajatulia

Unanitamanisha ujue πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ngoja nifanye jambo nilikuwa sina ratiba ya kutoka
🀣🀣🀣unapenda kuzurura tu na wewe si umtume boda akuletee chupa kiasi upendacho au mpaka ukaoshe macho huko kwenye maeneo elekezi.....uzuri wa kunywa home unapata na muda wa kulala halafu ukiamka unaendelea😁
 
hatakam hujanitag ila najua kwenye hilo grup ulilosema sikosekani,,sasa bila umalaya tutajuaje ndefu na fupi,nyeupe na nyeusi,nene na nyembamba?tunachagua size zetu kabla ya kuzama ndoani😌😌😌

Sijapanik mkuu
Wewe ni miongoni mwao nawafahamu sana na shosti yenu lamomy
 
Unajijua mwenyewe na chuki zako juu ya wanawake...you will die lonely...bye
Sina chuki juu ya wanawake huwa napenda kusema kweli kuhusu wanawake. Kitu ambacho wanawake hamtaki kusikia
 
Umesema vyema
 
Kila mtu inawezekana ni malaya ila kiwango sasa,
uyo dada wakisure inawezekana ni malaya kweli lakini kuna matendo ya kimalaya anayafanya mwenzake ni makubwa mpaka yanastua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…