Hivi yale majini yakike yaliyokuwa yanapenda wanaume yameishia wapi?

Hivi yale majini yakike yaliyokuwa yanapenda wanaume yameishia wapi?

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Nayataka yanipende mimi, hivi viumbe vyakike vimeshanichosha vimebakiza kuninyang'anya uhai tu!

Heri yale majini yanamapenzi ya dhati nijipatie moja niitulize nafsi kwa anaelijua lolote anikonekti nalo, life la mapenzi na hawa watoto wa eva it's too miserable!, at any time, any where you can loose your soul!, they are very dramatic and confused!.
 
Nayataka yanipende mimi, hivi viumbe vyakike vimeshanichosha vimebakiza kuninyang'anya uhai tu!.
Heri yale majini yanamapenzi ya dhati nijipatie moja niitulize nafsi kwa anaelijua lolote anikonekti nalo, life la mapenzi na hawa watoto wa eva it's too miserable!, at any time, any where you can loose your soul!, they are very dramatic and confused!.
Nasikia yanajua kukata miuno ya hatari kama feni,hata mimi nahitaji moja tena nizae nalo kabisa
 
Nayataka yanipende mimi, hivi viumbe vyakike vimeshanichosha vimebakiza kuninyang'anya uhai tu!.
Heri yale majini yanamapenzi ya dhati nijipatie moja niitulize nafsi kwa anaelijua lolote anikonekti nalo, life la mapenzi na hawa watoto wa eva it's too miserable!, at any time, any where you can loose your soul!, they are very dramatic and confused!.
Confused and confusing as well.
Shemeji yetu wa huko darisalama hajambo...nasikia aliwanyima watu chakula 😂😂😂😂
 
Dah miaka ya 2000 uvumi wa namna hii ulitapakaa mno.
Mambo ya

"jamaa alichukuliwa kutambulishwa ukweni kwa mtumbwi Ila walipofika katikati ya ziwa, mwanamke akawaambia ameshafika, akatupa mabegi ziwani lakini maji yakapasuka, zikatokea ngazi. Walipoingia kule chini kuna mji mkubwa na Mzuri kuliko huku duniani" 😁
 
Back
Top Bottom