Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pambana bosssitaki hayo!
[emoji23][emoji23][emoji23]story hizi na mimi nimezikuta nakumbuka ni Mashujaa primary (Sahivi imekuwa secondary) wanafunzi wanasikia haruf ya pilau, mara vibwengo vifupi eti ukikutana navyo vinauliza mimi na baba yako nani mrefu ukisema baba yako vinakuchapa bakora[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ila aya maisha watanzania tumeanza kupigwa kitamboAhhh wewe kweli legend [emoji16]. Nakumbuka tulikuwa tunaogopa kwenda shule mapema sababu ya majini..
Kwamba kuna wanafunzi waliskia harufu ya pilau, walipoifuatilia hadi chooni wakakutana na sinia limejaa pilau kuku. Kimasikhara wakaanza kula lakini chakula hakiishi. Mara paap jini akatokea na akawashurutisha wale hadi wamalize. Mwisho wa siku wakapasuka tumbo [emoji16][emoji16]..
Hapo ukiangalia shuleni kuna vyoo havitumiki na vimezungushiwa miti ya miba.. Unaamini [emoji16]
[emoji1787][emoji23][emoji23]yalikuwa majini wadangaji maana story za magazetini zilikuwa zinasema eti mchumba wa jini(binadam) alivyopelekwa ujinini ikatokea migogoro kati ya binti jini na ndugu zake kwanini analeta binadam mara wakapigania bwana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Majini hayo siku hizi yote yanadanga huko ujinini
Punyeto na vilainishi vilifika kabla ya putin na ccm.Nayataka yanipende mimi, hivi viumbe vyakike vimeshanichosha vimebakiza kuninyang'anya uhai tu!
Heri yale majini yanamapenzi ya dhati nijipatie moja niitulize nafsi kwa anaelijua lolote anikonekti nalo, life la mapenzi na hawa watoto wa eva it's too miserable!, at any time, any where you can loose your soul!, they are very dramatic and confused!.