Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... halafu huwa hawapendi watu waongo na wasahaulifu kama wewe, yaani mara umesahau hata ulichoandika na kutaka kubalongofya balungwana weye mutoto weye!sifa hizo ninazo
Kwa hiyo unamaanisha majini wameamua kusepa kimya kimya baada ya kuona dunia sio Safi tena 🤣🤣🤣Majini hayakai sehemu chafu...
Wapi Malaria 2 vitu vyake hivi
Huna mvuto mkuu!! Wale wanachagua binaadamu wanaovutia kimwili na kiroho pia hawaokotezi tu kama wanavyofanya wakazi wa tabataNayataka yanipende mimi, hivi viumbe vyakike vimeshanichosha vimebakiza kuninyang'anya uhai tu!.
Heri yale majini yanamapenzi ya dhati nijipatie moja niitulize nafsi kwa anaelijua lolote anikonekti nalo, life la mapenzi na hawa watoto wa eva it's too miserable!, at any time, any where you can loose your soul!, they are very dramatic and confused!.
Nani kakwambia being handsome ni kuwa na mvuto kumvutia mtu kimapenzi?unanitusi ushawahi kuniona..?
mimi handsome
Sasa maana ya u handsome unafikiri unaishia kwenye sura tu..??
ukishaitwa handsome inamaana utanashati,muonekano, unadhifi wa uongeaji n.k
Sio uvumi ni vitu halisi ila hadi ikutokee ndio unaweza aminiDah miaka ya 2000 uvumi wa namna hii ulitapakaa mno.
Muhimu aache mzaha, kuna mambo si ya masihara hata kidogo.You may be right, with these daughters of Eve you may loose your soul. But as for Majini, are you really prepared to sell your soul to the Devil himself? I do not think it's a better alternative to your predicament.
EtieeSio uvumi ni vitu halisi ila hadi ikutokee ndio unaweza amini
MadabaMkuu hii wapi
Una bei gani nikukodishe matatuNayataka yanipende mimi, hivi viumbe vyakike vimeshanichosha vimebakiza kuninyang'anya uhai tu!.
Heri yale majini yanamapenzi ya dhati nijipatie moja niitulize nafsi kwa anaelijua lolote anikonekti nalo, life la mapenzi na hawa watoto wa eva it's too miserable!, at any time, any where you can loose your soul!, they are very dramatic and confused!.
Jamaa umeshiba makande ya nn leo?Nayataka yanipende mimi, hivi viumbe vyakike vimeshanichosha vimebakiza kuninyang'anya uhai tu!.
Heri yale majini yanamapenzi ya dhati nijipatie moja niitulize nafsi kwa anaelijua lolote anikonekti nalo, life la mapenzi na hawa watoto wa eva it's too miserable!, at any time, any where you can loose your soul!, they are very dramatic and confused!.