Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
kwaiyo mleta mada mchafu au tupigie mstari?Majini hayakai sehemu chafu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwaiyo mleta mada mchafu au tupigie mstari?Majini hayakai sehemu chafu...
Mkuu mi nataka mawili moja la mchana lingine la usikuUna bei gani nikukodishe matatu
Kwamba lengo lako unatafuta utamu wa kufinywa kwa MBELE na uisikie radha isiyokuwepo kwenye uhalisia, mnasumbuka na unyabezi wa GENTAMYCINE , mkiambiwa muoe hamtaki.Nayataka yanipende mimi, hivi viumbe vyakike vimeshanichosha vimebakiza kuninyang'anya uhai tu!.
Heri yale majini yanamapenzi ya dhati nijipatie moja niitulize nafsi kwa anaelijua lolote anikonekti nalo, life la mapenzi na hawa watoto wa eva it's too miserable!, at any time, any where you can loose your soul!, they are very dramatic and confused!.
Mcheki Z AntoNayataka yanipende mimi, hivi viumbe vyakike vimeshanichosha vimebakiza kuninyang'anya uhai tu!.
Heri yale majini yanamapenzi ya dhati nijipatie moja niitulize nafsi kwa anaelijua lolote anikonekti nalo, life la mapenzi na hawa watoto wa eva it's too miserable!, at any time, any where you can loose your soul!, they are very dramatic and confused!.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣unamaanisha mimi ni mchafu..?
mkuu kutoana ngeo ni sekunde tu wacha maneno ya ajabu!
Hahaha uoga sana yaaniHeee ulikuwa mtu mzimaaa kabisaaa 😂 Daah kumbe inawezekana
Wewe hujui hizo story zinavyotisha kama umesoma boarding school utaelewa… yaani mimi ilikuwa ikifika muda wa kwenda chooni nachanganyikiwa hata nikijisaidia haja kubwa ni kama nakimbizwa narukaruka chooni 🤣we nae lioga sana!
Hata kama mkuu ndo ujipupuu...🤣Wewe hujui hizo story zinavyotisha kama umesoma boarding school utaelewa… yaani mimi ilikuwa ikifika muda wa kwenda chooni nachanganyikiwa hata nikijisaidia haja kubwa ni kama nakimbizwa narukaruka chooni 🤣
Uoga mkuu yaani nilikuwaga muoga mnoHata kama mkuu ndo ujipupuu...🤣
kazi ipo!Uoga mkuu yaani nilikuwaga muoga mno
Nakumbuka kuna tukio fulani lilitokea I think mwaka 2010 kuna mwanajeshi alimchomaga visu mke wake mpk kufa na watoto wakashuhudia kwaiyo baada ya msiba kuisha na ndugu kutawanyika ile familia ikawa haina wa kukaa nao na sisi tulikuwa family friend wakaniomba mimi nikawape kampan haswa kulikuwa na mdogo wao lastborn alikuwa na miaka 5 halafu mimi hapo na Miaka 11, basi walikuwa wanaogopa kuingia ndani kwenda chooni halafu choo kilikuwa nnje kinaangaliana na kaburi la mama yao🥹
Huwezi amini walikuwa wananiona kama mimi ndio mtu Mzima wao watoto wakati walikuwa wakubwa hata kunizaa yaani ilikuwa ni kukimbizana nilitesekaa mno kwa uoga.. nilikuwa nahisi yule mama ananitokea 🤣🤣🤣
Tumekuwa siku hizi tunalala hata kwa Watu hatuwajui na hatuogopi Kama watatunyonga 🤣🤣🤣kazi ipo!
Tulipangwa sana zamani aisee 😃Mambo ya
"jamaa alichukuliwa kutambulishwa ukweni kwa mtumbwi Ila walipofika katikati ya ziwa, mwanamke akawaambia ameshafika, akatupa mabegi ziwani lakini maji yakapasuka, zikatokea ngazi. Walipoingia kule chini kuna mji mkubwa na Mzuri kuliko huku duniani" 😁