Hivi yale majini yakike yaliyokuwa yanapenda wanaume yameishia wapi?

Hivi yale majini yakike yaliyokuwa yanapenda wanaume yameishia wapi?

Mambo ya

"jamaa alichukuliwa kutambulishwa ukweni kwa mtumbwi Ila walipofika katikati ya ziwa, mwanamke akawaambia ameshafika, akatupa mabegi ziwani lakini maji yakapasuka, zikatokea ngazi. Walipoingia kule chini kuna mji mkubwa na Mzuri kuliko huku duniani" 😁
asalale mkuu hivyo hayapo ni hadithi tu..?
Sasa hivi vi akina eva si vitaniua!..😅
 
Nataka hata hilo la kwenye ndoto mkuu nikonekti nalo chap
wazungu wanayapenda lakini, nayaona sana kwenye movie

yanaitwa "succubus/succubi" ukitafuta huko mtandaoni unaweza ukapata njia
www.reddit.com_r_DemonolatryPractices_comments_mu4ypg_how_to_summon_a_succubus_(Samsung Galaxy...png
 
Nayataka yanipende mimi, hivi viumbe vyakike vimeshanichosha vimebakiza kuninyang'anya uhai tu!.
Heri yale majini yanamapenzi ya dhati nijipatie moja niitulize nafsi kwa anaelijua lolote anikonekti nalo, life la mapenzi na hawa watoto wa eva it's too miserable!, at any time, any where you can loose your soul!, they are very dramatic and confused!.
Pole sana mkuu.
 
😁😁 siwezi nikasema hayapo maana kwa waswazi kushuhudia watu wakipandisha majini ni experience ya kawaida kuona.

Kuhusu wakina eva.. Tafuta wa level yako tu na anaekupenda. Waliobaki ni mahusiano ni biashara 😁
Mkuu level zote nimechakaza na nimechazwa sasa nilivakiza level moja tu na ndio hiyo nayo imenichakaza mpaka nimeyakumbuka majini!
 
Mambo ya

"jamaa alichukuliwa kutambulishwa ukweni kwa mtumbwi Ila walipofika katikati ya ziwa, mwanamke akawaambia ameshafika, akatupa mabegi ziwani lakini maji yakapasuka, zikatokea ngazi. Walipoingia kule chini kuna mji mkubwa na Mzuri kuliko huku duniani" 😁
😁😁 mara akaingia gheto na mtoto mkali akamwambia zima taa upande kitandan , yule dada akanyosha mkono ukawa mrefu akazima taa, jamaa akazimia palepale😆
 
Back
Top Bottom