Hivi yale majini yakike yaliyokuwa yanapenda wanaume yameishia wapi?

Hivi yale majini yakike yaliyokuwa yanapenda wanaume yameishia wapi?

Pia kuna na zile stories za mashuleni ndani ya vyoo kuna majini mafupi🤣
Ahhh wewe kweli legend 😁. Nakumbuka tulikuwa tunaogopa kwenda shule mapema sababu ya majini..

Kwamba kuna wanafunzi waliskia harufu ya pilau, walipoifuatilia hadi chooni wakakutana na sinia limejaa pilau kuku. Kimasikhara wakaanza kula lakini chakula hakiishi. Mara paap jini akatokea na akawashurutisha wale hadi wamalize. Mwisho wa siku wakapasuka tumbo 😁😁..

Hapo ukiangalia shuleni kuna vyoo havitumiki na vimezungushiwa miti ya miba.. Unaamini 😁
 
Nayataka yanipende mimi, hivi viumbe vyakike vimeshanichosha vimebakiza kuninyang'anya uhai tu!.
Heri yale majini yanamapenzi ya dhati nijipatie moja niitulize nafsi kwa anaelijua lolote anikonekti nalo, life la mapenzi na hawa watoto wa eva it's too miserable!, at any time, any where you can loose your soul!, they are very dramatic and confused!.
Dah basi Tafuta mshangazi akupe Mahari upeleke kwao uoe .. ujilie vya halali bila stress za watoto wa elfu 2
 
Ahhh wewe kweli legend 😁. Nakumbuka tulikuwa tunaogopa kwenda shule mapema sababu ya majini..

Kwamba kuna wanafunzi waliskia harufu ya pilau, walipoifuatilia hadi chooni wakakutana na sinia limejaa pilau kuku. Kimasikhara wakaanza kula lakini chakula hakiishi. Mara paap jini akatokea na akawashurutisha wale hadi wamalize. Mwisho wa siku wakapasuka tumbo 😁😁..

Hapo ukiangalia shuleni kuna vyoo havitumiki na vimezungushiwa miti ya miba.. Unaamini 😁
Halafu kweli kulikua na vyoo vimewekwa miiba karibu kila shule😁
 
Back
Top Bottom