Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
wakishua wanakuwa busy na games plus story za walioyaona katika study tours Europe 😁Lakini Kwa Wakishua Huwezi Shuhudia Hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakishua wanakuwa busy na games plus story za walioyaona katika study tours Europe 😁Lakini Kwa Wakishua Huwezi Shuhudia Hayo
😂😂😂😂😂😂Wewe sio jini, jini gani halina hela..?
wewe ni jini la bongo movie kwenda tapeli mkubwa wewe!
Ahhh wewe kweli legend 😁. Nakumbuka tulikuwa tunaogopa kwenda shule mapema sababu ya majini..Pia kuna na zile stories za mashuleni ndani ya vyoo kuna majini mafupi🤣
Yakijitokeza mnistue na mimi.Nasikia yanajua kukata miuno ya hatari kama feni,hata mimi nahitaji moja tena nizae nalo kabisa
EE! EEE! EEEEHela ipo kaka?
Utanipa girlfriend allowance
Mkuu umepata kama uko serious, nitajie tarehe yako ya kuzaliwa na jina la mama yako mzazi. Nikutumie jini moja la kihabeshi toka lamu. Yanahitaji Pete tuu siyo gharama sana haizidi 50k.Nataka hata hilo la kwenye ndoto mkuu nikonekti nalo chap
Syllabus ndo inaenda mbio😹kakaEE! EEE! EEEE
GIRL NIN?
KUTOKA MEALS ALLOWANCE HADI GIRL FRIEND ALLOWANCE!
Okayjini lenye true love
Bange si chai! 😅Zilikuwa bange za vijana.
Dah basi Tafuta mshangazi akupe Mahari upeleke kwao uoe .. ujilie vya halali bila stress za watoto wa elfu 2Nayataka yanipende mimi, hivi viumbe vyakike vimeshanichosha vimebakiza kuninyang'anya uhai tu!.
Heri yale majini yanamapenzi ya dhati nijipatie moja niitulize nafsi kwa anaelijua lolote anikonekti nalo, life la mapenzi na hawa watoto wa eva it's too miserable!, at any time, any where you can loose your soul!, they are very dramatic and confused!.
Sawa, subiri yaje yakutongoze kama unafikiri yana akili kama za giggy money.Mh! mi si zwazwa
Halafu kweli kulikua na vyoo vimewekwa miiba karibu kila shule😁Ahhh wewe kweli legend 😁. Nakumbuka tulikuwa tunaogopa kwenda shule mapema sababu ya majini..
Kwamba kuna wanafunzi waliskia harufu ya pilau, walipoifuatilia hadi chooni wakakutana na sinia limejaa pilau kuku. Kimasikhara wakaanza kula lakini chakula hakiishi. Mara paap jini akatokea na akawashurutisha wale hadi wamalize. Mwisho wa siku wakapasuka tumbo 😁😁..
Hapo ukiangalia shuleni kuna vyoo havitumiki na vimezungushiwa miti ya miba.. Unaamini 😁
Girlfriend allowance iponext time usirudie tena
Hali imekuwa tete etiNi suala la muda tu kila mtu ataanza kuongea mwenyewe