π»π»π»Umeshakula leo?
Nasikia yanajua kukata miuno ya hatari kama feni,hata mimi nahitaji moja tena nizae nalo kabisaNayataka yanipende mimi, hivi viumbe vyakike vimeshanichosha vimebakiza kuninyang'anya uhai tu!.
Heri yale majini yanamapenzi ya dhati nijipatie moja niitulize nafsi kwa anaelijua lolote anikonekti nalo, life la mapenzi na hawa watoto wa eva it's too miserable!, at any time, any where you can loose your soul!, they are very dramatic and confused!.
Confused and confusing as well.Nayataka yanipende mimi, hivi viumbe vyakike vimeshanichosha vimebakiza kuninyang'anya uhai tu!.
Heri yale majini yanamapenzi ya dhati nijipatie moja niitulize nafsi kwa anaelijua lolote anikonekti nalo, life la mapenzi na hawa watoto wa eva it's too miserable!, at any time, any where you can loose your soul!, they are very dramatic and confused!.
ni hadithi tu za kipuuziNataka hata hilo la kwenye ndoto mkuu nikonekti nalo chap
Mambo yaDah miaka ya 2000 uvumi wa namna hii ulitapakaa mno.
Yatafute mkuu ukipata connection nistue tujipimie mabinti wa ujininiMkuu unanitamanisha sana napenda mno mauno feni tena feni bovu linakuwa linazunguka kama litaka kukatika hivi...π