Hivi zile zaidi ya millioni mia tano za yule mshindi wa Big brother zimeyeyuka?

The grass is always greener on the other side!
Kwani hizo milioni 500 aliziokota?
Tafuta kwanza hizo milioni 500 hayo ya Kikwete na Magufuli baadae!
 
[emoji102] [emoji101] Yangu macho na maskio, kwani kuna ushahidi wowote kuwa amefirisika?! Ni nani mndani wake hapa aliethibitisha hilo?! Unajua mtu hawezi weka public kila kitu anachofanya eeeh! Ngoja ni[emoji40]
 
Embu nisaidie kidogo kama sijakosea kwenye hiyo list uliyotaja kumbukumbu zangu zinaniambia ni Idris tu aliyewahi kushindaga na yule half cast mwingine aliyeondokaga na kwenda kuishi Canada baada ya kushinda au nimekosea?
 

Interest ya fixed deposit huwa zinaenda hadi 10% na ukikomaa fresh hadi 13% inategemea na bank lakini.
 
Huyo mwisho na nando walishinda mwaka gani? Tz tumeshinda mara mbili tu Richard na Idrisa Acha kupotosha
 
Amefungua kampuni mbili kubwa sana na ameajiri wafanyakazi saba hivi yani 7
 
Reactions: 911
Maneno makali ila hujadanganya...
Akili zenu ndio za kishetani.
Nazikumbuka zile raba mbayaaaaa eti kanunua milioni sita.
Visuti vibayaaaaa eti milioni tanotano.
Halafu mumsingizie Mr. shetani hayo maujinga aliyokuwa anayafanya
 
Vip yule Richard mkuu
 
Ahaaaaaa! Mbona hizo nilikuwa na dagaa tu!
 
Mwisho na Nando walishinda nini?
 
Huwa tunasomesha watu au kutafutia watu kazi lakini mtu hapangiwi matumizi ya pesa!nadhani hauko sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…