Mechanic 97
JF-Expert Member
- Feb 6, 2021
- 854
- 1,296
- Thread starter
-
- #381
Na bandari Ipo moja ya mombasa tu still Nairobi imeipiku Mombasa Sasa bongo bandari zipo tatu. Huku ya tanga ishaanza kuchanganya. Na ya mtwara ikiisubiri Ile ya mbambabay bado Kuna mtu anakaza fuvu.Nimezaliwa na kukua Dar ila ni pamawaida sana labda kwa idadi ya watu na bandari ila kama umetembea miji ya Nairobi N. K ndio utaamini na kujua kwamba maendeleo sio bandari tu
Ni swala la mudaNa bandari Ipo moja ya mombasa tu still Nairobi imeipiku Mombasa Sasa bongo bandari zipo tatu. Huku ya tanga ishaanza kuchanganya. Na ya mtwara ikiisubiri Ile ya mbambabay bado Kuna mtu anakaza fuvu.
Yaani mda mwingine mi nashangaa mtu analipwaje elfu tatu, nne, Tano kutwa nzima. Kuna mikoa ukitangaza Hilo dau mikoa mingine hiyo kazi unaweza fanya mwenyewe.Quantity au quality? wengi kweli halina ubishi ila wenye uwezo kwa maana purchasing power labda 30% tu population. Dar maeneo yenywe watu wengi ni maneneo maskini sana uwezo wakununua sigara moja moja na mafuta ya kupima.
New York haijawahi pitwa na Washington
Lagos haijawai pitwa na Abuja
Mumbai haijawai pitwa na New Delhi
New York haijawahi pitwa na Washington
Lagos haijawai pitwa na Abuja
Mumbai haijawai pitwa na New Delhi
Kuna tena ? Nipo huku!Haya Sasa mtwara[emoji95][emoji95][emoji95][emoji95]
Ni ya mdaa ila nimeiona leo nikaona nishare kidogoKuna tena ? Nipo huku!
Hivi kwani Dar ina maajabu gani yani kwa mfano? Dar ni mji wa hivyo sana, Dar utaiona ya maana kama haujatoka nje ya nchi. Ukitembea utaiona ni Jalala tu, mipangilio ya miundombinu, hovyo, huduma za kijamii shaghalabaghala, Dar ni takataka tu linalobebwa na serikali.Wakuu ni hivi kutokana Hali ilivyo sasa naona kuna kila sababu ambayo itaitoa Dar kama namba moja katika swala Zima la uchumi. Sababu ni hizi.
1. Kuhamishwa Kwa ikulu na ofisi za Serikali. Hii imepunguza idadi kubwa ya watu ambao wangelazimika kusafiri na kuwepo mjini Dar. Hivyo imepunguza wananuzi wa mahitaji na huduma mji Dar es Salaam.
2. Ujenzi wa SGR ya Dar Hadi Dodoma hii itapelekea kuhamishwa kwa viwanda vingi kwani vikiwepo Dodoma kutakuwa na urahisi wa usafirishaji wa mizigo na magarifi kutoka mikoa mingine. Pia viwanda vingi vitapenda kuwa karibu na ofisi za Serikali.
3. Ujenzi wa miundo mbinu Bora Kwa mikoa mingine Kwa kipindi kifupi kilichopita tumeshuhudia ujenzi wa miundo yenye tija Kwa mikoa mingine Mfano mpango wa upanuzi wa bandari ya Mtwara na ya Mbambabay pia ujenzi wa reli ya Mbambabay Hadi Mtwara. Kwa hiyo baadhi ya mizigo itapungua bandari ya Dar pia baadhi ya viwanda vitajengwa huko Mtwara.
4. Ukuaji wa science na technology Kwa Sasa rasilimali nyingi ambazo zilikua hazivuniki lakini Kwa Sasa Kwa mashine za kisasa za bei nafuu. Zimefanya hata wazawa na wageni wakizitumia kuvuna rasilimali zilipo mkoani Mfano Iringa kumekuwepo na viwanda vingi vya playwood ambavyo Kwa Sasa vingi vinamatawi Njombe hivi vimeifanya Dar kupunyuliwa mkiani Kwa uchumi na Iringa na uwepo wa solar na bodaboda n.k umefanya watu waweze kulima hata sehemu za mbali.
5.Ukuwaji wa center nyingine za kibiashara kama vile Mwanza, Makambako na Dodoma kutapunguza umaarufu wa Dar.
Karibu Kwa mjadala
Yani hilo suala la kuifuta dar halipo, dar itabaki kuwa dar na umuhimu kwa Tz uko palepaleLabda miaka 50 ijayo mkuu. Dar ina watu wengi mnooooooooo