Hiyo picha itafukuzisha kazi mtu. Ni suala la wakati tu…

Kikwete apumzike sasa! Alishastaafu alatulie na wajukuu zake. Fedha zinazotumika kunihudumia akienda safari nje ya nchi ni nyingi na zitakazoweza hata kuongeza madawa kwenye zahanati kadhaa vijijini. Ahurumie watu maskini wasio na pesa ya kujinunulia japo Panadol.
 
ZANU PF chama kongwe cha siasa nchini Zimbabwe chini ya Robert Gabriel Mugabe, kwa makusudi kiliamua kufuata nafasi za makamu mwenyekiti na katibu mkuu wa chama cha ZANU PF ili mwenyekiti avae kofia hizo mbili za wasaidizi wake waliokuwa na nguvu kisiasa kama colonel mstaafu Abdulrahaman Kinana na sasa pengine secretary general Dr. Emmanuel Nchimbi.

Imechukua muda kupata mrithi wa Abdulrahman Omar Kinana hivyo chama kongwe dola CCM kina ogopa nini kufanya uteuzi wa makamu mwenyekiti wa CCM bara au ndiyo wanafuata njia ya ZANU PF kama mchambuzi nguli wa siasa za vyama kongwe dola mzimbabwe anayo dadavua kete za kisiasa zinavyosogezwa ktk ubao wa mchezo wa bao la kisiasa ...

View: https://m.youtube.com/watch?v=taHHsbP_RXATusikilize mchambuzi wa siasa za Zimbabwe akielezea jinsi mwenyekiti wa chama dola kongwe ZANU PF alipoamua kufuta vyeo vya makamu mwenyekiti wa chama na pia kufuta nafasi ya katibu mkuu wa chama ili rais wa nchi na mwenyekiti wa chama kujivisha vyeo hivyo vyote kujiongezea nguvu maradufu za kimaamuzi ... kuwaondoa aina ya wanasiasa wa CCM unaoweza kuwaita kina "John Rambo" wa kisiasa aina ya Abdulrahman Kinana January Makamba, Nape Nnauye ...



Mchambuzi huyu mzimbabwe mahiri wa kumulika tamaduni za vyama dola kongwe anasema huko Russia ya Stalin na Russia ya Vladimir Putin, China n.k kulipo na vyama kama vya ZANU PF na CCM mtindo huu wa ku consolidate power yaani kujirudikia vyeo vingi mtawala mkuu ni njia ya kupeleka ujumbe nani ni bosi mkuu .

Na panga pangua kupitia mikeka ya teuzi kila usiku mara kwa mara ni njia mojawapo ya kupunguza fukuto la ndani kwa ndani ya chama na serikali yake ambapo asipopitisha chekeche lake linaloweza kumpunguzia muonekano ya kukosa nguvu na ushawishi wa kuendelea kuwa kiongozi mkuu ... nguli mchambuzi anaongeza ....
 
HISTORIA YA MAKATIBU WAKUU WA CHAMA TISHIO KWA NGUVU WALIYO NAYO NDANI YA CHAMA


SG Dr. Emmanuel Nchimbi katibu mkuu mwenye CV ya kuwa tishio kwa mtawala yeyote kisiasa kutoka na kukuzwa ndani ya chama, serikali na kidiplomasia mapito yanayomfanya kupata wafuasi wengi ndani ya chama


Daniel Chongolo katibu mkuu wa CCM aliyejiuzulu kwa utata, huyu SG / Katibu mkuu alijizolea sifa kubwa na kupendwa sana ndani ya chama kiasi ya kuwa na nguvu kubwa tishio kisiasa. Aliteuliwa nafasi hiyo iliyoachwa wazi baada ya aliyekuwa akiishikilia, Dk Bashiru Ally, kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi. Nyota ya Daniel Godfrey Chongolo ....
 

The King maker / Bwana mipango / mbobezi wa mikakati kama unataka ufanikiwe lazima ukae karibu naye usimuweke mbali maana

King maker ndiyo anaye amua nani awe Mfalme. Sifa zake ni mtu au kikundi ambacho kina ushawishi mkubwa juu ya urithi wa kifalme au wa kisiasa, bila wao wenyewe kuwa mgombea anayefaa . Waundaji wafalme wanaweza kutumia njia za kisiasa, kifedha, kidini na kijeshi kushawishi urithi...
 
Huna ulijuwalo. Kikwete ni hazina yenye thamani kubwa duniani.

Hapo ameenda kama Mtanzania lakini ni Mwenyekiti wa GPE.

Unafaihamu GPE?
 
Huyu mzee mwache apumzike mtoto wake ni waziri unafikiri anaweza kua shida na mama mnajidanganya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…