Hiyo picha itafukuzisha kazi mtu. Ni suala la wakati tu…

Hiyo picha itafukuzisha kazi mtu. Ni suala la wakati tu…

Yaan ww ndio una, maji kichwani kabisa. Nasikia ww ni bibi humu JF.

Nani amuonee wivu mzee mwizi, fisadi na, ambaye anaangaika kuwaweka kina, vipara, et al. madarakani ili waje kumlindia mali za ufisadi.Lakin ambao ni zero brain.

Mzee anavyoangaika hana tofauti na mseven na Kagame. Nyie wenye vichwa vya panz na machawa ndio washabiki wa huo upuuzi na upumbavu.
Nchi hii ni ya watanzania wote, hao wahuni mnaowatukuza watafika mwisho na kupata aibu wakiwa wazima au ahera.
 
SPECIAL REPORT KUHUSU NCHI ZA KUSINI MWA AFRIKA IKIWEMO TANZANIA

Komredi Christopher Mutsvangwa msemaji wa ZANU PF anaelezea sababu za nchi kama Tanzania, South Africa lazima mabadiliko ya vyama tawala au serikali ya umoja wa kitaifa zitatokea

View: https://m.youtube.com/watch?v=544vVDJj818 Komredi Christopher Mutsvangwa anagusia Uasi wa jeshi nchini Tanganyika wakati wa Nyerere .... Herbert Chitepo ... ni suala la muda tu mabadiliko ya kisiasa lazima yatatokea kwa amani nchini Tanzania

Komredi Christopher Mutsvangwa anasema nguli huyu msemaji mkuu wa chama cha ZANU PF veterani wa ukombozi wa Zimbabwe mwanasheria msomi, mwana diplomasia mweye utumishi wa miaka 43 kwa umma, sasa anachambua nchi hadi nchi za kusini mwa Afrika mabdiliko yatakavyokuja ...

Nchi zipi ni ngumu cha tawala kuondolewa madarakani, sababu zake ... kwanini Tanzania chama tawala CCM kama ANC ya South Afrika vinadhoofika na kuelekea kungoka au kulazimika kuunda serikali ya umoja wa kitaifa ... tofauti na Zimbabwe, Angola, Namibia, Mozambique ambapo vyama tawala kongwe vitakuwa madarakani kwa miaka 300 ijayo ....Komredi Christopher Mutsvangwa anaendelea kudadavu kwa ndani ....
 
Nchi zipi ni ngumu cha tawala kuondolewa madarakani, sababu

17 Agosti 2024
TUNDU LISSU - CCM NA DOLA NI MAPACHA WALIOUNGANISHWA KTK NYONGA, UKIITENGANISHA DOLA NA CHAMA KONGWE DOLA BASI CCM INAKUFA


View: https://m.youtube.com/watch?v=nR1fhZRSll8

mapacha walioungana katika nyonga ( siamese twin )
Mazungumzo kati ya Chief Odemba na makamu mwenyekiti wa CHADEMA bara, na Tundu Lissu anafunguka mengi Star TV Habari kipindi cha medani za siasa kilichorushwa leo tarehe 17 Agosti 2024...
 
View attachment 3072485
Kupitia hiyo picha kuna mtu atasagiwa kunguni na wapenzi wa boss lady na atafutwa kazi.

Mda utaongea.
Chura kiziwi kwa kuzira na kununa hajambo. Mambo ya maendeleo ya nchi anakuwa kiziwi ila mambo ya kutajwa watumbuliwa anayawaza sana.

Sasa TBCCM lazima kuna watu wafunge mashangazi kaja.
 
Kikwete shadow president,hao kina kinana ndio remote ya nchi

17 Agosti 2024
Harare, Zimbabwe

Mkutano wa 44 wa wakuu wa nchi na serikali wa nchi za SADC umelipongeza Jopo la Wazee wa SADC likiongozwa na Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa zamani wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Kundi la Mapatanisho na Usuluhishi, kwa kuendelea kuunga mkono mchakato wa mageuzi ya kina katika Ufalme wa Lesotho.

Mkutano huo ulisisitiza uungwaji mkono katika kukamilisha kwa mafanikio mchakato wa mageuzi katika Ufalme wa Lesotho.

1723955057074.png

Toka maktaba : Jopo la Wazee wa SADC wakiongozwa na Jakaya Kikwete kuleta mapatanisho na maridhiano nchini Lesotho.
 
Kws nini huwa anapenda kuvaa nguo oversize?
 
Check sofa Hilo na hapo ndani aisee watu wanakulq life
 
Timu Msoga haijawahi kufeli, kama unanibishia kamuulize Mkapa kilichompata pale Ukumbuni Chimwaga.

Mama kashajichanganya.
 
Back
Top Bottom