Aisee, umeona mbali.This time ameogopa kupiga simu maana teknolojia ilishamuumbua
🤣Aisee, umeona mbali.
Nchi zipi ni ngumu cha tawala kuondolewa madarakani, sababu
Mazungumzo kati ya Chief Odemba na makamu mwenyekiti wa CHADEMA bara, na Tundu Lissu anafunguka mengi Star TV Habari kipindi cha medani za siasa kilichorushwa leo tarehe 17 Agosti 2024...mapacha walioungana katika nyonga ( siamese twin )
Chura kiziwi kwa kuzira na kununa hajambo. Mambo ya maendeleo ya nchi anakuwa kiziwi ila mambo ya kutajwa watumbuliwa anayawaza sana.View attachment 3072485
Kupitia hiyo picha kuna mtu atasagiwa kunguni na wapenzi wa boss lady na atafutwa kazi.
Mda utaongea.
Kikwete shadow president,hao kina kinana ndio remote ya nchi
Mnawakuza tuu nchi inaweza kwenda pasipo wao na ikawa shwari kabisaKikwete shadow president,hao kina kinana ndio remote ya nchi