kitali
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,204
- 8,315
Mmeaua halafu bado mmekaliwaSensa mjifanyie wenyewe
Yaani mnataka mpaka hio sensa tufanye sisi Hizbullah? [emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmeaua halafu bado mmekaliwaSensa mjifanyie wenyewe
Yaani mnataka mpaka hio sensa tufanye sisi Hizbullah? [emoji848]
hata km unashinda vita utawaacha raia wako kweny buffer zone ?Wazayuni wa jf wanaona kila mtu mjinga kama walivyo wao
Na mwambie kuna maelfu ya watu wamehamishwa huko mpakani mwa Lebanon sababu ya dozi inayotembea imekua kubwa
wamerusha roketi zaidi ya 900 lakini madhara ni zero. hapo sasa wanajisifu nini hawa magaidi wapumbavu?View attachment 2896356
Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa tangu vilipoanza vita vya Gaza hadi sasa imetekeleza operesheni 961 dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
Kwa mujibu wa IRNA, katika mashambulizi hayo kambi na vituo vya kijeshi vya utawala wa Kizayuni na askari wa utawala huo katika eneo la kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu wamelengwa mara kadhaa na mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani.
Aidha, Hizbullah ya Lebanon ilitangaza jana Jumapili kwamba imevilenga kwa makombora vituo vya Roysat al-Alam na Zabadin katika mashamba ya Shabaa ya ardhi za Lebanon zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo ghasibu.
![]()
Sambamba na kuanza operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa iliyotekelezwa na makundi ya muqawama ya Palestina Oktoba 7, 2023, harakati ya Hizbullah ya Lebanon imekuwa nayo ikitekeleza oparesheni kali kila siku dhidi ya ngome za utawala wa Kizayuni ili kuzidi kuwashughulisha askari wengi wa jeshi la Kizayuni kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kupunguza mashinikizo dhidi ya muqawama katika eneo la Gaza.
Operesheni za Hizbullah zilianza siku moja tu baada ya kuanza operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa sambamba na uvamizi wa utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza.
Kuhusiana na suala hilo, vyombo vya habari vya Kizayuni vimekiri mara kadhaa kwamba Hizbullah ingali ina nguvu kubwa zaidi za kijeshi katika eneo la kaskazini mwa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kwamba jeshi la Israel limenasa kwenye mtego wa eneo hilo.../
Wanstia aibu, mashambulizi 961 yalipaswa kuwa yameleta kama sio kuangamiza pa kubwa IDF, waendelee hivyo muda SI muda wataanza kupapaswa kama sio kuoelekewa moto kabisa
Israhell iliikalia Lebanon kabla kuzaliwa kwa HizbullahMmeaua halafu bado mmekaliwa
Vip Golan HeightsIsrahell iliikalia Lebanon kabla kuzaliwa kwa Hizbullah
Hizbullah ndio inarejesha sehemu za Lebanon zilizokua zimetekwa na hao mazayuni
Hata kama unashinda vita utawaacha raia wako chini ya wale walio wateka?hata km unashinda vita utawaacha raia wako kweny buffer zone ?
Golan ipo Lebanon sehemu gani [emoji3]Vip Golan Heights
Kuna kaposhen Golan ipo East upande wa Syria na West ipo Lebanon nimepasahauGolan ipo Lebanon sehemu gani [emoji3]
Na mashamba ya shebaa na kule bint jubeir nayo vp? 🤔Kuna kaposhen Golan ipo East upande wa Syria na West ipo Lebanon nimepasahau
Toka kipindi hicho wamefanya nini maana sasa hivi nasikia wanapigwa kipigo cha mbwa-kachoka huko Lebanon kusini,.View attachment 2896356
Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa tangu vilipoanza vita vya Gaza hadi sasa imetekeleza operesheni 961 dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
Kwa mujibu wa IRNA, katika mashambulizi hayo kambi na vituo vya kijeshi vya utawala wa Kizayuni na askari wa utawala huo katika eneo la kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu wamelengwa mara kadhaa na mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani.
Aidha, Hizbullah ya Lebanon ilitangaza jana Jumapili kwamba imevilenga kwa makombora vituo vya Roysat al-Alam na Zabadin katika mashamba ya Shabaa ya ardhi za Lebanon zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo ghasibu.
![]()
Sambamba na kuanza operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa iliyotekelezwa na makundi ya muqawama ya Palestina Oktoba 7, 2023, harakati ya Hizbullah ya Lebanon imekuwa nayo ikitekeleza oparesheni kali kila siku dhidi ya ngome za utawala wa Kizayuni ili kuzidi kuwashughulisha askari wengi wa jeshi la Kizayuni kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kupunguza mashinikizo dhidi ya muqawama katika eneo la Gaza.
Operesheni za Hizbullah zilianza siku moja tu baada ya kuanza operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa sambamba na uvamizi wa utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza.
Kuhusiana na suala hilo, vyombo vya habari vya Kizayuni vimekiri mara kadhaa kwamba Hizbullah ingali ina nguvu kubwa zaidi za kijeshi katika eneo la kaskazini mwa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kwamba jeshi la Israel limenasa kwenye mtego wa eneo hilo.../
Waho madrasaKwani Hizbullah alisema anaenda kukomboa ardhi
Akiamua ardhi anaibeba kama alivyo ibeba mwaka 2006 na hamna wakunfanya kitu