Trubarg
JF-Expert Member
- Jan 8, 2020
- 4,388
- 7,223
Yah .watu hawaelewi but ipo siku wataelewaYeah Alaf sio kwamba wako bora kama inavyosemekana.
Wale wana investiment kubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah .watu hawaelewi but ipo siku wataelewaYeah Alaf sio kwamba wako bora kama inavyosemekana.
Wale wana investiment kubwa
kuna wakala mkubwa kabisa wa Oryx karibu na mie, hao wengine hawapoKwanini unatumia hiyo? Je unahisi ni bora zaidi ya hizo zingine?
ndo maana nmesema hao jamaa wanamanipulate wateja.Shida ya bati zetu ni Rangi.....mengine Mabati yoote yanafanana.
Ukumbuke Alaf, Sunshare, Dragon, Bati Bomba wote supplier wao ni Mmoja tu na ni China, India, South Africa.
Okey...so unaamini kwamba gesi zote zinafanana na zinakuja pamoja kama inavyokuja petrol. The only difference ni kufungashio.kuna wakala mkubwa kabisa wa Oryx karibu na mie, hao wengine hawapo
Plus naagizia kwa app (ambayo huyu wakala amekuwa registered huko), mtungi unakuja mpaka home
Nitag huo uziNenda kasome uzi wangu wa " Elimu kuhusu Mabati" kuna makala iliyoshiba kuhusu hili jambo.
na uchakachuziOkey...so unaamini kwamba gesi zote zinafanana na zinakuja pamoja kama inavyokuja petrol. The only difference ni kufungashio.
na uchakachu
Unahamisha magoli aseeee..acha tufunge goli lilipo kwanza la mabati....Kwanini unatumia hiyo? Je unahisi ni bora zaidi ya hizo zingine?
SureUnahamisha magoli aseeee..acha tufunge goli lilipo kwanza la mabati....
Aisee! Hebu tuelekeze hapa inakuaje kuaje.na uchakachuzi
hapana kwa kweli, ntaitwa maketingi ofisa wa alaf bureAisee! Hebu tuelekeze hapa inakuaje kuaje.
uchakachuaji wa gas ndo naisikia leo mkuu.hapana kwa kweli, ntaitwa maketingi ofisa wa alaf bure
wanapunguza gesi mle ndani, wanahamishia kwenye mtungi mwengineuchakachuaji wa gas mimi ndo naisikia leo mkuu
Hisia tu hizo..utakuja shangaa ata huko oryx wanafanya the samewanapunguza gesi mle ndani, wanahamishia kwenye mtungi mwengine
so unakuta tank badala iwe na 30kg, ngoma inasoma 25kg
kwa wakala hapana, siamini,Hisia tu hizo..utakuja shangaa ata huko oryx wanafanya the same
Duh! Nomawanapunguza gesi mle ndani, wanahamishia kwenye mtungi mwengine
so unakuta tank badala iwe na 30kg, ngoma inasoma 25kg
noma sana aisee, kuna kiwanda cha uchakachuzi walikidaka kule Kimara, miaka flani ya nyumaDuh! Noma
Nitag huo uzi