#COVID19 Hizi chanjo za Corona zinaenda kuondoa herd immunity tuliyoipata nchini

#COVID19 Hizi chanjo za Corona zinaenda kuondoa herd immunity tuliyoipata nchini

Tunasema chanjo hupimwa effectiveness na safety.

Hivi vyote vinataka muda wa kutosha kuvihakiki in short and long term basis.

Chanjo ya corona imetengenezwa under pressure kwa uharaka wa kudhibiti ugonjwa usiendeleee kusambaa zaidi duniani,na haswa ikizingatia ugonjwa wenyewe husambaa kwa njia ya hewa(njia hatari sana).

Mpaka sasa tunaweza kuzungumzia athari chanya au hasi za chanjo hii in short term basis sababu bado ugonjwa wenyewe na chanjo hatujakaa navyo muda mrefu.

Katika short term basis tayari kumeibuka variants ambazo upo ushahidi there is a need for additional booster apart from vaccine itself ili kuweza kupambana na variants watakaokuwa wanajitokeza.

Hatujui how many variants we are going to encounter.

Hapa tayari kwa upande wangu effectiveness ya vaccine ishaingia mashaka.

Na kama effectiveness iko mashakani in long term basis hata safety nayo inaingia doubts,tutakuwa watu wa aina gani tukiwa kila wakati tunadungwa kemikali zinazotemper na dna zetu?!hizi dawa za kawaida tu matumizi ya mara kwa mara zinatuathiri what about chanjo?(tena ya respiratory disease ambayo kila mwaka yana msimu wake lazima yatokee).

Chanjo za magonjwa yaliyopita zilichanjwa huku kukiwa na idadi kubwa tu ya watu ambao hawakuchanjwa na idadi hiyo ya wasiochanjwa haijawahi kuleta new deadly variants kama hii corona.Whats so special about corona variants?!(ambazo ni always deadly hakuna variant inayokuwa less).

Kuna jamii duniani ambazo bado ugonjwa huu sio tishio sana to the extent of taking risk measures kama kuwaintoxicate na a lot of chemicals in the name of vaccine.
Mfano ni sisi waafrika.

Ukitazama speed ya maambukizi Tanzania na kiwango cha athari kilichojitokeza,je,possibility ya kuathirika na deadly variants inaendana na uzito wa kudunga watu wetu haya machanjo ambayo hatujayapa muda wa kutosha wa kuyajua effectiveness na safety in long term basis?

kwanini hatutumii hii resistance ya kinga zetu za asili kuweka other strict measures kuhakikisha tunazuga kidogo muda wa kutosha ili kuona nini kinachoendelea kwingineko?Is it neccessary na sisi kuichukulia corona kama national emergency of level one response?!

Tusisahau kuwa response tunayoipata toka kwa wananchi wa kawaida juu ya chanjo ya corona inatueleza jinsi gani jamii yetu haina habari kabisa na tishio la corona.Kwa hiyo naamini wakati wenzetu kwingineko wanachanja jamii zao kama hatua ya KUDHIBITI(unadhibiti athari ambayo ipo na imeshaleta madhara makubwa) maambukizi,sisi tunachanja jamii yetu ili KUIKINGA(unakinga athari isiyokuwepo au iliyopo kwa kiwango kisicho na madhara lakini yenye uwezekano mkubwa wa kuongezeka baadae).

Kwa kuzingatia njia inayotumika kudhibiti si njia salama sana(kuingiza kemikali mwilini kama ilivyo kwa kunywa madawa mengine na chanjo)then upo umuhimu wa kuzingatia pia kile kinachosababisha hadi sasa ugonjwa huu hausumbui sana jamii ya watanzania.Nacho kizingatiwe na kitumike kutufanya always tuwe ahead of time na advantage.Ikibidi twende mdogo mdogo,tusikimbizane sana na dunia ila tuilinde sana jamii yetu kwa njia za kawaida kwanza.

Waafrika tungeungana kuhakikisha dunia inaheshimu na kukubali uhalisia wa ugonjwa wa corona na njia tunazotumia huku Afrika.
 
Hoja yako ni nini?

Kwanza huwezi kuchukua takwimu za Ulaya kwa sababu wako kwenye lockdown kwa muda mrefu na historia inaonyesha wanapoingia kwenye lockdown hata maambukizo hupungua sana lakini wakiondoka kwenye lockdown, maambukizi huanza kuongezeka.

Ulaya wamepata/wanapata chanjo wakati wako kwenye lockdown na kwa mantiki hii huwezi kutumia takwimu hizo kujua ukweli. Tusubiri mpaka mwezi wa kumi ndipo tutajua kama chanjo imefanya kazi kwa nchi za Ulaya baada ya kuanza kuondoa lockdown.
Takwimu ziko tayari, mkuu. Angalia Uingereza. Wameshatoa chanjo kwa sehemu kubwa ya watu, hasa wazee na wanaojulikana kuwa na magonjwa kama usukari, moyo... Kumbe idadi ya vifo imepungua sana. Hapa wanahesabu idadi ya watu kwenye ICU na vifo vilivyopimwa .

Hata hivyo wanaona maambukizi yanapanda kwa sababu wamefuta vizuizi vya lazima. Wakiendelea kupima watu wengi, wanaona idadi kubwa ya walioambukizwa. Kama ni watu wenye afya, watoto na vijana sinidadi kubwa wanaokuwa wagonjwa sana au kufa.

Nchi nyingine za Ulaya zinatazama na kusubiri. Maana madaktari wengi wanasema ni mchezo wa hatari. Kama vijana na wenye afya wengi sana wanaambukizwa, idadi ya wagonjwa wakali inaweza kupanda haraka hadi vifo kati yao (ambayo haikutokea bado kutokana na sheria zilizopakana idadi ya watu walioruhusiwa kukaa pamoja, na masharti ya barakoa)

Tuone jinsi itakavyoendelea.
Lakini mafanikio ya chanjo yanaonekana kabisa!
 
JUHA IN THE MAKING...

What a stupid argument....

Ulishawahi kusikia hao watu wasiowahi kushika thermometer waki-argue AGAINST taarifa za wataalamu?!

Ulishajaribu kujiuliza ni kwanini hata huko mahakamani ikionekana mtuhumiwa ana matatizo ya akili kwa mfano, hakimu ataamuru apelekwe hospitali akachunguzwe na watalaamu?!

Sasa majibu ya kitaalamu yakishatoka, unatarajia hakimu atapingana na hayo majibu?!

Wewe ni mpumbavu nimeshakwambia toka ulipoanza kuandika utumbo wa kuhusu legacy ya Magufuli.

Hata kwenye huo mfano uliotoa wa matatizo ya akili bado uko ndani ya nilichosema. Yaani medical (expert) opinion is not automatically the court's opinion. The court will do a viva voce. Sasa gugo kwa undani viva voce ni nini, na how does the court treat expert opinion upunguze upumbavu wako kidogo.

Naona kuna watu wako kama wewe wanadhani daktari akiongea ndo mwisho wa habari. Hawajui kuna suala la kuchambua mantiki katika jambo lolote linaloongelewa. Mfano tunaopinga hizo zinazoitwa chanjo tumechambua mantiki kwenye kauli za wanaopromoti chanjo na kuona chenga kadhaa. Hakuna mwenye majibu kuhusu chenga hizo, kuanzia WHO wenyewe, watengenezaji wa chanjo, na madalali.

Sasa ukishakuwa ni lipumbavu kama wewe suala la kuchambua mantiki huliwezi kabisa.

Na kwa upumbavu wako bila shaka unadhani madaktari wote Tanzania na duniani wanaunga mkono hizi chanjo za korona. Gugo au ongea na madaktari kama kumi hivi kwa nyakati tofauti uone jinsi opinion zao zilivyo tofauti upunguze upumbavu.
 
Tunasema chanjo hupimwa effectiveness na safety.

Hivi vyote vinataka muda wa kutosha kuvihakiki in short and long term basis.

Chanjo ya corona imetengenezwa under pressure kwa uharaka wa kudhibiti ugonjwa usiendeleee kusambaa zaidi duniani,na haswa ikizingatia ugonjwa wenyewe husambaa kwa njia ya hewa(njia hatari sana).

Mpaka sasa tunaweza kuzungumzia athari chanya au hasi za chanjo hii in short term basis sababu bado ugonjwa wenyewe na chanjo hatujakaa navyo muda mrefu.

Katika short term basis tayari kumeibuka variants ambazo upo ushahidi there is a need for additional booster apart from vaccine itself ili kuweza kupambana na variants watakaokuwa wanajitokeza.

Hatujui how many variants we are going to encounter.

Hapa tayari kwa upande wangu effectiveness ya vaccine ishaingia mashaka.

Na kama effectiveness iko mashakani in long term basis hata safety nayo inaingia doubts,tutakuwa watu wa aina gani tukiwa kila wakati tunadungwa kemikali zinazotemper na dna zetu?!hizi dawa za kawaida tu matumizi ya mara kwa mara zinatuathiri what about chanjo?(tena ya respiratory disease ambayo kila mwaka yana msimu wake lazima yatokee).

Chanjo za magonjwa yaliyopita zilichanjwa huku kukiwa na idadi kubwa tu ya watu ambao hawakuchanjwa na idadi hiyo ya wasiochanjwa haijawahi kuleta new deadly variants kama hii corona.Whats so special about corona variants?!(ambazo ni always deadly hakuna variant inayokuwa less).

Kuna jamii duniani ambazo bado ugonjwa huu sio tishio sana to the extent of taking risk measures kama kuwaintoxicate na a lot of chemicals in the name of vaccine.
Mfano ni sisi waafrika.

Ukitazama speed ya maambukizi Tanzania na kiwango cha athari kilichojitokeza,je,possibility ya kuathirika na deadly variants inaendana na uzito wa kudunga watu wetu haya machanjo ambayo hatujayapa muda wa kutosha wa kuyajua effectiveness na safety in long term basis?

kwanini hatutumii hii resistance ya kinga zetu za asili kuweka other strict measures kuhakikisha tunazuga kidogo muda wa kutosha ili kuona nini kinachoendelea kwingineko?Is it neccessary na sisi kuichukulia corona kama national emergency of level one response?!

Tusisahau kuwa response tunayoipata toka kwa wananchi wa kawaida juu ya chanjo ya corona inatueleza jinsi gani jamii yetu haina habari kabisa na tishio la corona.Kwa hiyo naamini wakati wenzetu kwingineko wanachanja jamii zao kama hatua ya KUDHIBITI(unadhibiti athari ambayo ipo na imeshaleta madhara makubwa) maambukizi,sisi tunachanja jamii yetu ili KUIKINGA(unakinga athari isiyokuwepo au iliyopo kwa kiwango kisicho na madhara lakini yenye uwezekano mkubwa wa kuongezeka baadae).

Kwa kuzingatia njia inayotumika kudhibiti si njia salama sana(kuingiza kemikali mwilini kama ilivyo kwa kunywa madawa mengine na chanjo)then upo umuhimu wa kuzingatia pia kile kinachosababisha hadi sasa ugonjwa huu hausumbui sana jamii ya watanzania.Nacho kizingatiwe na kitumike kutufanya always tuwe ahead of time na advantage.Ikibidi twende mdogo mdogo,tusikimbizane sana na dunia ila tuilinde sana jamii yetu kwa njia za kawaida kwanza.

Waafrika tungeungana kuhakikisha dunia inaheshimu na kukubali uhalisia wa ugonjwa wa corona na njia tunazotumia huku Afrika.

Nafurahi kuona mtu anayejielewa kama wewe.
 
Ninachosikitika ni kuwa hizi chanjo ambazo baadhi ya watu watazipa nchi zitaenda kuua herd immunity ambayo watanzania wengi kama sio wote nchini tulikuwa tumeipata kwa muda wa takribani miaka miwili.

Kwa wasiojua, herd immunity kwa lugha ya kawaida huitwa Kinga Kundi, hii ni aina ya kinga isiyo ya moja kwa moja (indirect immunity) dhidi ya ugonjwa inayotokea pale ambapo asilimia kubwa ya watu wana kinga dhidi ya ugonjwa husika iwe kwa njia ya maambukizo ya awali (kuugua kisha mwili ukatengeneza kinga).

Watanzania wengi sana kwa sasa korona kwao imekuwa ni kama ugonjwa wa mafua tu au uchovu kwa sababu miili yao imeishatengeneza kinga ya asili kutokana na kinga kundi(herd immunity). Wengi wanapoipata korona kwa sasa nchini wanapoteza uwezo wa kunusa na pia wanakosa hamu ya chakula na wanaharisha kidogo halafu baada ya siku kadhaa wanapona. Hii hali naamini inaenda kubadilika baada ya chanjo kuanza kutolewa nchini.

Kwa wasiojua ni kuwa kupata chanjo hakumzuii mtu aliyepata chanjo kupata korona lakini madhara yake ni kuwa, huyo aliyechanjwa halafu akapata korona, akimuambikiza mtu asiyechanjwa inakuwa ni korona hatari sana kwa aliyeambukizwa. Hii korona haikuchukui hata siku tatu unaondoka duniani kama hujawahi kupata matibabu haraka. Kibaya zaidi, hii korona inakula kidogo kidogo na inapofikia kwenye hatua za mwisho ndipo mtu unagundua pale unapokosa nguvu kwa ghafla.

Nchi nyingi za Afrika ambazo zilianza kutoa chanjo kwa wananchi wake zilijikuta ikiibuka korona nyingine kali iliyoshika kasi na watu kuanza kupoteza maisha ndio maana nchi hizo ziliamua kurudi tena kwenye lockdown.

Wachunguzi wanasema chimbuko la inayoitwa kwa kiingereza VARIANTS ni matokeo ya chanjo. Hata variants zinaibuka kutokana na aina ya chanjo zinazotolewa kwa watu wa eneo hilo. Mfano Saouth Afrika iliibuka variants inayoitwa BETA baada ya wananchi kuanza kupatiwa chanjo ya Johnson and Johnson vaccine. Mpaka leo Afrika Kusini wako katika hali tete.

Kuna watu ninajua watakuja na hoja wakisema, basi ni bora tupate chanjo wote ili variants isitokee. Watakaouliza maswali haya lazima wajue kuwa hizi chanjo zinazokuja kwa nchi zetu hizi za Afrika niza wanasiasa, maofisa waandamizi wa juu serikalini, wafanyakazi wa afya, matajiri na familia zao. Kama hauko kwenye kundi hili utasubiri kupata chanjo kwa muda mrefu sana wakati VARIANT ikifanya kazi zake nchini.

Kwa mfano, Kenya pamoja na kelele zao za kujikinga na korona toka waanze kutoa chanjo wametoa kwa asilimia 1.5 ya wananchi wake wote. Ukichunguza kundi lililopata hizo chanjo ndilo nililolitaja hapo juu!

Watanzania tuko karibia milioni 60 kwa sasa ambapo Sensa ya Watu na Makazi ilisema idadi ya watu nchini ambao wako katika kundi la kufanya kazi ni 53% na pia kundi la wazee ni 6%. Hii inatuambia kuwa watu wanaotakiwa kuchanjwa nchini ni kama 60% ya watanzania kwa sababu watoto hawachanjwi.

Kwa hesabu ya kawaida pale juu, idadi ya Watanzania wanapaswa kupata chanjo ni milioni 36. Batch ya kwanza ya Johnson and Johnson vaccine iliyoingia nchini ni dozi milioni 1 kwa watu milioni 1

Population ya Dar es Salaam pekee ni watu karibia milioni 6 ambapo asilimia 60 ya wanaohitaji chanjo ni watu milioni 3 na laki 6. Hapo hujagusa mikoa mingine!

Mtu yuko kijijini eti unamsikia anasema twende tukachanje, hiyo chanjo utaipata wapi? Mpaka ukifikie ni majaliwa zaidi zaidi kama una bahati mbaya utafikiwa na mtu aliyechanjwa na kupata tena korona ambaye anakuja kueneza korona kali zaidi.

Mungu ibariki Tanzania!
ni kweli kabisa
 
Hoja yako ni nini?

Kwanza huwezi kuchukua takwimu za Ulaya kwa sababu wako kwenye lockdown kwa muda mrefu na historia inaonyesha wanapoingia kwenye lockdown hata maambukizo hupungua sana lakini wakiondoka kwenye lockdown, maambukizi huanza kuongezeka.

Ulaya wamepata/wanapata chanjo wakati wako kwenye lockdown na kwa mantiki hii huwezi kutumia takwimu hizo kujua ukweli. Tusubiri mpaka mwezi wa kumi ndipo tutajua kama chanjo imefanya kazi kwa nchi za Ulaya baada ya kuanza kuondoa lockdown.
Vaccine impact is same whether you get it in lock down or in normal life. This hypothesis doesn't hold water at all
 
Na hapa wanazitoa bure kwa sababu zipo kwenye majaribio na kimsingi wao ndo walitakiwa kuwalipa wanaoshiriki kwenye majaribio ya chanjo. Watakapopata ile final approval ya WHO hapo ndo biashara ya chanjo itakapoanza.......hakutakuwa na cha bure tena na kuchanja itakuwa kwa lazima, utake usitake ndo maana wengine wanaifananisha na namba ya mnyama iliyotajwa kwenye kitabu cha ufunuo.....

Sina cha kuongeza zaidi kwenye maoni yako!

Ninakubaliana nawe kwa yote uliyoandika hapa.

Inasikitisha sana!
 
Wewe ndio akili 'kisoda' unaandika maelezo usiyoweza kuthibitisha kisayansi zaidi ya porojo tu.

Hakuna hoja uliyojenga hapo, endelea na siasa za majitaka maana ndio ulipobobea.
Unasema hakuna hoja niliyojenga halafu unajenga hoja kujibu nilichokiandika! Huoni unachokifanya kinapingana na dhana yako unayosema hakuna hoja!

Ndio maana nimekuambia una akili inayojaa kwenye ''kisoda''!
 
Unasema hakuna hoja niliyojenga halafu unajenga hoja kujibu nilichokiandika! Huoni unachokifanya kinapingana na dhana yako unayosema hakuna hoja!

Ndio maana nimekuambia una akili inayojaa kwenye ''kisoda''!
Umeandika utumbo....jikite kwenye siasa tu.
 
Bado unamuamini jiwe kwamba waliochanjwa ndio wanasambaza corona kali sana??
Sio kwamba naamini bali ni ninajua!

Kujua na kuamini ni vitu viwili tofauti kwa sababu unaweza kuamini kitu fulani kipo wakati hakipo na ukijua kama kitu fulani kipo lazima kitakuepo!
 
Thibitisha
Sio kwamba naamini bali ni ninajua!

Kujua na kuamini ni vitu viwili tofauti kwa sababu unaweza kuamini kitu fulani kipo wakati hakipo na ukijua kama kitu fulani kipo lazima kitakuepo!
 
Ninachosikitika ni kuwa hizi chanjo ambazo baadhi ya watu watazipa nchi zitaenda kuua herd immunity ambayo watanzania wengi kama sio wote nchini tulikuwa tumeipata kwa muda wa takribani miaka miwili.

Kwa wasiojua, herd immunity kwa lugha ya kawaida huitwa Kinga Kundi, hii ni aina ya kinga isiyo ya moja kwa moja (indirect immunity) dhidi ya ugonjwa inayotokea pale ambapo asilimia kubwa ya watu wana kinga dhidi ya ugonjwa husika iwe kwa njia ya maambukizo ya awali (kuugua kisha mwili ukatengeneza kinga).

Watanzania wengi sana kwa sasa korona kwao imekuwa ni kama ugonjwa wa mafua tu au uchovu kwa sababu miili yao imeishatengeneza kinga ya asili kutokana na kinga kundi(herd immunity). Wengi wanapoipata korona kwa sasa nchini wanapoteza uwezo wa kunusa na pia wanakosa hamu ya chakula na wanaharisha kidogo halafu baada ya siku kadhaa wanapona. Hii hali naamini inaenda kubadilika baada ya chanjo kuanza kutolewa nchini.

Kwa wasiojua ni kuwa kupata chanjo hakumzuii mtu aliyepata chanjo kupata korona lakini madhara yake ni kuwa, huyo aliyechanjwa halafu akapata korona, akimuambikiza mtu asiyechanjwa inakuwa ni korona hatari sana kwa aliyeambukizwa. Hii korona haikuchukui hata siku tatu unaondoka duniani kama hujawahi kupata matibabu haraka. Kibaya zaidi, hii korona inakula kidogo kidogo na inapofikia kwenye hatua za mwisho ndipo mtu unagundua pale unapokosa nguvu kwa ghafla.

Nchi nyingi za Afrika ambazo zilianza kutoa chanjo kwa wananchi wake zilijikuta ikiibuka korona nyingine kali iliyoshika kasi na watu kuanza kupoteza maisha ndio maana nchi hizo ziliamua kurudi tena kwenye lockdown.

Tusishangae baada ya hii chanjo kuanza kutolewa, namba ya watu kuanza kuugua korona au kufa itaongezeka sana nchini.

Wachunguzi wanasema chimbuko la inayoitwa kwa kiingereza VARIANTS ni matokeo ya chanjo. Hata variants zinaibuka kutokana na aina ya chanjo zinazotolewa kwa watu wa eneo hilo. Mfano Saouth Afrika iliibuka variants inayoitwa BETA baada ya wananchi kuanza kupatiwa chanjo ya Johnson and Johnson vaccine. Mpaka leo Afrika Kusini wako katika hali tete.

Kuna watu ninajua watakuja na hoja wakisema, basi ni bora tupate chanjo wote ili variants isitokee. Watakaouliza maswali haya lazima wajue kuwa hizi chanjo zinazokuja kwa nchi zetu hizi za Afrika niza wanasiasa, maofisa waandamizi wa juu serikalini, wafanyakazi wa afya, matajiri na familia zao. Kama hauko kwenye kundi hili utasubiri kupata chanjo kwa muda mrefu sana wakati VARIANT ikifanya kazi zake nchini.

Kwa mfano, Kenya pamoja na kelele zao za kujikinga na korona toka waanze kutoa chanjo wametoa kwa asilimia 1.5 ya wananchi wake wote. Ukichunguza kundi lililopata hizo chanjo ndilo nililolitaja hapo juu!

Watanzania tuko karibia milioni 60 kwa sasa ambapo Sensa ya Watu na Makazi ilisema idadi ya watu nchini ambao wako katika kundi la kufanya kazi ni 53% na pia kundi la wazee ni 6%. Hii inatuambia kuwa watu wanaotakiwa kuchanjwa nchini ni kama 60% ya watanzania kwa sababu watoto hawachanjwi.

Kwa hesabu ya kawaida pale juu, idadi ya Watanzania wanapaswa kupata chanjo ni milioni 36. Batch ya kwanza ya Johnson and Johnson vaccine iliyoingia nchini ni dozi milioni 1 kwa watu milioni 1

Population ya Dar es Salaam pekee ni watu karibia milioni 6 ambapo asilimia 60 ya wanaohitaji chanjo ni watu milioni 3 na laki 6. Hapo hujagusa mikoa mingine!

Mtu yuko kijijini eti unamsikia anasema twende tukachanje, hiyo chanjo utaipata wapi? Mpaka ikufikie ni majaliwa zaidi zaidi kama una bahati mbaya utafikiwa na mtu aliyechanjwa na kupata tena korona ambaye anakuja kueneza korona kali zaidi.

Mungu ibariki Tanzania!
Sijakuelewa, ni kivipi chanjo inaondoa antibodies (kinga) mwilini zilizotokana na herd immunity? Kinyume chake nilidhani kuwa watanzania watakuwa imara zaidi kwa kuwa na both kinga ya chanjo na kinga ya asili (herd)
 
Mtu mzima unaamua kutunga uongo ili kuwaogopesha watu dhidi ya kitu chenye kuokoa maisha. Ni roho gani hiyo?
Mambo ya kutunga, kuoteshwa, kusikia na yasiyo ya kitafiti kama ya Askofu Gwajima yanaweza kuliangamiza taifa. Hata Kibwetere aliwaaminisha watu kuwa dunia imekwisha akawachoma watu. Chanjo ni hiari, hivyo usitafute watu wa kukusindikiza kwenye hiari yako ya kuacha kuchanjwa. sanasana waambie watoto wako na mkeo kwakuwa unawamiliki kuwa hakuna kuchanja. maneno ya kuokoteza sio poa kabisa.
 
naomba mwenye link ya kujisajili kupata chanjo ya covid anitumie hapa, natanguliza shukrani [emoji120]
 
Mabeberu wanakereka sana kuona Tanzania hatukutumia wanazoziita "njia za kisayansi" kupambana na corona!! Badala yake Rais wetu wa wakati huo aliitisha maombi ya kufunga ya siku 3 Kitaifa. Mwitikio wa watanzania kwa maombi hayo ulikuwa mkubwa sana. Mabeberu wameshuhudia kuwa Tanzania tuko salama kuliko mataifa yote mengine yaliyojikita kwenye lockdown, chanjo, nk. Walitabiri tutaokota miili barabarani haikuwa hivyo!! Wametushuhudia tukijazana kwenye viwanja vya mpira bila barakoa, tulijazana kumuaga JPM bila barakoa!! Wamesubiri tuugue kwa wingi wamekata tamaa!! Kinachotafutwa sasa ni kufuta rekodi sahihi kuwa ni Mungu aliyetuponya!! Viongozi wetu wanashinikizwa kutoa data za corona na kusema kweli wamelazimika hata kupika takwimu ili tu kuwafurahisha mabeberu ili waachie mkopo wa corona!! Mbaya zaidi mabeberu wanashinikiza watu wachanjwe!! Lengo ni kuwa mbele ya safari waje kusema kilichowaokoa ni chanjo na siyo Mungu!!

Lakini jibu liko wazi, kama chanjo hazikufanikiwa kuwaokoa wao zingetuokoaje sisi?? Mabeberu wamechanjana chanjo moja haikutosha, wakachanjana ya pili bado haikutosha wanaendelea kuambukizwa na kuambukiza na kuugua na kufa wengine. Hivi sasa wanapanga kuchanja ya 3!! Kisha wachanjane booster mara kwa mara!! Kila siku marekani wanakufa zaidi ya 1000 kwa corona!! Kwetu hata hiyo chanjo moja haiwezekani kuenea kwa watu wote, itatuokoaje? Hizo chanjo millioni 1 imeshindikana kuisha hadi data za kupika zinaelekea kutumika!!

Watanzania tusifanye kosa la kumpokonya Mungu utukufu kwa kushawishiwa na wapagani wa kizungu kuchanja!! Hatuchanji ng'o!! Mungu alishatuponya na REKODI itabaki hivyo!! Mwisho wa siku tutyaona ni Mungu yupi anaokoa! mungu chanjo au Mungu YEHOVA muumba wa mbingu na nchi.
 
Mabeberu wanakereka sana kuona Tanzania hatukutumia wanazoziita "njia za kisayansi" kupambana na corona!! Badala yake Rais wetu wa wakati huo aliitisha maombi ya kufunga ya siku 3 Kitaifa. Mwitikio wa watanzania kwa maombi hayo ulikuwa mkubwa sana. Mabeberu wameshuhudia kuwa Tanzania tuko salama kuliko mataifa yote mengine yaliyojikita kwenye lockdown, chanjo, nk. Walitabiri tutaokota miili barabarani haikuwa hivyo!! Wametushuhudia tukijazana kwenye viwanja vya mpira bila barakoa, tulijazana kumuaga JPM bila barakoa!! Wamesubiri tuugue kwa wingi wamekata tamaa!! Kinachotafutwa sasa ni kufuta rekodi sahihi kuwa ni Mungu aliyetuponya!! Viongozi wetu wanashinikizwa kutoa data za corona na kusema kweli wamelazimika hata kupika takwimu ili tu kuwafurahisha mabeberu ili waachie mkopo wa corona!! Mbaya zaidi mabeberu wanashinikiza watu wachanjwe!! Lengo ni kuwa mbele ya safari waje kusema kilichowaokoa ni chanjo na siyo Mungu!!
Lakini jibu liko wazi, kama chanjo hazikufanikiwa kuwaokoa wao zingetuokoaje sisi?? Mabeberu wamechanjana chanjo moja haikutosha, wakachanjana ya pili bado haikutosha wanaendelea kuambukizwa na kuambukiza na kuugua na kufa wengine. Hivi sasa wanapanga kuchanja ya 3!! Kisha wachanjane booster mara kwa mara!! Kila siku marekani wanakufa zaidi ya 1000 kwa corona!! Kwetu hata hiyo chanjo moja haiwezekani kuenea kwa watu wote, itatuokoaje? Hizo chanjo millioni 1 imeshindikana kuisha hadi data za kupika zinaelekea kutumika!!
Watanzania tusifanye kosa la kumpokonya Mungu utukufu kwa kushawishiwa na wapagani wa kizungu kuchanja!! Hatuchanji ng'o!! Mungu alishatuponya na REKODI itabaki hivyo!! Mwisho wa siku tutyaona ni Mungu yupi anaokoa! mungu chanjo au Mungu YEHOVA muumba wa mbingu na nchi.

IMG-20210725-WA0007.jpg
 
Back
Top Bottom