Tunasema chanjo hupimwa effectiveness na safety.
Hivi vyote vinataka muda wa kutosha kuvihakiki in short and long term basis.
Chanjo ya corona imetengenezwa under pressure kwa uharaka wa kudhibiti ugonjwa usiendeleee kusambaa zaidi duniani,na haswa ikizingatia ugonjwa wenyewe husambaa kwa njia ya hewa(njia hatari sana).
Mpaka sasa tunaweza kuzungumzia athari chanya au hasi za chanjo hii in short term basis sababu bado ugonjwa wenyewe na chanjo hatujakaa navyo muda mrefu.
Katika short term basis tayari kumeibuka variants ambazo upo ushahidi there is a need for additional booster apart from vaccine itself ili kuweza kupambana na variants watakaokuwa wanajitokeza.
Hatujui how many variants we are going to encounter.
Hapa tayari kwa upande wangu effectiveness ya vaccine ishaingia mashaka.
Na kama effectiveness iko mashakani in long term basis hata safety nayo inaingia doubts,tutakuwa watu wa aina gani tukiwa kila wakati tunadungwa kemikali zinazotemper na dna zetu?!hizi dawa za kawaida tu matumizi ya mara kwa mara zinatuathiri what about chanjo?(tena ya respiratory disease ambayo kila mwaka yana msimu wake lazima yatokee).
Chanjo za magonjwa yaliyopita zilichanjwa huku kukiwa na idadi kubwa tu ya watu ambao hawakuchanjwa na idadi hiyo ya wasiochanjwa haijawahi kuleta new deadly variants kama hii corona.Whats so special about corona variants?!(ambazo ni always deadly hakuna variant inayokuwa less).
Kuna jamii duniani ambazo bado ugonjwa huu sio tishio sana to the extent of taking risk measures kama kuwaintoxicate na a lot of chemicals in the name of vaccine.
Mfano ni sisi waafrika.
Ukitazama speed ya maambukizi Tanzania na kiwango cha athari kilichojitokeza,je,possibility ya kuathirika na deadly variants inaendana na uzito wa kudunga watu wetu haya machanjo ambayo hatujayapa muda wa kutosha wa kuyajua effectiveness na safety in long term basis?
kwanini hatutumii hii resistance ya kinga zetu za asili kuweka other strict measures kuhakikisha tunazuga kidogo muda wa kutosha ili kuona nini kinachoendelea kwingineko?Is it neccessary na sisi kuichukulia corona kama national emergency of level one response?!
Tusisahau kuwa response tunayoipata toka kwa wananchi wa kawaida juu ya chanjo ya corona inatueleza jinsi gani jamii yetu haina habari kabisa na tishio la corona.Kwa hiyo naamini wakati wenzetu kwingineko wanachanja jamii zao kama hatua ya KUDHIBITI(unadhibiti athari ambayo ipo na imeshaleta madhara makubwa) maambukizi,sisi tunachanja jamii yetu ili KUIKINGA(unakinga athari isiyokuwepo au iliyopo kwa kiwango kisicho na madhara lakini yenye uwezekano mkubwa wa kuongezeka baadae).
Kwa kuzingatia njia inayotumika kudhibiti si njia salama sana(kuingiza kemikali mwilini kama ilivyo kwa kunywa madawa mengine na chanjo)then upo umuhimu wa kuzingatia pia kile kinachosababisha hadi sasa ugonjwa huu hausumbui sana jamii ya watanzania.Nacho kizingatiwe na kitumike kutufanya always tuwe ahead of time na advantage.Ikibidi twende mdogo mdogo,tusikimbizane sana na dunia ila tuilinde sana jamii yetu kwa njia za kawaida kwanza.
Waafrika tungeungana kuhakikisha dunia inaheshimu na kukubali uhalisia wa ugonjwa wa corona na njia tunazotumia huku Afrika.
Hivi vyote vinataka muda wa kutosha kuvihakiki in short and long term basis.
Chanjo ya corona imetengenezwa under pressure kwa uharaka wa kudhibiti ugonjwa usiendeleee kusambaa zaidi duniani,na haswa ikizingatia ugonjwa wenyewe husambaa kwa njia ya hewa(njia hatari sana).
Mpaka sasa tunaweza kuzungumzia athari chanya au hasi za chanjo hii in short term basis sababu bado ugonjwa wenyewe na chanjo hatujakaa navyo muda mrefu.
Katika short term basis tayari kumeibuka variants ambazo upo ushahidi there is a need for additional booster apart from vaccine itself ili kuweza kupambana na variants watakaokuwa wanajitokeza.
Hatujui how many variants we are going to encounter.
Hapa tayari kwa upande wangu effectiveness ya vaccine ishaingia mashaka.
Na kama effectiveness iko mashakani in long term basis hata safety nayo inaingia doubts,tutakuwa watu wa aina gani tukiwa kila wakati tunadungwa kemikali zinazotemper na dna zetu?!hizi dawa za kawaida tu matumizi ya mara kwa mara zinatuathiri what about chanjo?(tena ya respiratory disease ambayo kila mwaka yana msimu wake lazima yatokee).
Chanjo za magonjwa yaliyopita zilichanjwa huku kukiwa na idadi kubwa tu ya watu ambao hawakuchanjwa na idadi hiyo ya wasiochanjwa haijawahi kuleta new deadly variants kama hii corona.Whats so special about corona variants?!(ambazo ni always deadly hakuna variant inayokuwa less).
Kuna jamii duniani ambazo bado ugonjwa huu sio tishio sana to the extent of taking risk measures kama kuwaintoxicate na a lot of chemicals in the name of vaccine.
Mfano ni sisi waafrika.
Ukitazama speed ya maambukizi Tanzania na kiwango cha athari kilichojitokeza,je,possibility ya kuathirika na deadly variants inaendana na uzito wa kudunga watu wetu haya machanjo ambayo hatujayapa muda wa kutosha wa kuyajua effectiveness na safety in long term basis?
kwanini hatutumii hii resistance ya kinga zetu za asili kuweka other strict measures kuhakikisha tunazuga kidogo muda wa kutosha ili kuona nini kinachoendelea kwingineko?Is it neccessary na sisi kuichukulia corona kama national emergency of level one response?!
Tusisahau kuwa response tunayoipata toka kwa wananchi wa kawaida juu ya chanjo ya corona inatueleza jinsi gani jamii yetu haina habari kabisa na tishio la corona.Kwa hiyo naamini wakati wenzetu kwingineko wanachanja jamii zao kama hatua ya KUDHIBITI(unadhibiti athari ambayo ipo na imeshaleta madhara makubwa) maambukizi,sisi tunachanja jamii yetu ili KUIKINGA(unakinga athari isiyokuwepo au iliyopo kwa kiwango kisicho na madhara lakini yenye uwezekano mkubwa wa kuongezeka baadae).
Kwa kuzingatia njia inayotumika kudhibiti si njia salama sana(kuingiza kemikali mwilini kama ilivyo kwa kunywa madawa mengine na chanjo)then upo umuhimu wa kuzingatia pia kile kinachosababisha hadi sasa ugonjwa huu hausumbui sana jamii ya watanzania.Nacho kizingatiwe na kitumike kutufanya always tuwe ahead of time na advantage.Ikibidi twende mdogo mdogo,tusikimbizane sana na dunia ila tuilinde sana jamii yetu kwa njia za kawaida kwanza.
Waafrika tungeungana kuhakikisha dunia inaheshimu na kukubali uhalisia wa ugonjwa wa corona na njia tunazotumia huku Afrika.