#COVID19 Hizi chanjo za Corona zinaenda kuondoa herd immunity tuliyoipata nchini

#COVID19 Hizi chanjo za Corona zinaenda kuondoa herd immunity tuliyoipata nchini

Huu ni ukweli ambao raia wengi wanaupuuza.

Isitoshe ukishaugua huwezi kuchanjwa, sana sana watatibu dalili tu na watakuchanja baadae kama utapona.

Sasa kama umeugua na Kupona siutakuwa umeshatengeneza Heard immunity(Kinga)
Ambayo ndio ukichanjwa wanakuwekea?
Sasa Umeugua say Mara 2 ukapona,
Wakikuchanja wanafanyaje tena?
Wakati unakuwa tayari una Kinga?
 
Sasa kama umeugua na Kupona siutakuwa umeshatengeneza Herd immunity(Kinga)
Ambayo ndio ukichanjwa wanakuwekea?
Sasa Umeugua say Mara 2 ukapona,
Wakikuchanja wanafanyaje tena?
Wakati unakuwa tayari una Kinga?
 
Zaburi sura ya Kwanza.
Na hii mistari ya Neno la Mungu uliyoitumia hapa kwenye upotoshaji wako ikifafanuliwa utashangaa kufuru na kumdharau Mungu wa Mbinguni kuliko pita viwango vyote kwa hawa wapotoshaji. Mungu mwenyewe ashuhulike nao kwa mapenzi yake maana Neema na Rehema/ Huruma yake ni Kuu mno.

Kupoteza muda kufafanua haya Maandiko hapa ni ile Bwana Yesu aliyo iita kuchukua chakula cha watoto na kuwalisha MBWA.

Mengine haya

wjd-billboard-david-jonathan.jpg
 
Sasa kama umeugua na Kupona siutakuwa umeshatengeneza Heard immunity(Kinga)
Ambayo ndio ukichanjwa wanakuwekea?
Sasa Umeugua say Mara 2 ukapona,
Wakikuchanja wanafanyaje tena?
Wakati unakuwa tayari una Kinga?
Tafuta kwanza maana ya herd immunity.
 
Back
Top Bottom