#COVID19 Hizi chanjo za Corona zinaenda kuondoa herd immunity tuliyoipata nchini

Huu ni ukweli ambao raia wengi wanaupuuza.

Isitoshe ukishaugua huwezi kuchanjwa, sana sana watatibu dalili tu na watakuchanja baadae kama utapona.

Sasa kama umeugua na Kupona siutakuwa umeshatengeneza Heard immunity(Kinga)
Ambayo ndio ukichanjwa wanakuwekea?
Sasa Umeugua say Mara 2 ukapona,
Wakikuchanja wanafanyaje tena?
Wakati unakuwa tayari una Kinga?
 
Sasa kama umeugua na Kupona siutakuwa umeshatengeneza Herd immunity(Kinga)
Ambayo ndio ukichanjwa wanakuwekea?
Sasa Umeugua say Mara 2 ukapona,
Wakikuchanja wanafanyaje tena?
Wakati unakuwa tayari una Kinga?
 

Mengine haya

 
Sasa kama umeugua na Kupona siutakuwa umeshatengeneza Heard immunity(Kinga)
Ambayo ndio ukichanjwa wanakuwekea?
Sasa Umeugua say Mara 2 ukapona,
Wakikuchanja wanafanyaje tena?
Wakati unakuwa tayari una Kinga?
Tafuta kwanza maana ya herd immunity.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…