#COVID19 Hizi chanjo za Corona zinaenda kuondoa herd immunity tuliyoipata nchini

#COVID19 Hizi chanjo za Corona zinaenda kuondoa herd immunity tuliyoipata nchini

Una talamu yoyote inayohusu mambo ya chanjo ?? Au unaongea tu kwa mihemko ,ni heri haya mambo wakaongea wanaosemea fani husika ,kuliko kuleta porojo kwenye mambo ya maana,kwan mzungu akitaka kukuua lazima ahangaike na chanjo zipo ,njia nyingi za kukuondoa tuache fikra za ukale hivi elimu tunazoma zinatusaidia nini???

sent from HUAWEI
Waliosomea wakianza kuchangia waanzie na kuweka vyeti vya taaluma yao? Hivi ndivyo akili yako inamaanisha.
Kama una swali uliza kama hujaelewa acha kuuliza taaluma
 
Hayati Anne Mughwira aliugua kupitia hiyohyo Heard Immunity akaja kuugua tena na kirusi kimeshabadilika na safari hii kikamchukua forever

Watu wenye umri mkubwa na wenye magonjwa sugu hata kama walishaugua covid huko nyuma waende kwenye chanjo

Heard Immunity ilishafeli huko Sweden na wameanza kudunga Chanjo Raia wao.
 
'
20210625_185933.jpg
 
Watu hamna ujuzi wa jinsi ugonjwa ulivyo mnaongea kutokana na maneno ya vijiwen, niko mkoan uku watu wanakufa sabna kwa dalili hizo za Covid wengi sana af unasema itatokea kali zaid, kwetu vijana haina shida ila kwa wazee unashauri iweje labda,
Hapo nahis ata ujui chanjo zinavyofanyaga kaz

Una Point hapa Mkuu
Nimekuelewa vema...
Natamani msemakweli aje ajibu hii hoja
 
"Wachunguzi wanasema chimbuko la inayoitwa kwa kiingereza VARIANTS ni matokeo ya chanjo. Hata variants zinaibuka kutokana na aina ya chanjo zinazotolewa kwa watu wa eneo hilo"

Yaani we mtu mmoja hatari sana,inaonyesha hata basic biology imekupitia kushoto. Ivi unajua maana ya variants?? Sababu unaandika vitu kinyume mbele juu chini. Variant inatokea baada ya virus kukaa sehemu kwa mda mrefu, virus vina tabia ya kubadirika (mutate),mabadiriko kwenye 'genetic code' ya virus ndo unaleta new variant.

Sasa sielewi kwa nini huyo mtaalamu wako kasema chanjo ndo zinaleta variant,huyo atakuwa babu wa loliondo sio mwenye taaluma yake.

Kwa nini watu mnaongopa kupita kiasi just to make a point,mnaeneza maelezo yasiyo na ukweli wasojua wanaamini, mnahatarisha maisha ya watu.
.
 
Ninachosikitika ni kuwa hizi chanjo ambazo baadhi ya watu watazipa zitaenda kuua herd immunity ambayo watanzania wengi kama sio wote nchini tulikuwa tumeipata.

Kwa wasiojua, herd immunity kwa lugha ya kawaida huitwa Kinga Kundi, hii ni aina ya kinga isiyo ya moja kwa moja (indirect immunity) dhidi ya ugonjwa inayotokea pale ambapo asilimia kubwa ya watu wana kinga dhidi ya ugonjwa husika iwe kwa njia ya maambukizo ya awali (kuugua kisha mwili ukatengeneza kinga).

Watanzania wengi sana kwa sasa korona kwao imekuwa ni kama ugonjwa wa mafua tu au uchovu kwa sababu miili yao imeishatengeneza kinga ya asili kutokana na kinga kundi(herd immunity). Wengi wanapoipata korona kwa sasa nchini wanapoteza uwezo wa kunusa na pia wanakosa hamu ya chakula na wanaharisha kidogo halafu baada ya siku kadhaa wanapona. Hii hali naamini inaenda kubadilika baada ya chanjo kuanza kutolewa nchini.

Kwa wasiojua ni kuwa kupata chanjo hakumzuii mtu aliyepata chanjo kupata korona lakini madhara yake ni kuwa, huyo aliyechanjwa halafu akapata korona, akimuambikiza mtu asiyechanjwa inakuwa ni korona hatari sana kwa aliyeambukizwa. Hii korona haikuchukui hata siku tatu unaondoka duniani kama hujawahi kupata matibabu haraka. Kibaya zaidi, hii korona inakula kidogo kidogo na inapofikia kwenye hatua za mwisho ndipo mtu unagundua pale unapokosa nguvu kwa ghafla.

Nchi nyingi za Afrika ambazo zilianza kutoa chanjo kwa wananchi wake zilijikuta ikiibuka korona nyingine kali iliyoshika kasi na watu kuanza kupoteza maisha ndio maana nchi hizo ziliamua kurudi tena kwenye lockdown.

Wachunguzi wanasema chimbuko la inayoitwa kwa kiingereza VARIANTS ni matokeo ya chanjo. Hata variants zinaibuka kutokana na aina ya chanjo zinazotolewa kwa watu wa eneo hilo. Mfano Saouth Afrika iliibuka variants inayoitwa BETA baada ya wananchi kuanza kupatiwa chanjo ya Johnson and Johnson vaccine. Mpaka leo Afrika Kusini wako katika hali tete.

Kuna watu ninajua watakuja na hoja wakisema, basi ni bora tupate chanjo wote ili variants isitokee. Watakaouliza maswali haya lazima wajue kuwa hizi chanjo zinazokuja kwa nchi zetu hizi za Afrika niza wanasiasa, maofisa waandamizi wa juu serikalini, wafanyakazi wa afya, matajiri na familia zao. Kama hauko kwenye kundi hili utasubiri kupata chanjo kwa muda mrefu sana wakati VARIANT ikifanya kazi zake nchini.

Kwa mfano, Kenya pamoja na kelele zao za kujikinga na korona toka waanze kutoa chanjo wametoa kwa asilimia 1.5 ya wananchi wake wote. Ukichunguza kundi lililopata hizo chanjo ndilo nililolitaja hapo juu!

Watanzania tuko karibia milioni 60 kwa sasa ambapo Sensa ya Watu na Makazi ilisema idadi ya watu nchini ambao wako katika kundi la kufanya kazi ni 53% na pia kundi la wazee ni 6%. Hii inatuambia kuwa watu wanaotakiwa kuchanjwa nchini ni kama 60% ya watanzania kwa sababu watoto hawachanjwi.

Kwa hesabu ya kawaida pale juu, idadi ya Watanzania wanapaswa kupata chanjo ni milioni 36. Batch ya kwanza ya Johnson and Johnson vaccine iliyoingia nchini ni dozi milioni 1 kwa watu milioni 1

Mungu ibariki Tanzania!

Wewe virologist? Au chawa wa Lumumba tu?


Ninachosikitika ni kuwa hizi chanjo ambazo baadhi ya watu watazipa zitaenda kuua herd immunity ambayo watanzania wengi kama sio wote nchini tulikuwa tumeipata.

Kwa wasiojua, herd immunity kwa lugha ya kawaida huitwa Kinga Kundi, hii ni aina ya kinga isiyo ya moja kwa moja (indirect immunity) dhidi ya ugonjwa inayotokea pale ambapo asilimia kubwa ya watu wana kinga dhidi ya ugonjwa husika iwe kwa njia ya maambukizo ya awali (kuugua kisha mwili ukatengeneza kinga).

Watanzania wengi sana kwa sasa korona kwao imekuwa ni kama ugonjwa wa mafua tu au uchovu kwa sababu miili yao imeishatengeneza kinga ya asili kutokana na kinga kundi(herd immunity). Wengi wanapoipata korona kwa sasa nchini wanapoteza uwezo wa kunusa na pia wanakosa hamu ya chakula na wanaharisha kidogo halafu baada ya siku kadhaa wanapona. Hii hali naamini inaenda kubadilika baada ya chanjo kuanza kutolewa nchini.

Kwa wasiojua ni kuwa kupata chanjo hakumzuii mtu aliyepata chanjo kupata korona lakini madhara yake ni kuwa, huyo aliyechanjwa halafu akapata korona, akimuambikiza mtu asiyechanjwa inakuwa ni korona hatari sana kwa aliyeambukizwa. Hii korona haikuchukui hata siku tatu unaondoka duniani kama hujawahi kupata matibabu haraka. Kibaya zaidi, hii korona inakula kidogo kidogo na inapofikia kwenye hatua za mwisho ndipo mtu unagundua pale unapokosa nguvu kwa ghafla.

Nchi nyingi za Afrika ambazo zilianza kutoa chanjo kwa wananchi wake zilijikuta ikiibuka korona nyingine kali iliyoshika kasi na watu kuanza kupoteza maisha ndio maana nchi hizo ziliamua kurudi tena kwenye lockdown.

Wachunguzi wanasema chimbuko la inayoitwa kwa kiingereza VARIANTS ni matokeo ya chanjo. Hata variants zinaibuka kutokana na aina ya chanjo zinazotolewa kwa watu wa eneo hilo. Mfano Saouth Afrika iliibuka variants inayoitwa BETA baada ya wananchi kuanza kupatiwa chanjo ya Johnson and Johnson vaccine. Mpaka leo Afrika Kusini wako katika hali tete.

Kuna watu ninajua watakuja na hoja wakisema, basi ni bora tupate chanjo wote ili variants isitokee. Watakaouliza maswali haya lazima wajue kuwa hizi chanjo zinazokuja kwa nchi zetu hizi za Afrika niza wanasiasa, maofisa waandamizi wa juu serikalini, wafanyakazi wa afya, matajiri na familia zao. Kama hauko kwenye kundi hili utasubiri kupata chanjo kwa muda mrefu sana wakati VARIANT ikifanya kazi zake nchini.

Kwa mfano, Kenya pamoja na kelele zao za kujikinga na korona toka waanze kutoa chanjo wametoa kwa asilimia 1.5 ya wananchi wake wote. Ukichunguza kundi lililopata hizo chanjo ndilo nililolitaja hapo juu!

Watanzania tuko karibia milioni 60 kwa sasa ambapo Sensa ya Watu na Makazi ilisema idadi ya watu nchini ambao wako katika kundi la kufanya kazi ni 53% na pia kundi la wazee ni 6%. Hii inatuambia kuwa watu wanaotakiwa kuchanjwa nchini ni kama 60% ya watanzania kwa sababu watoto hawachanjwi.

Kwa hesabu ya kawaida pale juu, idadi ya Watanzania wanapaswa kupata chanjo ni milioni 36. Batch ya kwanza ya Johnson and Johnson vaccine iliyoingia nchini ni dozi milioni 1 kwa watu milioni 1

Mungu ibariki Tanzania!

Tunasubiri chanjo kwanza ndipo tuanze kuhangaika na nyie.

Hata jina moja moja kati ya waliokufa kwa upumbavu wenu tusiwasomee kweli?

Aaah wapi!
 
Ninachosikitika ni kuwa hizi chanjo ambazo baadhi ya watu watazipa zitaenda kuua herd immunity ambayo watanzania wengi kama sio wote nchini tulikuwa tumeipata.

Kwa wasiojua, herd immunity kwa lugha ya kawaida huitwa Kinga Kundi, hii ni aina ya kinga isiyo ya moja kwa moja (indirect immunity) dhidi ya ugonjwa inayotokea pale ambapo asilimia kubwa ya watu wana kinga dhidi ya ugonjwa husika iwe kwa njia ya maambukizo ya awali (kuugua kisha mwili ukatengeneza kinga).

Watanzania wengi sana kwa sasa korona kwao imekuwa ni kama ugonjwa wa mafua tu au uchovu kwa sababu miili yao imeishatengeneza kinga ya asili kutokana na kinga kundi(herd immunity). Wengi wanapoipata korona kwa sasa nchini wanapoteza uwezo wa kunusa na pia wanakosa hamu ya chakula na wanaharisha kidogo halafu baada ya siku kadhaa wanapona. Hii hali naamini inaenda kubadilika baada ya chanjo kuanza kutolewa nchini.

Kwa wasiojua ni kuwa kupata chanjo hakumzuii mtu aliyepata chanjo kupata korona lakini madhara yake ni kuwa, huyo aliyechanjwa halafu akapata korona, akimuambikiza mtu asiyechanjwa inakuwa ni korona hatari sana kwa aliyeambukizwa. Hii korona haikuchukui hata siku tatu unaondoka duniani kama hujawahi kupata matibabu haraka. Kibaya zaidi, hii korona inakula kidogo kidogo na inapofikia kwenye hatua za mwisho ndipo mtu unagundua pale unapokosa nguvu kwa ghafla.

Nchi nyingi za Afrika ambazo zilianza kutoa chanjo kwa wananchi wake zilijikuta ikiibuka korona nyingine kali iliyoshika kasi na watu kuanza kupoteza maisha ndio maana nchi hizo ziliamua kurudi tena kwenye lockdown.

Wachunguzi wanasema chimbuko la inayoitwa kwa kiingereza VARIANTS ni matokeo ya chanjo. Hata variants zinaibuka kutokana na aina ya chanjo zinazotolewa kwa watu wa eneo hilo. Mfano Saouth Afrika iliibuka variants inayoitwa BETA baada ya wananchi kuanza kupatiwa chanjo ya Johnson and Johnson vaccine. Mpaka leo Afrika Kusini wako katika hali tete.

Kuna watu ninajua watakuja na hoja wakisema, basi ni bora tupate chanjo wote ili variants isitokee. Watakaouliza maswali haya lazima wajue kuwa hizi chanjo zinazokuja kwa nchi zetu hizi za Afrika niza wanasiasa, maofisa waandamizi wa juu serikalini, wafanyakazi wa afya, matajiri na familia zao. Kama hauko kwenye kundi hili utasubiri kupata chanjo kwa muda mrefu sana wakati VARIANT ikifanya kazi zake nchini.

Kwa mfano, Kenya pamoja na kelele zao za kujikinga na korona toka waanze kutoa chanjo wametoa kwa asilimia 1.5 ya wananchi wake wote. Ukichunguza kundi lililopata hizo chanjo ndilo nililolitaja hapo juu!

Watanzania tuko karibia milioni 60 kwa sasa ambapo Sensa ya Watu na Makazi ilisema idadi ya watu nchini ambao wako katika kundi la kufanya kazi ni 53% na pia kundi la wazee ni 6%. Hii inatuambia kuwa watu wanaotakiwa kuchanjwa nchini ni kama 60% ya watanzania kwa sababu watoto hawachanjwi.

Kwa hesabu ya kawaida pale juu, idadi ya Watanzania wanapaswa kupata chanjo ni milioni 36. Batch ya kwanza ya Johnson and Johnson vaccine iliyoingia nchini ni dozi milioni 1 kwa watu milioni 1

Mungu ibariki Tanzania!

Kafie CHATO
 
Lisu alisema hawatahangaika kumtoa Mbowe, polisi wakitaka wakae nae na wamfanye watakalo!

Bawacha Leo wameandamana ubalozi wa USA kushinikiza Mbowe kuachiwa huru, ina maana wamempuuza Lisu?

We changu unahangaika sana na CHADEMA una mimba Yao?
 
Ninachosikitika ni kuwa hizi chanjo ambazo baadhi ya watu watazipa zitaenda kuua herd immunity ambayo watanzania wengi kama sio wote nchini tulikuwa tumeipata.

Kwa wasiojua, herd immunity kwa lugha ya kawaida huitwa Kinga Kundi, hii ni aina ya kinga isiyo ya moja kwa moja (indirect immunity) dhidi ya
Watu wanakufa wewe unaleta habari za kinga za makundi.

Kwanza umesoma PCB,CBG ama PCM?

Unaelewa molecular biology? Kaa utulie mzee.

Mbona husemi kama wote wakipata chanjo inakuwaje.

Kula dozi mzee tusije tukakupoteza member wetu humu jamvini.
 
Ninachosikitika ni kuwa hizi chanjo ambazo baadhi ya watu watazipa zitaenda kuua herd immunity ambayo watanzania wengi kama sio wote nchini tulikuwa tumeipata.



Mwandishi hajui anacho ongea vizuri. herd immunity hii ni kwa wale waliopata Corona na kupona lakini imeonyesha kukupa kinga kwa miezi miwili tu. Tumeshaona Mama Mwingira alipata Corona mara ya kwanza mwaka jana lakini kapata tena mwaka huu na kwasasa amefariki. Lakini virus wanazidi kupata nguvu kama ulipona haina maana virus akibadilika utapona tena.

Lakini swala lingine Chanjo ni njia mojawapo ya kupata immunity lakini tofauti na ile ya kuumwa mwili wako unakuwa salama. Unaweza kuumwa na kupona Corona lakini ikawa imekuachia matatizo mengine mengi kama ya moyo , figo na mapafu.
 
Lisu alisema hawatahangaika kumtoa Mbowe, polisi wakitaka wakae nae na wamfanye watakalo!

Bawacha Leo wameandamana ubalozi wa USA kushinikiza Mbowe kuachiwa huru, ina maana wamempuuza Lisu?

Kwahiyo ubalozi wa Marekani ni polisi?
 
Una talamu yoyote inayohusu mambo ya chanjo ?? Au unaongea tu kwa mihemko ,ni heri haya mambo wakaongea wanaosemea fani husika ,kuliko kuleta porojo kwenye mambo ya maana,kwan mzungu akitaka kukuua lazima ahangaike na chanjo zipo ,njia nyingi za kukuondoa tuache fikra za ukale hivi elimu tunazoma zinatusaidia nini???

sent from HUAWEI
Elimu wanayotupatia kwenye academic system yetu ndo imejawa sana na mambo hayo
 
Sumu inawezaje kuokoa maisha wewe ngumbaru?

Ukishadungwa hayo machanjo yenye sumu yanaenda kuua kinga asili ya mwili.

Mwisho wake ni kufwaa tu au kuwa zombi.
watu wanaokaa vijijin na kula vyakula vya asili mara nying huwa hawasumbuliw sana na magonjwa na ata wakisumbuliwa na magonjwa hasa kama haya jamii ya mafua huwa wanapona haraka sana ila sisi wa mjin mafua tunatafuta madawa na tunajikuta mara kwa mara tunaumwa so najaribu kurelate na hii.

- Mazao ambayo hayapigw dawa huwa yanakuwa mazur sana ila siku unapoanza tu kupiga insectcides or fungicides ndo tatizo inapoanza hapo unakuta mara kwa mara zao limevamiwa nayo najaribu tu kurelate...

#Take at your own risk.
 
Back
Top Bottom