#COVID19 Hizi dawa za COVID-19 ni siasa au tuna malengo gani? SUA hiki kitu gani?

#COVID19 Hizi dawa za COVID-19 ni siasa au tuna malengo gani? SUA hiki kitu gani?

robinson crusoe

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2020
Posts
762
Reaction score
1,236
Kwa wasiwasi wangu, koo lilipokwaruza tu, nikajua COVID-19 hiyo. Nikabugia chupa langu. Hapa nilipo niko hoi kwa kuharisha usiku kucha. Ni uchafu gani tunauziwa na taasisi za serikali? Watu wa SUA bado munacheza na afya zetu kama enzi iliyopita?

Ni kweli hiki ndo kiwango cha utaalamu wa chuo kikuu? Na hapa ni baada ya kupigwa kichupa kingine cha chuo kikuu cha Dar ambacho chenyewe kinanukia mchai-chai. Sijui Muhimbili wana mizizi gani! Mutatuua!

Dawa.JPG
 
Nimecheka sana kwa hoja hii halafu masikitiko makubwa yakanijia,mtoa hoja ni msomi,middle class ila anaamini na ametumia dawa eti inayotibu au kuleta nafuu ya Covid 19!je wa huku Lingusenguse itakuaje?nchi ilitakiwa isijitenge na dunia,tukusanye wanasayansi wetu hasa yule aliyetimuliwa na Mwenda...wafungiwe sehemu na kupewa nyenzo zote ili waje na vaccine hii kitu(covid 19 ni sehemu ya fluu )then tuwapelekee idara yetu ya kuhakiki dawa kama zinafaa kwa matumizi ya watanzania na binadamu kwa ujumla then to WHO nao wa apply mind yao,for now ukiona dalili pls isolate yourself,vaa mask,epuka mikusanyiko isiyo ya lazima,nawe mikono na sanitise pia na pls pls STAY AT HOME!!
 
Kwa wasiwasi wangu, koo lilipokwaruza tu, nikajua dalili hizo. Hapa nilipo niko hoi kwa kuharisha usiku kucha. Ni uchafu gani tunauziwa na taasisi za serikali? Watu wa SUA bado munacheza na afya zetu kama enzi iliyopita?

Ni kweli hiki ndo kiwango cha utaalamu wa chuo kikuu? Na hapa ni baada ya kupigwa kichupa kingine cha chuo kikuu cha Dar ambacho chenyewe kinanukia mchai-chai. Sijui Muhimbili wana mizizi gani! Mutatuua!

Hilo Dumu lote mkuu ni la dawa au mataputapu??

Wanaamini katika quantity🤣🤣
 
Kwa wasiwasi wangu, koo lilipokwaruza tu, nikajua dalili hizo. Hapa nilipo niko hoi kwa kuharisha usiku kucha. Ni uchafu gani tunauziwa na taasisi za serikali? Watu wa SUA bado munacheza na afya zetu kama enzi iliyopita?

Ni kweli hiki ndo kiwango cha utaalamu wa chuo kikuu? Na hapa ni baada ya kupigwa kichupa kingine cha chuo kikuu cha Dar ambacho chenyewe kinanukia mchai-chai. Sijui Muhimbili wana mizizi gani! Mutatuua!

😂😂😂nimecheka sana hilo dumu kule kwetu tunaita Bido
 
Nimecheka sana kwa hoja hii halafu masikitiko makubwa yakanijia,mtoa hoja ni msomi,middle class ila anaamini na ametumia dawa eti inayotibu au kuleta nafuu ya Covid 19!je wa huku Lingusenguse itakuaje?nchi ilitakiwa isijitenge na dunia,tukusanye wanasayansi wetu hasa yule aliyetimuliwa na Mwenda...wafungiwe sehemu na kupewa nyenzo zote ili waje na vaccine hii kitu(covid 19 ni sehemu ya fluu )then tuwapelekee idara yetu ya kuhakiki dawa kama zinafaa kwa matumizi ya watanzania na binadamu kwa ujumla then to WHO nao wa apply mind yao,for now ukiona dalili pls isolate yourself,vaa mask,epuka mikusanyiko isiyo ya lazima,nawe mikono na sanitise pia na pls pls STAY AT HOME!!
Sawa lakini unafikiri kwa usomi wako wewe hapa Tz upate dawa upeleke WHO wakupitishie? Sahau kabisa. Yakwetu itakuwa "for our internal use". Alafu za mabosi wao wazungu zitanunuliwa na nani? We in Africa are the market for their vaccines and medicines
 
Nimecheka sana kwa hoja hii halafu masikitiko makubwa yakanijia,mtoa hoja ni msomi,middle class ila anaamini na ametumia dawa eti inayotibu au kuleta nafuu ya Covid 19!je wa huku Lingusenguse itakuaje?nchi ilitakiwa isijitenge na dunia,tukusanye wanasayansi wetu hasa yule aliyetimuliwa na Mwenda...wafungiwe sehemu na kupewa nyenzo zote ili waje na vaccine hii kitu(covid 19 ni sehemu ya fluu )then tuwapelekee idara yetu ya kuhakiki dawa kama zinafaa kwa matumizi ya watanzania na binadamu kwa ujumla then to WHO nao wa apply mind yao,for now ukiona dalili pls isolate yourself,vaa mask,epuka mikusanyiko isiyo ya lazima,nawe mikono na sanitise pia na pls pls STAY AT HOME!!
Yaani Tanzania ndo itatue tatizo la korona? Huko ambako hawakujitenga wako wapi na korona yao? Ni siku sasa hatujajitenga vipi Hali ikoje?
 
Kwa wasiwasi wangu, koo lilipokwaruza tu, nikajua dalili hizo. Hapa nilipo niko hoi kwa kuharisha usiku kucha. Ni uchafu gani tunauziwa na taasisi za serikali? Watu wa SUA bado munacheza na afya zetu kama enzi iliyopita?

Ni kweli hiki ndo kiwango cha utaalamu wa chuo kikuu? Na hapa ni baada ya kupigwa kichupa kingine cha chuo kikuu cha Dar ambacho chenyewe kinanukia mchai-chai. Sijui Muhimbili wana mizizi gani! Mutatuua!

Kama ukinunua pharmacy peleka pale halafu waambie wakupe form ya TMDA ujaze malalamiko au pakua app yao au website yao TMDA utakuta form ya malalamiko utajaza.

Hii husaidia kufanya follow up ya dawa pia kuzuia madhara zaidi kwa wengine ikiwemo kuzuia hiyo dawa isiingie kwenye mzunguko wa matumizi ya kawaida.
 
Bosi na wewe una kipaji cha ujinga! Unategemea nchi hii upate mwanasayansi wa kukupa dawa ya Corona? Hawa wapayukaji ndo wajue sayansi?
Isipokuwa wewe ndiyo unaweza?
 
pole mkuu, Lakini si tulikutahadharisha kwamba tuko kwenye majaribio ya dawa zetu? Mbona unapayuka tena hapa?

Huna adabu kabisa
 
Kwa wasiwasi wangu, koo lilipokwaruza tu, nikajua dalili hizo. Hapa nilipo niko hoi kwa kuharisha usiku kucha. Ni uchafu gani tunauziwa na taasisi za serikali? Watu wa SUA bado munacheza na afya zetu kama enzi iliyopita?

Ni kweli hiki ndo kiwango cha utaalamu wa chuo kikuu? Na hapa ni baada ya kupigwa kichupa kingine cha chuo kikuu cha Dar ambacho chenyewe kinanukia mchai-chai. Sijui Muhimbili wana mizizi gani! Mutatuua!

Afadhali ile ya UDSM unakunywa kwenye chai unaweka tone moja au mawili unapata flavor ya mchaichai

Pia inasaidia sababu unapiga chai ya moto, sasa hii chibuku na zile mataputapu na NIMR sijawahi hata kunusa.

Kama vipi nunua Aztech 500mg gonga na Junior Aspirin pamoja na Vitamin C. Hiyo kuharisha piga Enterogermina itamaliza.

Unajua hii wave mpya pia umekuja na aina flani ya kuvuruga tumbo sasa usipojiangalia vema waweza kutibu sehemu sio sahihi.
 
Kwa wasiwasi wangu, koo lilipokwaruza tu, nikajua dalili hizo. Hapa nilipo niko hoi kwa kuharisha usiku kucha. Ni uchafu gani tunauziwa na taasisi za serikali? Watu wa SUA bado munacheza na afya zetu kama enzi iliyopita?

Ni kweli hiki ndo kiwango cha utaalamu wa chuo kikuu? Na hapa ni baada ya kupigwa kichupa kingine cha chuo kikuu cha Dar ambacho chenyewe kinanukia mchai-chai. Sijui Muhimbili wana mizizi gani! Mutatuua!

Dawa ya korona ndo ipo kwenye hiyo chupa?

WTF
 
Nimecheka sana kwa hoja hii halafu masikitiko makubwa yakanijia,mtoa hoja ni msomi,middle class ila anaamini na ametumia dawa eti inayotibu au kuleta nafuu ya Covid 19!je wa huku Lingusenguse itakuaje?nchi ilitakiwa isijitenge na dunia,tukusanye wanasayansi wetu hasa yule aliyetimuliwa na Mwenda...wafungiwe sehemu na kupewa nyenzo zote ili waje na vaccine hii kitu(covid 19 ni sehemu ya fluu )then tuwapelekee idara yetu ya kuhakiki dawa kama zinafaa kwa matumizi ya watanzania na binadamu kwa ujumla then to WHO nao wa apply mind yao,for now ukiona dalili pls isolate yourself,vaa mask,epuka mikusanyiko isiyo ya lazima,nawe mikono na sanitise pia na pls pls STAY AT HOME!!
Hawa wanasayansi wetu hawa bado sana
 
Yaani Tanzania ndo itatue tatizo la korona? Huko ambako hawakujitenga wako wapi na korona yao? Ni siku sasa hatujajitenga vipi Hali ikoje?
Du yale yale middle class wetu,tuna haraka gani why usisome kwa utulivu then jibu au changia hoja?wapi nimeandika kuwa Tanzania ndio itatue tatizo la Covid 19?nilichokiongelea ni mchango ambao nchi inaweza kuchangia towards kugundua vaccine SIO vinginevyo,kazi ipo na generation hii ya key boards
 
Sawa lakini unafikiri kwa usomi wako wewe hapa Tz upate dawa upeleke WHO wakupitishie? Sahau kabisa. Yakwetu itakuwa "for our internal use". Alafu za mabosi wao wazungu zitanunuliwa na nani? We in Africa are the market for their vaccines and medicines
Utafutaji wa vaccine ulikuwa wazi na nchi zote zilikaribishwa kuchangia katika tafiti hizo. Waafrika tukaruka kimanga na kudai hatutaki watu wetu watumike kama guinea pigs. Sasa kelele za nini?

Na Afrika sio soko la chanjo na dawa zao kwa sababu hatuna uwezo wa kulipia bei kamili. Hata hizo za kukabiliana na ukimwi tulipewa baada ya hao unaowabeza kushinikiza mashirika ya madawa yaruhusu tuuziwe kwa bei nafuu. Kama kweli tunapenda watu wetu na tuna uwezo kwa nini tunashindwa kutengeneza chanjo za magonjwa kibao ambayo yanatusumbua sisi wenyewe in particular?

Tunywe tu haya mavitu ambayo charlatans wanatudanganya kuwa yanatibu Corona maana ndio asili yetu kupenda njia za mkato. Tusiwasingizie wengine kwa madhaifu yetu.

Amandla....
 
Back
Top Bottom