Wengine wote hawa tuwaonee huruma kwa ufahamu wao. Tatizo ni hawa wa SUA na UD. Watu kama hawa ni pumbav kabisa! Elimu gani wanayotuonesha nchini kama wanatuletea mizizi na majani ya hovyo hovyo kiasi hiki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine wote hawa tuwaonee huruma kwa ufahamu wao. Tatizo ni hawa wa SUA na UD. Watu kama hawa ni pumbav kabisa! Elimu gani wanayotuonesha nchini kama wanatuletea mizizi na majani ya hovyo hovyo kiasi hiki?
Eeeh hzi zote
Mbona mnakuwa kama nyumbu jamani. Ujazie utapeli fomu? Hawa wanakula fedha ya wajinga. Mnadhani mambo ni rahisi namna hiyo!Kama ukinunua pharmacy peleka pale halafu waambie wakupe form ya TMDA ujaze malalamiko au pakua app yao au website yao TMDA utakuta form ya malalamiko utajaza.
Hii husaidia kufanya follow up ya dawa pia kuzuia madhara zaidi kwa wengine ikiwemo kuzuia hiyo dawa isiingie kwenye mzunguko wa matumizi ya kawaida.
Haya madude yote unayo dukani au umeyabugia? Mengine kama vile kachumbali! Ni hatari kwa figo zako.
Sijakuelewa halafu sio lazima utoe hoja kwa lugha za kuudhiMbona mnakuwa kama nyumbu jamani. Ujazie utapeli fomu? Hawa wanakula fedha ya wajinga. Mnadhani mambo ni rahisi namna hiyo!
Hili chupa ubora pekee ni kuandikwa kwa kiingereza; High quality. Sijui ni quality ya kitu gani? Labda wanaigiza mambo ya waziri wa afya na nyungu za Muhimbili.Kwa wasiwasi wangu, koo lilipokwaruza tu, nikajua dalili hizo. Hapa nilipo niko hoi kwa kuharisha usiku kucha. Ni uchafu gani tunauziwa na taasisi za serikali? Watu wa SUA bado munacheza na afya zetu kama enzi iliyopita?
Ni kweli hiki ndo kiwango cha utaalamu wa chuo kikuu? Na hapa ni baada ya kupigwa kichupa kingine cha chuo kikuu cha Dar ambacho chenyewe kinanukia mchai-chai. Sijui Muhimbili wana mizizi gani! Mutatuua!
Hizo dawa zimekuwa registered na Mamlaka ya udhibiti wa dawa za binadamu, hizo form na TMDA ni kwa ajili ya kutoa feedback ya side effects za dawa.Mbona mnakuwa kama nyumbu jamani. Ujazie utapeli fomu? Hawa wanakula fedha ya wajinga. Mnadhani mambo ni rahisi namna hiyo!
Bora hata maji, kinyesi cha wanyama pia inawezekana. Utapeli uko kila sehemu. Angalia utapeli bungeni. Utapeli serikalini. Sasa utapeli vyuo vikuu!Haki mtu ukiwa tapeli Bongo hufi njaa. Wajinga wengi sana. Mtu anauziwa maji tena pengine machafu anaambiwa ni dawa ya COVID!
Sasa ukinihakikishia kwamba katiba mpya itazuia wajinga hawa, nitaunga mkono, lakini usijekuta ni hawa wajinga ndo watasimamia mchakato wa katiba mpya! Si unajua huko jalalani?Bila Katiba Mpyaa Ujinga kama huu Hauta isha...
Mkuu samahani kama nimekukwaza. Hili wanalofanya ni utapeli. Hakuna dawa hapo. Ni wajanja wanakula fedha ya watu. Nakuapia niamini, sina nia mbaya. Nasikitika jinsi watu wanavyopigwa kidogo walichonacho bila huruma. Hata huko kwenye mamlaka kama TMDA usikuamini. Ohoo dear desperation makes people do unbelievable things!Hizo dawa zimekuwa registered na Mamlaka ya udhibiti wa dawa za binadamu, hizo form na TMDA ni kwa ajili ya kutoa feedback ya side effects za dawa.
Kama amenunua sehemu official, apeleke na ajaze malalamiko, sio atarudishwa pesa Ila kwa ajili ya feedback ya kuweza kusaidia wengine wasipate madhara.
I hope next time hautachangia kwa lugha za dharau.
Hayo madude nilikuwa napokea picha mbali mbali kwenye magroup ya whatsapp kutoka kwa wataalamu walioibuka kama uyoga kupambana na kovidiHaya madude yote unayo dukani au umeyabugia? Mengine kama vile kachumbali! Ni hatari kwa figo zako.
Walikuwa wanaenda na Dira ya Serikali ya awamu ya tano, elimu zetu zimeshamezwa na wanasiasa ndio maana Magufuli aliweza kutoa kauli zenye utata katika vita dhidi ya kovidi na wataalamu waliobobea katika maeneo hayo walikuwa wanaunga mkono na kumpigia makofi bila kuchallenge hata kidogo msimamo wake !Wengine wote hawa tuwaonee huruma kwa ufahamu wao. Tatizo ni hawa wa SUA na UD. Watu kama hawa ni pumbav kabisa! Elimu gani wanayotuonesha nchini kama wanatuletea mizizi na majani ya hovyo hovyo kiasi hiki?
Kheeeeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chagua unayotaka[emoji1787][emoji116]
View attachment 1845889
View attachment 1845890
View attachment 1845891
View attachment 1845892
View attachment 1845893
Umesahau 'SAUNA' ya mama Gwajima pale Muhimbili!