Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Kuna magonjwa yanayotusumbua Afrika lakini Ulaya hayapo. Kwa mfano, ugonjwa wa 'sleeping sickness' unaosababishwa na mbung'o hauna chanjo na ukichelewa tiba mara nyingi unaua. Mpaka sasa hivi hauna chanjo na mashirika ya madawa ya nchi za magharibi hawana habari nao kwa sababu hauna tija kwao. Taasisi pekee inalogharamia utafiti wa chanjo za ugonjwa huu ni la Bill na Melinda Gates. Kwa nini hao wakina Nimr hawajikiti kwenye kutafuta chanjo ya ugonjwa huu badala ya kuhangaika na dawa za kimaghumashi? Au na yenyewe tunangoja mabeberu watuonee huruma watutafutie chanjo?
Au chanjo dhidi ya sumu za nyoka ambao wana ua sana ndugu zetu huko vijijini?
Tunasikitisha sana.
Amandla...
Au chanjo dhidi ya sumu za nyoka ambao wana ua sana ndugu zetu huko vijijini?
Tunasikitisha sana.
Amandla...