Hizi gari hapana, nitabadilishana na Bodaboda

Hizi gari hapana, nitabadilishana na Bodaboda

Haahaahaaahaa[emoji16][emoji16][emoji28][emoji28]

Jamani nimecheka asubuhi hii mie[emoji28][emoji28]

Mkuu usichukulie kila kitu humu serious utapagawa buuree, watu wanaondoa stress zao humu!
Kazi kweli kweli,yaani unakuta dume kubwa kama Pepekalee uzito zaidi ya kilo 200 amejikunja ndani ya porte,passo au ist kumbe hizi ndio dharau zenyewe??

Lakini hao jamaa wenye vi-beby walker huwa wana fujo na mbwembwe barabarani utadhani wapo juu ya fuso.

Hahahahaaa,take easy@dianaSpencer.
 
Mkuu pole sana ila ndo ukweli. Haka ka gari ukiacha maelekezo home wakaoshe utakuta beki 3 kakatenga kwenye beseni anakasugua na dodoki. By the way hivi haka ukipiga honi kuingia home wanalazimika kufungua geti lote kaingie au inatosha kufungua kile ki mlango cha geti kidogo kwa ajili ya matumizi ya watu?
Hahahahaaaaaaa,nimejitahidi kuwatetea wenye vi-baby walker lakini bado ngumi za uso zinarushwa tu!!

Wenye vi-baby walker njooni huku mnadadavuliwa huku uwanjani kwenu.Msijifanye hamuuoni uzi.

Tusipotoshane!!!Hahahahaaaaaaa!!!!
 
Tunakomenti wapi sisi watembea kwa miguu..[emoji849][emoji849]
Tukomae tu humu humu,hatubanduki ng'ooo!!!Ni ligi kati ya wenye vi-baby walker,watembea kwa ngondi na wenye vyombo vinavyoitwa magari.

KIDUKULILO YUPO NJIANI ANATOKA MANZESE KUTOA UZOEFU!!!
 
Habarini Wakuu,

Tangu mwaka wa 2018 June nilikuwa nikihitaji at least kupata usafiri binafsi. Katika mchakato wa kuwashirikisha wajuzi zaidi wa magari na madalali baadhi wamekuwa wakisuggest aina za magari ambayo zilikuwa zinanichekesha sana Wallah

Kuna aina za magari binafsi naona zina muundo mbaya (body structure) hasa kwa Wanaume.

Ikitokea nikapewa zawadi ya magari hayo nitabadilishana na mtu mwenye pikipiki BOXER muda huohuo kabla ya Masaa 6.

Gari hizo ni Porte, Nadia na aina flan ya Suzuki:

Ukifumania halafu upate hasira ukatupa ngumi,mfumaniwa akaikwepa ngumi, gari aina hizo ikiwa na dereva karibu yako ngumi inaweza penya na kumjeruhi dereva wa hicho ki-baby walker(very soft cars kwa kweli!!!).

Hahahahaaaaa
 
Mtu mwenyewe kama lemutuz. Yaani alikuwa kama anakabaka.😀

Sina gari lakini hivyo vidude hapana😀😀 wanawake ndio vinawapendeza.
Sio kama wanavipenda ni Rahisi kwa mwanamme kuhonga hivyo "VITOYO"!! Samahani Lakini.
 
Huu uzi ukiuchunguza kwa kina utagundua wachangiaji wengi ni wapanda daladala, bodaboda na wale wachache wanaomiliki magari ya urithi.

Wale wenzangu na mimi waliojipinda na kununua hizo passo, suzuki, funcargo, nk. wametulia kimya huku wakishangaa nini hasa lengo la huu uzi! ni kejeli tu, kujimwambafai, sizitaki mbichi hizi, au!!!
Wachangiaji wa huu Uzi hawana magari kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji123]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini Wakuu,

Tangu mwaka wa 2018 June nilikuwa nikihitaji at least kupata usafiri binafsi. Katika mchakato wa kuwashirikisha wajuzi zaidi wa magari na madalali baadhi wamekuwa wakisuggest aina za magari ambayo zilikuwa zinanichekesha sana Wallah

Kuna aina za magari binafsi naona zina muundo mbaya (body structure) hasa kwa Wanaume.

Ikitokea nikapewa zawadi ya magari hayo nitabadilishana na mtu mwenye pikipiki BOXER muda huohuo kabla ya Masaa 6.

Gari hizo ni Porte, Nadia na aina flan ya Suzuki:

HUna akili
 
Waswahili bhana! kisa tu tugari hatuna makalio,Ni sawa na shepu hizi.
JamiiForums-1513256908.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom