Mpetde
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 3,955
- 6,546
Watu wakiambiwa watu wanalia wanabisha au mpaka wasogezewe Camera
Babu Njunju analia balaa baada ya Game hii ni comment kabla ya Game
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wakiambiwa watu wanalia wanabisha au mpaka wasogezewe Camera
Mhasibu yupo hovesiTupumzisheni
Nahisi tu Mwanamke alivyokua akigongwa Ikichomoka anaishika anaichomeka mwenyewe😂
Huwa unachonga sana ujueTupumzisheni
Wanajikutaga timu la duniaSema hii timu wanajikutaga man city yani😂😂
OKW BOBAN SUNZU alilia zaidi ya hivyo.B.... Mdakuzi kwani na wewe ulilia hivi?
Hasibu la ukoloni.Tupumzisheni
Inawezekana pia msipokezane mwenzio akaimba mwanzo mwishoMda wenu tambeni tuu kuimba kupokezana
Dah! Huu mwaka tutamaliza kwa shida sana na hawa Utopolo, imagine zimepita siku tatu sasa lakini wana nguvu ileile ya kutania.View attachment 2806822
Mwingine huyu hapa…
Nyie hii Nchi😁😁View attachment 2806822
Mwingine huyu hapa…
Hakuna cha Mda kwahio mmesharidhika saiv tu na mmejikatia Tamaa?Mda wenu tambeni tuu kuimba kupokezana
Dah! Kumbe nimeshikishwa huku, sikuwa na habari aisee. B... unataka nikataze na huku? LolView attachment 2806822
Mwingine huyu hapa…