Hizi hapa baadhi ya Comments za WanaJf Mashabiki wa Simba walizitoa kabla ya Derby

π™π™π™Š 𝙇𝙀𝙏𝙀𝙉𝙄 π™π™„π™ˆπ™ π™π™’π˜Όπ™‰π™…π˜Όπ™‰π™„[emoji16]

Nimeona andiko la Takadini anawaombea Utopolo wenzake eti Mechi isogezwe mbele, Poleni Sana π—¨π—§π—’π—£π—’π—Ÿπ—’ ninyi Hii Mechi ilishapangwa uzuri Hali ya hewa inaruhusu Kwasasa labda mtafute njia Nyingine ya kukwepa hiki kipigo [emoji123].

Ewe mwanasimba Anza kusogea uwanjani Sasa muda Ndiyo huu tukawafumue Utopolo kwa pamoja uzuri tayari washajaa kwenye reli yetu Ni muda Sasa wakwenda kuwazalilisha Vibonde wetu wa msimu uliyopita na Ngao ya Jamii [emoji3].

#NOTE
Leo uto mkiingia tu uwanjani tunafunga mageti yote Hakuna mtu kutoa Timu Kama sikuile mlivyotukimbia, Kuku Nyie [emoji2957].

MOUD Mtanzania #Nainjoy.
 
Kuna jamaa aliahidi atakunya kaja jana kijiweni hajaja toka atoke nduki ile jumapili wana wakamnunulia kiepe kiroho safi kwamba ni utani wa jadi wali asiogope kwani aliongea kwa mihemko ya kishabiki ebwanaa eeh baada ya kumaliza watu wakambadilikia wanataka mavi si aliahidi atakunya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…