πππ ππππππ ππππ πππΌππ
πΌππ[emoji16]
Nimeona andiko la Takadini anawaombea Utopolo wenzake eti Mechi isogezwe mbele, Poleni Sana π¨π§π’π£π’ππ’ ninyi Hii Mechi ilishapangwa uzuri Hali ya hewa inaruhusu Kwasasa labda mtafute njia Nyingine ya kukwepa hiki kipigo [emoji123].
Ewe mwanasimba Anza kusogea uwanjani Sasa muda Ndiyo huu tukawafumue Utopolo kwa pamoja uzuri tayari washajaa kwenye reli yetu Ni muda Sasa wakwenda kuwazalilisha Vibonde wetu wa msimu uliyopita na Ngao ya Jamii [emoji3].
#NOTE
Leo uto mkiingia tu uwanjani tunafunga mageti yote Hakuna mtu kutoa Timu Kama sikuile mlivyotukimbia, Kuku Nyie [emoji2957].
MOUD Mtanzania #Nainjoy.