Hizi hapa bifu zaidi ya 60 zilizowahi kutikisa hapa nchini zinazohusisha wanamuziki, watayarishaji wa muziki, media nk

Hizi hapa bifu zaidi ya 60 zilizowahi kutikisa hapa nchini zinazohusisha wanamuziki, watayarishaji wa muziki, media nk

Dah halafu ujue Guru Jamaa Hazeeki nilikutana naye siku moja mpaka nikashangaa Dah...
Ila Guru na Pfunk walikuwa na Roho kama zinafanana tu kwa Hali yake wanafaa kulaumiwa kuhusu kupotea kwa wasanii mbalimbali
Siku moja Mr. Blue alikua anafanya interview akaongea kwa uchungu sana, natoa ngoma kali ila haziendi popote. Hapo alikua na ile track amefanya Lamar inaitwa ngoma inasakata kama sikosei.. yaani alitoa ule wimbo unaitwa Safari, mkwaju mkali ila mapokeo madogo.. kumbe majamaa yamebana aisee

Waunganishwe na Ruge - wameua sana ndoto za wasanii
 
Bongo ukiwa na kitu au ukifanikiwa Kila mtu atakuchukia tu with no reason
Alafu pia hapo mabifu mengine ni ya mashabiki tu Ila wasanii hawahusiki yaan ni kama simba na yanga mchezaji anaweza kutoka simba akahamia yanga au akatoka yanga akahamia simba lakini ni ngumu shabiki kutoka simba akahamia yanga au akatoka yanga akahamia simba.
Period.
 
Aisee umenisanua sana, hii ishu ya J Moe sikua naifahamu. Ila line ya haya sasa nenda kwa J Moe nilijua imekaa kimbwembwe tu kumbe ilikua ina maana.

Nature aliumia sana aisee, ile album nzima alikuwa analia, na huenda ikawa ni album ambayo labda hapendi kuzisikiliza nyimbo zake, maana japo zilimpa hela ila zinamkumbusha machungu.

Sawa na ile forgive me ya P Funk, nahisigi mwamba itakuwa inamkera sana akiisikia siku hizi.
Na hyo nyimbi ya Majani si ndo Ile Ilokuwa inasemekana alimuimbia kajala..
Na kajala sijui anawapaga nini maana wasanii wakiachana naye lazma waimbe nyimbo...
Mcheck harmonise
 
Yeah, alimuimba na akamtaja jina kabisa verse ya 2 kama sikosei.

Demu linaonekana lina uchawi wa mapenzi
Na mwishoni nakumbuka Alisema Hii ninkwa ajili ya Mpenzi wangu anyeishi Polisi Osterbay na kajala kipindj hicho ndo alikuwa anaishi huko..
Kajala huwa anawavuruga sana hawa watu aisee

Unajua hta ile nyimbo ya Yote ni Maisha ya Madee na Pfunk lengo lilikuwa kJala
 
unamkumbuka rafiki yake na Sinta kipindi hicho walikuwa wanaigiza naye alikuwa anaitwa Nina (Mdada fulan alikuwa ana macho fulan hivi) Ndo walienda naye sasa shida ikaja Nina alipobanwa sana na Nature aliporudi Bongo baada ya scandel kuzagaa mwenye magazeti ya udaku ya shigongo ikabidi aropoke tu Mzigo wake umeliwa na Dandu 😅😅
Nina alikuwa anajiita Naina😄😄 lidemu lijanja janja..
 
huu mstari sikuwa najua kwamba Jay Mo alichapa/tongoza manzi
nilichokuwa najua, Nature ali refer wimbo wa "Kama Unataka dem" ambao Jay Mo aliwataja madem anaowa-admire, ikiwemo Kajala, na wengine kibao
Hamna alichapapa...
Uliwahi kupata muda kuisikiliza Sitaki demu Rmx aliyoimba na BK...
Sitaki demu ya Kwanza madhani uliielewa..kipande cha Jaymoe..

Ngoja nikuwekee Verse ya pili ya huo wimbo RMx Ya Sitaki demu halafu nikufafanulie....

Kanuni ya kisanii Ngoma ukweli unamata,
Utaipata pata pata pataa,
Na the saga continue ,Kisa kinaendelea,
Nilipoingia Ndani ya gari nilimkuta msichana bonge Hivi anaitwa Jack, samahani lakini Sikupaki eeh,
Akasema mi naomba twendeni njari tukale,
halafu tukitoka hapa mmh mkalale,
Zikapita hatua Mbili tulipendana sio siri,
Mapenzi yaliiva yakawa yale ya kijasiri,
Nikapata Trip moja kwenda Tanga kusafiri,
Niliporudi mama yangu Magari,
Leo nissan patrol,Kesho pickup nyeupe inayoendeshwa na yule bishoo, Nikimuuliza ugomvi eeh kaka angu,
Nikimuliza ugomvi ooh baba angu..
We mtoto we unamuongopea nani hapa,
Wakati hapa mjini ukiwa nazo unakata,
Simu kila sekunde ya kazi moja za mapenzi kumi,..............
......


Kama utakumbuka Jay mo kipind hicho alikuwa na gari fullan hivo nyeupe Pick up ilikuwa inasemekana ni ya kwao lakini..

Na kipindi hicho ndo watu walikuwa wanamwita sana Bishoo na mpaka akatoa ile nyimbo ya We bishoo kama unakumbuka...

Japo nahisi waliyamaliza maana walianza kufanya ngoma pamoja kama zaman...
Ile ngoma yao ya 2002 inaitwa mshamba..
Na zingine zipo zilifuata baada ya bifu
 
Nasikia bifu la Shetta na Diamond ni sababu Diamond alimkula mama Qayllah

Walipatana lini?
Story za kubumba, bif lao ni kwamba shetlands ndo aliweka kinyongo na shetlands mwenyewe alikuja kusema mwenyewe.

Baada ya diamond kutoboa Africa, shetta alikua anatafutaa tobo nigeria kupitia diamond yaan bure bure tu. diamond sasa meneja wa diamond hasa salam walikataa.

Kuna siku shetta alisema mbona tena mwaka jana tu na akasema ilimkomazA le hali baada ya kubaniwa.

Kiufupi ni kwamba baada ya diamond kuanza kufanya kaz na salam aliacha kufanya kaz hovyo hovyo na wasanii wengine wala mahusiano yasio na maslah kwake na hapo wengi wakaanza chuki kwake, ila hiyo ni mitizamo ya meneja wake salam
 
Sababu kuu ndio hiyo ,Shetta wivu ulimzidi akahisi Diamond anatembea na mama Qayla na wapambe walimjaza sana.

Kukaa mbali na Diamond kukampoteza mazima Shetta maana alikuwa swahiba mkubwa na Diamond so walivyogombana na kukaa mbali naye mashabiki pia tukamtenga na yeye akapoteza mazima ndipo akaangukia mambo ya siasa.

Japo Shetta ukimuuliza atakwambia mambo ya kibiashara ndiyo yaliyowaweka mbali kipindi hicho japo kwa sasa urafiki umerudi sema sio maswahiba sana kama kipindi hicho 2014 kushuka chini.
Ni mambo ya kibiashara na hiyo ilitokana na kina salam kuanza kulinda brand ya msanii wao diamond aliacha kufanya kaz na wasanii wa bongo hata kuonekana tu ni mpka matukio maalum.

Pongezi sana kwa salam kamfanya diamond kuwa alipo.

Shetta alisema mwenyewe ni issue biashara kipindi anatafta tobo Nigeria alimuomba diamond amsaidie kwakua yeye alikua kashatoa Nigeria lkn kina salam wakataa kufanya mambo kienyeji
 
Hamna alichapapa...
Uliwahi kupata muda kuisikiliza Sitaki demu Rmx aliyoimba na BK...
Sitaki demu ya Kwanza madhani uliielewa..kipande cha Jaymoe..

Ngoja nikuwekee Verse ya pili ya huo wimbo RMx Ya Sitaki demu halafu nikufafanulie....

Kanuni ya kisanii Ngoma ukweli unamata,
Utaipata pata pata pataa,
Na the saga continue ,Kisa kinaendelea,
Nilipoingia Ndani ya gari nilimkuta msichana bonge Hivi anaitwa Jack, samahani lakini Sikupaki eeh,
Akasema mi naomba twendeni njari tukale,
halafu tukitoka hapa mmh mkalale,
Zikapita hatua Mbili tulipendana sio siri,
Mapenzi yaliiva yakawa yale ya kijasiri,
Nikapata Trip moja kwenda Tanga kusafiri,
Niliporudi mama yangu Magari,
Leo nissan patrol,Kesho pickup nyeupe inayoendeshwa na yule bishoo, Nikimuuliza ugomvi eeh kaka angu,
Nikimuliza ugomvi ooh baba angu..
We mtoto we unamuongopea nani hapa,
Wakati hapa mjini ukiwa nazo unakata,
Simu kila sekunde ya kazi moja za mapenzi kumi,..............
......


Kama utakumbuka Jay mo kipind hicho alikuwa na gari fullan hivo nyeupe Pick up ilikuwa inasemekana ni ya kwao lakini..

Na kipindi hicho ndo watu walikuwa wanamwita sana Bishoo na mpaka akatoa ile nyimbo ya We bishoo kama unakumbuka...

Japo nahisi waliyamaliza maana walianza kufanya ngoma pamoja kama zaman...
Ile ngoma yao ya 2002 inaitwa mshamba..
Na zingine zipo zilifuata baada ya bifu
😬 😬 😬 😀 mistari ina code ngumu sana, nisingeweza ng'amua kwa kweli
 
Hawa walipatana na walitoa wimbo unaitwa "tusahau".

Kwenye mstari mmoja Afande aliimba "Japo shetani hapendi ila kwa Mungu ni zaidi ya ushindi"

Hadi leo pia naona Selemani na Philipi wanaongea.
Yeah umenikumbusha ile (tusahaau yakiyopita na tugange) yeeh nimekumbuka mkuu Shukrani sana
 
Hii diss ilikaa kikuda sana. Chanzo cha bifu ni pale Afande aliposhinda shindano la rapa bora na kupewa gari. Solo alidai yeye ndio alistahili kuwa mshindi na sio "Mgambo Sele". Sijajua kama walishapatana. Ila ile "Mtazamo" ndio inabaki kuwa collabo yangu ya muda wote
Solo aliamini kama sio yeye basi walau Nigga J a.k.a professor Jay alistahili kupewa ushindi Ila mgambo Sele kushinda aliona n upendeleo wa wazi...

Ndo maana kwenye Ngoma ya "Kilio Changu" Solo alieleza hawezi shiriki tena hata zawadi waweke Meli maana mshindi hua ameandaliwa tayari...
 
Back
Top Bottom