Unajiskiaje Utopwenga?Wewe Zile Jezi Ni Kali Huwez Fananisha Na Za Kwenu Zile Kila Sehemu Matangazo Ya Mo, Ngowi Hawezi Design Upuuzi Kama Huo Mnaosambaza Nyie Makolo Aweke Majengo Kwenye Jezi Kwani Ni Shati Hilo.
Manaraunapenda mavi et
Imetosha sasa na wewe, 😄😄[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya shougaaa angu, nipe ubuyu wa madekio yenu.
Byuti byuti.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Msimu ujao watawekewa picha za magari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapana badoooo.Imetosha sasa na wewe, [emoji1][emoji1]
DuhSawa kama hiyo jezi watavaa wanamitindo haina shida, ngoja wavae wakina Asu uone yale makazi holela yanavyotisha
SHERIA NGOWI HAWEZI KUBUNI UPUUZI KAMA HUO.
Duh, nimezoom nimemuona Askari wa pale Posta na yeye yumo..!
Hiyo ya kijani hapsna watubadilishie...
Ya njano nzuri, nyeusi nzuri sana.
Usihadaike na picha, nimeiona live, mwanzoni nilihisi jezi ni mbaya kumbe ni Kamera tu.
Jezi zote ni Kali sana.