Hizi hapa Jezi mpya za yanga zavuja kabla uzinduzi

Hizi hapa Jezi mpya za yanga zavuja kabla uzinduzi

Utatoa 35k huoi?????

Byuti byuti.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo la bambukicha ni ushamba unawasumbua mmezoea kuvaa matambala ya mbet.
Mpaka pisi kali Hannah kaikubali we nani unakataa kama sio ushamba?😂😂
 
Kumbe wameigaaaa??? Afu wamekoseaaaah. Woiiiiih.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaigaje Jezi za msimu huu za timu fulani??? Yaan ushawahi ona jezi iko designed kwa Wiki moja tu???
 
Tatizo la bambukicha ni ushamba unawasumbua mmezoea kuvaa matambala ya mbet.
Mpaka pisi kali Hannah kaikubali we nani unakataa kama sio ushamba?[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kunywa maji ya uvugu vugu, afu pumzikaa.
Ukiamka utajadili kuhusu dekio zenu, weraaaaaaaaaaaaaah.
Sasa unalia nn? Ngowi kawapiga panapoumaaa!!!!

Byuti byuti.
 
Simba za msimu uliopita walichukua idea ya jezi ya Arsenal kwenye third kit yao.
Sasa Kama mmewaiga wolves vipi kuhusu idea ya ngowi kwenye hyo Bui Bui na yeyewe ameiga wolves au katunga yake?
 
Unaigaje Jezi za msimu huu za timu fulani??? Yaan ushawahi ona jezi iko designed kwa Wiki moja tu???
Km CUBA hukusoma ni wee, wala sio shida zangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Byuti byuti.
JamiiForums1340972072.jpg
 
Usihadaike na picha, nimeiona live, mwanzoni nilihisi jezi ni mbaya kumbe ni Kamera tu.

Jezi zote ni Kali sana.
Acha kuwatetea mkuu hawa wamezingua hiyo ya kijani nitanunua nyeusi au yellow.
 
Acha kuwatetea mkuu hawa wamezingua hiyo ya kijani nitanunua nyeusi au yellow.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nacheka hadi mbavu zinauma, eti nn??
 
Back
Top Bottom