Hizi hapa Jezi mpya za yanga zavuja kabla uzinduzi

Hizi hapa Jezi mpya za yanga zavuja kabla uzinduzi

Jezi imejaza mitaa yote ya buza kuanzia kwa Lulenge, kwa Mpalange hadi kwa mama Kibonge.
 
Kuna mnara wa skari pale posta harafu mbona namuona yule traffic wa pale mnazi mmoja
IMG-20220728-WA0026.jpg
 
Wewe Zile Jezi Ni Kali Huwez Fananisha Na Za Kwenu Zile Kila Sehemu Matangazo Ya Mo, Ngowi Hawezi Design Upuuzi Kama Huo Mnaosambaza Nyie Makolo Aweke Majengo Kwenye Jezi Kwani Ni Shati Hilo.
Kwa jinsi ambavyo huwa wanatokwa na akili, nategemea kumuona huyu boya akizipamba na kuzisifia baada ya kugundua kuwa ndio zenyewe.

Nyinyi subirini tu mtaona[emoji23].
 
Wewe Zile Jezi Ni Kali Huwez Fananisha Na Za Kwenu Zile Kila Sehemu Matangazo Ya Mo, Ngowi Hawezi Design Upuuzi Kama Huo Mnaosambaza Nyie Makolo Aweke Majengo Kwenye Jezi Kwani Ni Shati Hilo.
kwa taarifa Utopolo wengi wamezikataa jezi. sometimes unapiga kimya kuficha upimbi
 
Wewe Zile Jezi Ni Kali Huwez Fananisha Na Za Kwenu Zile Kila Sehemu Matangazo Ya Mo, Ngowi Hawezi Design Upuuzi Kama Huo Mnaosambaza Nyie Makolo Aweke Majengo Kwenye Jezi Kwani Ni Shati Hilo.

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wewe Zile Jezi Ni Kali Huwez Fananisha Na Za Kwenu Zile Kila Sehemu Matangazo Ya Mo, Ngowi Hawezi Design Upuuzi Kama Huo Mnaosambaza Nyie Makolo Aweke Majengo Kwenye Jezi Kwani Ni Shati Hilo.
Hizo jezi bado ni upuuzi au saizi ume change baada ya kuona ile leak ndio hiyo hiyo iliyotambulishwa official?
 
Back
Top Bottom