Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Umesema vyemaWazaramo wanasema.
USINENE UKAMALA.
Tuwe na AKIBA ya Maneno.
Umdhaniaye ndiye kumbe site.
Kila lakheri Tanzania.
Mnaanza kubwabwaja na kutafuta sababu za kipuuzi puuzi mnajua timu bora ndiyo itakayotoboa na timu ya kuungaunga itajulikana tu mbele ya safari, unakimbilia ratiba wakati kila timu ratiba ziko sawa acha undezi weweUto wako na Ratiba nyepesi sana, ila kwasababu wao ni losers basi tutegemee kuona mengi
Kwanini mko hapo mlipo?Mnaanza kubwabwaja na kutafuta sababu za kipuuzi puuzi mnajua timu bora ndiyo itakayotoboa na timu ya kuungaunga itajulikana tu mbele ya safari, unakimbilia ratiba wakati kila timu ratiba ziko sawa acha undezi wewe
Taja timu ulizocheza nazo mpaka ukawepo apo, Wale Ihefu wa msumbiji na Ruvu shooting wa Angola ndio unaona ulipita kwenye timu za maana, acha ujingaKwanini mko hapo mlipo?
Hayo ndio mashindano mliyoanza nayo au kwasababu ya kuunga unga mmejikuta mko hapo?
Katika hao waliokutoa taja nani amefikia nusu ya uwezo wa Al Ahly ambaye nampasuaga hapa lusapo?Taja timu ulizocheza nazo mpaka ukawepo apo, Wale Ihefu wa msumbiji na Ruvu shooting wa Angola ndio unaona ulipita kwenye timu za maana, acha ujinga
Unatuletea mambo ya miaka ya 2000 uko nenda kamchape tena Aly aaly sasa hivi tuone, na uyo Al hilal unaemsema cheza naye mechi rasmi ya kimashindano tuone kama utaweza kumtoa kwa kikosi chako icho cha wakina kibuKatika hao waliokutoa taja nani amefikia nusu ya uwezo wa Al Ahly ambaye nampasuaga hapa lusapo?
Hao Al Hilal washawahi chapika home and away
Na leo tunawachapa tena
Kwenye hio miaka ya 2000 nawe si ulikuwa unashiriki, tuambie ulifika wapi?Unatuletea mambo ya miaka ya 2000 uko nenda kamchape tena Aly aaly sasa hivi tuone, na uyo Al hilal unaemsema cheza naye mechi rasmi ya kimashindano tuone kama utaweza kumtoa kwa kikosi chako icho cha wakina kibu
endeleeni kukaririMnyama Simba atakusanya point nyingi tunzeni koment yangu mtakuja kuniambia.
Hapa tunaongelea current atuongelei past, kwa timu yako iyo uliyonayo sasa unaweza kuwafanyaje hao miambaKwenye hio miaka ya 2000 nawe si ulikuwa unashiriki, tuambie ulifika wapi?
Kwani Al Hilal mechi ya kimashindano sijacheza naye?
Current ni lini?Hapa tunaongelea current atuongelei past, kwa timu yako iyo uliyonayo sasa unaweza kuwafanyaje hao miamba
Mbona umecheza iyo loser ukachomolewa utumbo na kaizer chief baada ya kuroga mpaka uwanja ikashindikana, kama ni loser ulishindwa nini kutoboaCurrent ni lini?
Ni hii ambayo umeangukia kwa losers?