ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Hivi kwanini hua mna viherehere? hawezi zungumuzia timu yako bila kuwashwa na ya jiraniUto wako na Ratiba nyepesi sana, ila kwasababu wao ni losers basi tutegemee kuona mengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kwanini hua mna viherehere? hawezi zungumuzia timu yako bila kuwashwa na ya jiraniUto wako na Ratiba nyepesi sana, ila kwasababu wao ni losers basi tutegemee kuona mengi
Hawa hawa yakiharibika watakuja na matusi mpaka Barbara atatukanwa japo hayupo.watanzania ktk ubora wenu
Kuhusu Kiherehere mlaumu mleta mada kutoa option watu watoe maoni yanayohusisha timu zoteHivi kwanini hua mna viherehere? hawezi zungumuzia timu yako bila kuwashwa na ya jirani
Na mtachapika haswa, kama vile naziona zile hamsa hamsa zikirejea[emoji23][emoji23][emoji23]Kila mtu aombee timu yake..ila hizi chuki aisee kwa sasa hakuna uzalendo tenaa...
Nyoka wanasubiria tupate kichapo hyo trh 11 na sisi tunawasubiria kichapo heavy tarehe 12 hahahahhahahha
Hamsa hatuziogopi maana tulishawapiga sana nyie....Na mtachapika haswa, kama vile naziona zile hamsa hamsa zikirejea[emoji23][emoji23][emoji23]
Tuombe kheri jumamosi sio mbali. Sijui mmejiandaa kwa visingizio gani safari hii[emoji23][emoji23]Hamsa hatuziogopi maana tulishawapiga sana nyie....
Nyie ndo ndo mjiandae kisaikolojia...
Nani anavisingizio?.ni mara ngapi tunapigwa nje huko...ila baaadae nadhani unajua vizuri...Tuombe kheri jumamosi sio mbali. Sijui mmejiandaa kwa visingizio gani safari hii[emoji23][emoji23]
Penati ndio ushindi walioupata na ni kitu ambacho hakitumiwi kama factor ya ku determine ubora wa timu.Mbona umecheza iyo loser ukachomolewa utumbo na kaizer chief baada ya kuroga mpaka uwanja ikashindikana, kama ni loser ulishindwa nini kutoboa
Ulishindwa nini ku win ndani ya 90 mins mpaka usubiri penaltyPenati ndio ushindi walioupata na ni kitu ambacho hakitumiwi kama factor ya ku determine ubora wa timu.
Back to you....kwanini kwenye hiyo loser wewe hukufika hatua hiyo?
We ni loser wa namna gani hata kwenye loser una lose?
Huo sio msemo wa kizarammo ni msemo wa kidigo,Wazaramo wanasema.
USINENE UKAMALA.
Tuwe na AKIBA ya Maneno.
Umdhaniaye ndiye kumbe site.
Kila lakheri TaTanzania.
EasyUlishindwa nini ku win ndani ya 90 mins mpaka usubiri penalty
Watu mna maneno [emoji38][emoji38]Vyura wapo kama hawapo...kimataifa wanakamilisha ratiba tuu..