Hizi hapa ni Sababu za msingi kwa Watu wote kuichangia Chadema ili kusambaza "NO REFORM NO ELECTION"

Uchungu wa kuzaa bado? Unaumia ukiwa wapi mtafiti uchwara?
Gentleman,
naona unashupaza shingo ili kupata uzoefu wa kutapeliwa na kibaka wa siasa za Chadema,

mpaka uje kujitambua, utakua umehenyentwa maokoto ya kutosha na umechoka vizuri sana kiuchumi 🐒
 
Michango ya hali na mali inaweza kupatikana.
Lakini hatua ile ya mwisho ya kushinikiza kwa maandamano ya heri na shari nina wasi wasi sana na hawa Watanzania.
Ndo nchi pekee ninayoijua watu wake hata uwafanyie uovu gani hawaendi barabarani.(labda siku 1 bivi ya kimihemko).
Historia ilituondolea aggressiveness.
Nadhan kuna haja CDM pia wawe na plan B kama trained militia.(kuzipiga kavu kavu)
Hakuna asiyejua kwamba kinachohubiriwa na CDM ni kikubwa hivyo kitajibiwa kwa ukubwa ule ule na kundi lenye ukubwa pia.
Wanaoamini nguvu za nje (za kimaslahi na kinafiki) kuleta matokeo, nitakuwa wa mwisho kumuelewa.
CDM waboreshe mfumo wa propaganda kupitia social media kuliko kuzunguka tuuuuu.
 
Gentleman,
naona unashupaza shingo ili kupata uzoefu wa kutapeliwa na kibaka wa siasa za Chadema,

mpaka uje kujitambua, utakua umehenyentwa maokoto ya kutosha na umechoka vizuri sana kiuchumi 🐒
Mimi ninazo na naweza kukusaidia kila kitu huko kwako usiwe na wasiwasi ila propaganda za kiccm hazinatija kwa hapa.
 
-ZILE ZILIZOCHANGWA KWA AJILI YA GARI LAKE MBONA HAKUNA GARI LIPYA / TOA KWA MOYO WAKO, USIULIZE MATUMIZI YAKE.
 
Acheni utapeli, mna tofauti gani na kiboko ya wachawi?? Mwenyekiti wenu mpya tulimchangia kununua gari mpaka leo hajanunua. Mnasema wananchi wana umaskini wa kutupwa, hizo fedha za kuchangia watazitoa wapi? Ulaghai.
 
Nitachanga kuchangia mabadiliko ya msingi katika uendeshaji wa nchi yetu.
Tunahitaji viongozi wazalendo wapatikane kupitia chaguzi huru na za haki.
 
Acheni utapeli, mna tofauti gani na kiboko ya wachawi?? Mwenyekiti wenu mpya tulimchangia kununua gari mpaka leo hajanunua. Mnasema wananchi wana umaskini wa kutupwa, hizo fedha za kuchangia watazitoa wapi? Ulaghai.
Kwani umelazimishwa?
Toka lini chawa akachangia chochote?
We subiri ulipwe vijisenti vya uchawa huko uliko kwa hao wanaokula kodi zetu, wakivimbiwa wakukumbuke na wewe.
 
Pia tunaaswa kuchangia sana ili watawala wajue kuwa wananchi kweli wamechoka tuchangie kila mtu kuwatia moyo wapambanaji tuchangie kama hatuna akili nzuri, usiangalie wewe chama gani au huna chama, viongozi wamekuwa jeuri kwakuwa wanajua nchi hii hakuna uchaguzi na vyama vina hali ngumu kifedha na mara nyingi wanawahinga viongozi wakuu wa vyama ili wafifishe harakti ila safari hii wamekutana na kigagashi hali rushwa, hatishwi na hatishiki na wala hafi kwa risasi na hana biashara yoyote ya kuhofia kupoteza ni yeye kama yeye tumuunge mkono Lisu. Usindi upo karibu sana. Ulimwengu utambue kuwa wale Watanzania ambao Mzee Jomo Kinyata alimwambia Nyerere kuwa anatawala Maiti, wawaone kuwa Maiti zimeamka. Mama ntilie machinga, mwalimu, mfanyabiashara, Polisi, mwanajeshi, mfanyakazi serikalini, secta binafsi, mwanafunzi, na yoyote yule mwenye mapenzi y,, ya nchi hii changia harakati hizi, changia mapambano haya, hata kama CDM hitashinda ila kukiwa na mifumo mizuri ya kupata viongozi hata hao wa CCM watatueshimu. Kwa sasa waafanya maamuzi wanayopebda wao kwakuwa wanajua kua watawaengua robo tatu ya wapinzani na robo itayobaki watawafanyia vitimbwi kwenye box la kura
 
Sisi tunachangia,sema wewe huchangii
 
Empty head
 
Mshawaona wanachama wenu mazuzu! Za join the chain mligawana sasa mnatafuta nyingine
 
Tunataka kwanza Taarifa za Mapato na Matumizi ya;
a) Join the chain
b) Pesa ya kununulia gari aliyekuwa Makamu Mwenyekiti ambaye sasa ni Mwenyekiti.
c) Pesa zote za Chadema Digital
d) Pesa za ruzuku tangu 2020 hadi sasa

Chadema ya sasa iliahidi ukweli na uwazi kwenye Mapato na Matumizi, hivyo tunaomba tatizo hizo ili tufikirie kuwashawishi wachangiaji!!
 
Mimi ninazo na naweza kukusaidia kila kitu huko kwako usiwe na wasiwasi ila propaganda za kiccm hazinatija kwa hapa.
muulize tu mbona alichangiwa anunua gari jipya na hajanunua mpaka leo na bado anaomba kuchangiwa pesa tena 🐒
 
NAFURAHI KUONA WATANZANIA WAMEAMKA SASA, KABLA YA KUCHANGA TUHOJI ZILE ZOTE ZA AWALI, CHADEMA NI TAASISI, INAENDESHWA KWA MAHESABU, TUPIGIWE MAHESABU NA MATUMIZI, NDIPO TUANZE KUCHANGIA UPYA, PIA MBOWE ASIANGUSHIWE JUMBA BOVU, KWA SABABU CDM NI TAASISI
 
Uko sahihi.Mali bila dafttari na ripoti hupotea kimyakimya bila taarifa

Watoe ripoti kwanza kabla kuitisha michango mipya sio hiari ni lazima sio watoe sijui kwa CAG watoe kwa wanachama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…