SoC04 Hizi hapo title za kufanyia utafiti/ research kwa ajili ya wanazuoni na wadau wengine, title ambazo hazijafanyiwa kazi mpaka Sasa kwa sector zote

SoC04 Hizi hapo title za kufanyia utafiti/ research kwa ajili ya wanazuoni na wadau wengine, title ambazo hazijafanyiwa kazi mpaka Sasa kwa sector zote

Tanzania Tuitakayo competition threads

PAZIA 3

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
1,102
Reaction score
1,919
Habari za Leo tena, karibu katika jamvi la story of change, jukwaa linaloibua mawazo mapya. Leo katika Uzi wangu huu, nataka wadau wote kutoka katika sector zote, tusaidie wadau na wanazuoni wanaotafuta titles za kufanyia research ambazo bado hazijawahi kufanyiwa kazi kabisa, naomba tuwe watulivu kabla ya kupost hizo titles ili unapoweka title iwe productive kwa ajili ya jamii zetu na taifa kwa ujumla. Pia niwaombe moderators wa Jforum, kuipin hii thread ili iwe accessable muda wote na wadau wote wanaotafuta titles kwa ajili ya kufanyia utafiti/research. Karibuni sana . Mimi nitaanza na hizi
  • Vyakula vyenye athali kwenye mwili wa binadamu hususani afya ya akili
  • koo zenye mafanikio makubwa Tanzania na Siri za mafanikio Yao
  • Idadi ya watoto na watu wazima wenye akili kubwa zaidi Tanzania
Upungufu na wingi wa watumishi wa Mungu unavyochochea amani na maendeleo katika jamii zetu
  • Ufugaji wa wadudu, faida na changamoto zake.
  • Biashara ya vitu chakavu, faida na changamoto zake katika jamii
  • Ufanisi wa mitandao ya kijamii nchini Tanzania
  • Mitandao ya simu inavyoathili shughuli za maendeleo katika jamii
  • Kukati kwa umeme na athali zake katika ukuaji wa maendeleo katika jamii
  • Alama za taifa zinavyochochea maendeleo katika uchumi wa taifa
  • Historia ya Tanzania inavyochagiza maendeleo ya taifa
- Kiwango Cha elimu Cha viongozi wa kiserikali, Bunge na mahakama kinavyochochea maendeleo katika jamii zetu
  • Athali ya mabadiliko ya Khali ya hewa kwenye maeneo yaliyosifika zaidi kiuzalishaji wa mazao nchini Tanzania
  • Idadi ya nchi rafiki zinazofaa kwa watanzania kwenda kuishi kwa ajili ya kufanya biashara na shughuli zingine za kimaendeleo
- Matumizi ya TEHAMA kwenye sector ya kilimo yanavyochochea maendeleo kwa wakulima na wafugaji
  • Vazi linalopendwa zaidi na watanzania kama alama ya vazi la taifa
  • Michezo isiyopewa kipaumbele, faida na hasala zake kuzishiriki
  • Orodha ya biashara nzuri na ngumu kwenye kuchochea maendeleo ya jamii
  • Faida na athali za Vijana katika taifa kujishughulisha na michezo ya kubahatisha na kamali
  • Orodha ya ndoa zilizodumu zaidi Tanzania, Siri na changamoto walizopitia wanandoa hao
  • Orodha ya milima yenye urefu mkubwa kwa Kila mkoa na wilaya

Hizi ni ideas zangu, zipo titles nyingi sana, naomba tuandike kwa faida ya wadau mbalimbali wa tafiti
Karibuni sana 🙏🙏
 
Upvote 2
Vyakula vyenye athali kwenye mwili wa binadamu hususani afya ya

Ufugaji wa wadudu, faida na changamoto zake.

Faida na athali za Vijana katika taifa kujishughulisha na michezo ya kubahatisha na kamali

Orodha ya ndoa zilizodumu zaidi Tanzania, Siri na changamoto walizopitia wanandoa hao

Idadi ya watoto na watu wazima wenye akili kubwa zaidi Tanzania
Serikali au kampuni moja ini'fund mie nifanyie kazi hizo tafiti. Mtafiti nipo hapaa tiyaritiyari 🤫🏃

Nilifanya utafiti chini ya udhamini wa Sahili (Research &Development) and marketing Productions wa je shaba inaweza kuwa mbadala wa bima ya afya naona matokeo yamekuwa ni hakuna utofauti(matokeo hayajaridhisha). Japo imefanyika kwenye mahindi na sio watu wala panya.

Mtoa mada na wengine kama vipi hivi hatuwezi kujipanga na kufanya utafiti wenye faida kwenye mojawapo hapo? Tatizo baadhi ya tafiti hazina namna ya kumlipa mtafiti na kampuni maana ni public interest. Sasa kama ina faida kwa public tu, basi ifanyiwe public funding.

Maana utafiti kama huo juu ingekuwa ni kweli si tungeshapata bima ya afya ya taifa zima 😁😁😁. Na hata hivyo tunahitaji kufanya tafiti nyingi sana kupunguza ushirikina Tanzania
Ahsante sana mleta mada
 
Back
Top Bottom