Hizi hospital za serikali omba Mungu sana usipelekwe huku ukiwa serious. Unaweza kufa na wahudumu wa afya Wala hawajali

Hizi hospital za serikali omba Mungu sana usipelekwe huku ukiwa serious. Unaweza kufa na wahudumu wa afya Wala hawajali

Zegota

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2020
Posts
341
Reaction score
719
Niko hospital ya wilaya ya Butiama mda huu. Mama yake na rafiki yangu amepata ajali ya pikipiki, mguu kuanzia kwenye mapaja mpaka kikanyagio haufai, nyama hakuna mifupa Iko nje.

Picha linaanza anafikishwa hospitali anawekwa pembeni mnaambiwa daktari hayupo, hamna huduma yoyote na ukimuangalia mgonjwa hutamani kumuangalia mara ya pili. Baada ya masaa daktari anafika, anasema Kwa hali hii hapa hatuwezi.

Kuandika rufaa kwenda hospitali ya mkoa watu wanajivuta, mpaka ndugu wanawakoromea lakini masaa yanapita.

Mama watu anaugulia maumivu, na vile huku hamna hospitali nzuri ya Private ni shida tupu. Masaa manne mpaka Sasa mgonjwa bila huduma na Yuko serious.

Hivi Hawa madaktari Huwa haumwi? Unaweza kumchapa mtu ngumi

Wazee tutapambane kutafuta hela, tuishi mikoa yenye huduma muhimu. Hizi hospitali za serikali ni utopolo, wengi huku wanakufa Kwa kukosa huduma na hakuna anayejali.

Haya ninayojionea yanatia hasira
 
Tumia technology ikusaidie, rekodi Hao madaktari wanaoleta pozi afu rekodi na Hali ya mgonjwa, ukitupia jf kesho hao kenge hawana kazi, maana viongozi wetu hua hawachukui hatua mpaka watu wapige kelele jf/Twitter huko, viongozi na wenyewe wanapenda kiki tu...


Shenzi!
 
Niko hospital ya wilaya ya Butiama mda huu. Mama yake na rafiki yangu amepata ajali ya pikipiki, mguu kuanzia kwenye mapaja mpaka kikanyagio haufai, nyama hakuna mifupa Iko nje.

Picha linaanza anafikishwa hospitali anawekwa pembeni mnaambiwa daktari hayupo, hamna huduma yoyote na ukimuangalia mgonjwa hutamani kumuangalia mara ya pili. Baada ya masaa daktari anafika, anasema Kwa hali hii hapa hatuwezi.

Kuandika rufaa kwenda hospitali ya mkoa watu wanajivuta, mpaka ndugu wanawakoromea lakini masaa yanapita.

Mama watu anaugulia maumivu, na vile huku hamna hospitali nzuri ya Private ni shida tupu. Masaa manne mpaka Sasa mgonjwa bila huduma na Yuko serious.

Hivi Hawa madaktari Huwa haumwi? Unaweza kumchapa mtu risasi.

Wazee tutapambane kutafuta hela, tuishi mikoa yenye huduma muhimu. Hizi hospitali za serikali ni utopolo, wengi huku wanakufa Kwa kukosa huduma na hakuna anayejali.

Haya ninayojionea yanatia hasira

Poleni Sana mkuu . hizo ndo changamoto za watumishi wa serikali.
 
Niko hospital ya wilaya ya Butiama mda huu. Mama yake na rafiki yangu amepata ajali ya pikipiki, mguu kuanzia kwenye mapaja mpaka kikanyagio haufai, nyama hakuna mifupa Iko nje.

Picha linaanza anafikishwa hospitali anawekwa pembeni mnaambiwa daktari hayupo, hamna huduma yoyote na ukimuangalia mgonjwa hutamani kumuangalia mara ya pili. Baada ya masaa daktari anafika, anasema Kwa hali hii hapa hatuwezi.

Kuandika rufaa kwenda hospitali ya mkoa watu wanajivuta, mpaka ndugu wanawakoromea lakini masaa yanapita.

Mama watu anaugulia maumivu, na vile huku hamna hospitali nzuri ya Private ni shida tupu. Masaa manne mpaka Sasa mgonjwa bila huduma na Yuko serious.

Hivi Hawa madaktari Huwa haumwi? Unaweza kumchapa mtu risasi.

Wazee tutapambane kutafuta hela, tuishi mikoa yenye huduma muhimu. Hizi hospitali za serikali ni utopolo, wengi huku wanakufa Kwa kukosa huduma na hakuna anayejali.

Haya ninayojionea yanatia hasira
Wazee wanaobaki mjini baada ya kustaafu sio wajinga
 
Niko hospital ya wilaya ya Butiama mda huu. Mama yake na rafiki yangu amepata ajali ya pikipiki, mguu kuanzia kwenye mapaja mpaka kikanyagio haufai, nyama hakuna mifupa Iko nje.

Picha linaanza anafikishwa hospitali anawekwa pembeni mnaambiwa daktari hayupo, hamna huduma yoyote na ukimuangalia mgonjwa hutamani kumuangalia mara ya pili. Baada ya masaa daktari anafika, anasema Kwa hali hii hapa hatuwezi.

Kuandika rufaa kwenda hospitali ya mkoa watu wanajivuta, mpaka ndugu wanawakoromea lakini masaa yanapita.

Mama watu anaugulia maumivu, na vile huku hamna hospitali nzuri ya Private ni shida tupu. Masaa manne mpaka Sasa mgonjwa bila huduma na Yuko serious.

Hivi Hawa madaktari Huwa haumwi? Unaweza kumchapa mtu risasi.

Wazee tutapambane kutafuta hela, tuishi mikoa yenye huduma muhimu. Hizi hospitali za serikali ni utopolo, wengi huku wanakufa Kwa kukosa huduma na hakuna anayejali.

Haya ninayojionea yanatia hasira
Acheni kutupia wa hudumu lawama tatizo ni serikali yenu isio wezesha hizo hospitali, huyu clinical ofisa unao muona analipwa sio zaidi ya laki saba......hana allowance yoyote na vitendea kazi ni duni. Unakuta hospitali kama hiyo haina hata gari la wagonjwa wala ICU unit, ajibusheni viongozi wenu acha kupokea rushwa na kuuza kura zenu
 
Hali ya mgonjwa nimepiga video Kwa kuibia wasinione. Huo mguu hauna nyama mpaka chini
IMG-20241115-WA0014.jpg
 
Tumia technology ikusaidie, rekodi Hao madaktari wanaoleta pozi afu rekodi na Hali ya mgonjwa, ukitupia jf kesho hao kenge hawana kazi, maana viongozi wetu hua hawachukui hatua mpaka watu wapige kelele jf/Twitter huko, viongozi na wenyewe wanapenda kiki tu...


Shenzi!
Nimetuma video hapo chini kaka
 
Acheni kutupia wa hudumu lawama tatizo ni serikali yenu isio wezesha hizo hospitali, huyu clinical ofisa unao muona analipwa sio zaidi ya laki saba......hana allowance yoyote na vitendea kazi ni duni. Unakuta hospitali kama hiyo haina hata gari la wagonjwa wala ICU unit, ajibusheni viongozi wenu acha kupokea rushwa na kuuza kura zenu
Wasiwasi wangu sijui kama umeisoma mada ukaielewa,kulipwa kwake Tsh 700,000/= kunamfanya ashindwe kuandika referral form mgonjwa awahishwe kupata matibabu?

Wao hawataki ambulance wala ICU wanachotaka wao mgonjwa wao aandikiwe rufaa wakamtibu mbele kwa mbele hiyo kwamba analipwa hivi analipwa vile kwao siyo habari ni wajibu wa daktari kutoa ushirikiano kwa mgonjwa.
 
Wasiwasi wangu kama umeisoma mada ukaielewa,kulipwa kwake Tsh 700,000/= kunamfanya ashindwe kuandika referral form mgonjwa awahishwe kupata matibabu?

Wao hawataki ambulance wala ICU wanachotaka wao mgonjwa wao aandikiwe rufaa wakamtibu mbele kwa mbele hiyo kwamba analipwa hivi analipwa vile kwao siyo habari ni wajibu wa daktari kutoa ushirikiano kwa mgonjwa.
Hana motisha no maana iko hivo,
 
Inaumiza sana unapokuwa na mgonjwa halafu unakutana na hiyo hali.
Acheni kutupia wa hudumu lawama tatizo ni serikali yenu isio wezesha hizo hospitali, huyu clinical ofisa unao muona analipwa sio zaidi ya laki saba......hana allowance yoyote na vitendea kazi ni duni. Unakuta hospitali kama hiyo haina hata gari la wagonjwa wala ICU unit, ajibusheni viongozi wenu acha kupokea rushwa na kuuza kura zenu
Upo sahihi kabisa.
 
(1) kama ni dharula sikubaliani na Hali hiyo
(2) Kama ni migonjwa mnayohifadhi siku linakuzidia unataka nesi ahangaike!
 
Back
Top Bottom