Hizi hospital za serikali omba Mungu sana usipelekwe huku ukiwa serious. Unaweza kufa na wahudumu wa afya Wala hawajali

Hizi hospital za serikali omba Mungu sana usipelekwe huku ukiwa serious. Unaweza kufa na wahudumu wa afya Wala hawajali

Mkuu, niliwahi kumpeleka mtt hospital ya mnazi mmoja zanzibar baada ya kupata ajali, tena ilikuwa usiku. Aisee wale wahudumu wa siku ile walikuwa kama malaika wameshushwa toka mbinguni. Imagine kitengo cha emergency kinavokuwa busy, tena usiku, lkn watu wanafanya kazi kwa uchangamfu utadhani mchana. Yaani km customer care wale niliwapa 100%
Kwa hio sio wafanyakazi wote wa hospital za serikali wapo hivyo, inategemea ntu na ntu
Zanzibar wako vizuri mkuu sio kama bara
 
Mimi mpaka leo nashindwa kuzielewa zahanati na kituo cha afya

Watumishi wanaofanya kazi kwenye hv vituo hasa huku kwetu ni changamoto sana,unakuta kuna tatzo ambalo zahanati wanaweza kukusaidia wanakwambia nenda kituo cha afya yaan wanajisikia kuchoka tu wanakupush mbele,afu kuna wengine usiku hawaamki,mnaweza kufia mlangoni kwake kabuda tu

Kituo cha afya nako ni vile vile,ukifika wakiwa hawana mood wanakusukuma mbele hata kama wanaweza kukusaidia,kuna kituo huku kwetu kina wauguzi wengi tu na Co wengi tu lakin cha ajabu kwa siku unakuta mmoja tu ndo anapga kaz wengine ni kupiga story tu sjui huu utaratibu walionaje kama unafaa,yaan huyo mmoja azalishe,bado asikilize wagonjwa wengine
 
Nje na mada, mimi kuna hospital kubwa ya mkoa pale tabora, baada ya kupita kusiko wakat naenda kutafuta pep kwakuwa ilikuwa mara yangu ya kwanza na sijui, waliniona boya ,wakaniomba elfu 70000, then sijui wawnde police mara wachukue pf3, 😂😂🤣 niliwaaga kuwa naenda kutafuta sikurudi.
 
Tumia technology ikusaidie, rekodi Hao madaktari wanaoleta pozi afu rekodi na Hali ya mgonjwa, ukitupia jf kesho hao kenge hawana kazi, maana viongozi wetu hua hawachukui hatua mpaka watu wapige kelele jf/Twitter huko, viongozi na wenyewe wanapenda kiki tu...


Shenzi!
I wish kila sekta Ingekuwa na plat form ya kutoa malalamiko
 
Mkuu, niliwahi kumpeleka mtt hospital ya mnazi mmoja zanzibar baada ya kupata ajali, tena ilikuwa usiku. Aisee wale wahudumu wa siku ile walikuwa kama malaika wameshushwa toka mbinguni. Imagine kitengo cha emergency kinavokuwa busy, tena usiku, lkn watu wanafanya kazi kwa uchangamfu utadhani mchana. Yaani km customer care wale niliwapa 100%
Kwa hio sio wafanyakazi wote wa hospital za serikali wapo hivyo, inategemea ntu na ntu

Nakubaliana na wewe siyo wote na ndiyo maana nikasema kuna possibility ya ma Dr wanaenda kupiga mishe nyingine zao na kuacha hospital bila ma Dr....Yaani imagine Dr mmoja anahudumia hospital nzima na wagonjwa wapo kibao ,mtu anaenda saa moja A.M anakuja kuonwa na Dr saa nane mchana.
 
Back
Top Bottom