Zanzibar wako vizuri mkuu sio kama baraMkuu, niliwahi kumpeleka mtt hospital ya mnazi mmoja zanzibar baada ya kupata ajali, tena ilikuwa usiku. Aisee wale wahudumu wa siku ile walikuwa kama malaika wameshushwa toka mbinguni. Imagine kitengo cha emergency kinavokuwa busy, tena usiku, lkn watu wanafanya kazi kwa uchangamfu utadhani mchana. Yaani km customer care wale niliwapa 100%
Kwa hio sio wafanyakazi wote wa hospital za serikali wapo hivyo, inategemea ntu na ntu
Wanajitahidi baadhi yaoZanzibar wako vizuri mkuu sio kama bara
πππWazee wanaobaki mjini baada ya kustaafu sio wajinga
Nashukuru kusikia hivyo Kaka ,poleni Sana kwa hayo ila Mungu ni mwema mama atapona na atapata tiba .Kaka nimewasiliana nao wanasema ndio wamepewa rufaa now. Mimi niliondoka kuja msibani. Maana kulikuwa na msiba na huyo alikuwa kwenye bodaboda kwenda msibani ndio akapata ajali
I wish kila sekta Ingekuwa na plat form ya kutoa malalamikoTumia technology ikusaidie, rekodi Hao madaktari wanaoleta pozi afu rekodi na Hali ya mgonjwa, ukitupia jf kesho hao kenge hawana kazi, maana viongozi wetu hua hawachukui hatua mpaka watu wapige kelele jf/Twitter huko, viongozi na wenyewe wanapenda kiki tu...
Shenzi!
Mkuu, niliwahi kumpeleka mtt hospital ya mnazi mmoja zanzibar baada ya kupata ajali, tena ilikuwa usiku. Aisee wale wahudumu wa siku ile walikuwa kama malaika wameshushwa toka mbinguni. Imagine kitengo cha emergency kinavokuwa busy, tena usiku, lkn watu wanafanya kazi kwa uchangamfu utadhani mchana. Yaani km customer care wale niliwapa 100%
Kwa hio sio wafanyakazi wote wa hospital za serikali wapo hivyo, inategemea ntu na ntu