Hizi jeuri za fedha Maulid Kitenge anazitoa wapi?

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Mzuka wanajamvi!

Huyu Mwamba Mungu amtangulie.

Hizi jeuri za pesa na matanuz anazitoa wapi?

Ikumbukwe kuna lindi la umaskini katika jamii yetu. Na hulka ya mtu mweusi ni chuki, uchawi, fitina, umbea na majungu. Punguzeni hizi jeuri na jazba

Maulid asidhanu tunafurahi kutanua na kula bata kwake. Tunamaindi kichiz. Lazima wote tuwe sawa bana.

Yani jamaa hatulii utadhani jamii ya kuku anataga.

Leo yuko Sweden, kesho Australia keshokutwa marekani. Wakati sisi wingine kajamba nani kufika Nyarugusu tu ama Bukombe ni shughuli. Halafu anaposti mapichamapicha na kutuzidishia maumivu.

Maulid juwa hatupendezwi. Mmatumbi kikawaida siyo mchawi lakini kuna sababu zinampelekea kuwa mchawi na kuroga. Tunakula mara moja baada ya siku tatu halafu mnaturingishia lazima turoge tu wote tuwe sawa.

Kuleni bata kimya kimya huko na jeuri zenu za fedha sijui mnatowa wapi.

 
Maisha ni kuchagua tu unaweza kuwa na pesa nyingi lakini usijue ku enjoy life na wako kina Kitenge wanajiongeza tu kujenga brand zao lakini wana enjoy maisha yao. Napenda life style yake maisha yenyewe haya acha afurahi tu. Hongera Kitenge kama tuna wivu basi tunakuonea ule wa kimaendeleo kutaka kuwa kama wewe kwenye trip zako.
 
Yele jamaa Binafsi nilimpuuza.

MTU YOYOTE mwenye Hela Huwa anafanya UWEKEZAJI na si MATUMIZI ya anasa.

TUNAONA WATU WENYE Hela Wana Miradi ya maana SIO Kila siku safari..

MASIKINI AKIPATA MATKO HULIA MBWATA.
 
Hiyo hotel inaonekana ni ya nchi ya kiarabu.
 
Aleza vzr acha kutetemeka
 
ALIPOMZUIA YULE POLISI ALIETAKA KUMPIGA BASTOLA MH NAPE MBONA UKUJA KUULIZA ALIPATA WAPI UJASIRI KUMRUDISHA NYUMA...UNATAKA KUJUA ANAPATA WAPI HELA
VINGINEE NYOTA NDUGU WE TUPAMBANE PALEEE BUGURN NA NDIIZI ZETU MPAKA ZIISHE TUTATOKA TU
Tuko pamoja Broo huyo ni kitengo kitenge
 

Kama unataka kula hizo bata, fungua tundu tu!!!
Mbona Miami itakuwa ni chooni tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…