King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
+ DÉBORA USA =
Nakubaliana na Da Mange ,Kitenge anachukua mademu wenye fedha tu na kweli anawachuna na ndiyo maana muda mwingi anafanya mazoezi ya kukimbia aongeze stamina ya kuchakata.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
+ DÉBORA USA =
Sio kila swali ni wivu au chuki? Muda una tabia mbaya ya kutuumbua
Tafuta zako uwekeze...Yele jamaa Binafsi nilimpuuza.
MTU YOYOTE mwenye Hela Huwa anafanya UWEKEZAJI na si MATUMIZI ya anasa.
TUNAONA WATU WENYE Hela Wana Miradi ya maana SIO Kila siku safari..
MASIKINI AKIPATA MATKO HULIA MBWATA.
Sasa unampangia mtu namna ya kutumia pesa yake? Ipangie serikali inayokusanya kodi yako.Yele jamaa Binafsi nilimpuuza.
MTU YOYOTE mwenye Hela Huwa anafanya UWEKEZAJI na si MATUMIZI ya anasa.
TUNAONA WATU WENYE Hela Wana Miradi ya maana SIO Kila siku safari..
MASIKINI AKIPATA MATKO HULIA MBWATA.
Wanawake wamama wenyewe wanashoboka ile jina wenyewe wanakuambia brand sjui 😄Kitenge Super Marioo ,Msingi Kiuno.
Wanawake wamama wenyewe wanashoboka ile jina wenyewe wanakuambia brand sjui 😄
Ova
Kitenge mlengaji hawa wanawake ombaomba wapiga mizinga hawatakiKabisa brand yake mademu wanashoboka wenyewe ,jamaa anafata hela tu ,nikimwangalia Deborah na Mwanaidi naona ni mademu wa kawaida sema ndiyo hivyo wana maokoto.
Nusrat Hanje(Mbunge) naye kaingia KING kwa Super Mario atachotwa mihela hadi akome.
Sasa kama hanje kwa wanaomjuwa miaka 10 huko nyuma kalikuwa kawaida tu na harakati zake,kawa mbunge kajitupiatupia kajuwa kujiweka sawa watu wamemuona 😄Kabisa brand yake mademu wanashoboka wenyewe ,jamaa anafata hela tu ,nikimwangalia Deborah na Mwanaidi naona ni mademu wa kawaida sema ndiyo hivyo wana maokoto.
Nusrat Hanje(Mbunge) naye kaingia KING kwa Super Mario atachotwa mihela hadi akome.
Kitenge mlengaji hawa wanawake ombaomba wapiga mizinga hawataki
Ova
Kitenge yuko sawa kabisaAnazingatia Maokoto na mademu wetu hawa wanavyopenda BRAND hawaambiliki.
Sasa kama hanje kwa wanaomjuwa miaka 10 huko nyuma kalikuwa kawaida tu na harakati zake,kawa mbunge kajitupiatupia kajuwa kujiweka sawa watu wamemuona 😄
Ova
Ndy mke tayari kwa mwambaKabisa ameonekana ubonge umeisha kawa model,Kitenge anasubiria tu 270m za kiinua mgongo azitafune... 😀 😀
Plus kampeni ya ngoro ngoro ilivyofana kipindi kile WAZEE WA IKOLOJIA!Si anafanya kazi na udalali wa bandari yetu. Pesa lazima awe nazo tu
Kitenge yuko sawa kabisa
Acha awatandike tu
Hawa wanawake wenyewe hawajielewi
Ova
Manara ni biashara ile 😄Kabisa hawajielewi ,jamaa amemzidi hadi manara kwa kuoa.
Watu wabunifu sana na ndiyo maana inarushwa kwenye TV Live kumbe kashakusanya maokoto kutoka kwa wadhamini.Manara ni biashara ile 😄
Si anajuwa atachangiwa,manara brand
Maana siku hizi bongo mtu anakuambia mm nn brand
Ova
This is an end of his cunning games 😂 😂 😂 😂 😂Kitenge Super Marioo ,Msingi Kiuno.
Dada mange katoboa Siri !!! Wapo wawekezaji.... Mapato ya fedheha... Yaani kudanga... According to taarifa alizotunyetisha dada wa taifa !!Wabongo watakuja kusema hapo kuna mwekezaji. hawakosi kuzusha. ila wale vijana watatu wanakera kuliko hata ccm, wanajali matumbo yao na hawaangalii future yao itakuwaje akija rais ambaye sio mwanaccm.