Hizi jeuri za fedha Maulid Kitenge anazitoa wapi?

Hizi jeuri za fedha Maulid Kitenge anazitoa wapi?

Wanawake wamama wenyewe wanashoboka ile jina wenyewe wanakuambia brand sjui 😄

Ova

Kabisa brand yake mademu wanashoboka wenyewe ,jamaa anafata hela tu ,nikimwangalia Deborah na Mwanaidi naona ni mademu wa kawaida sema ndiyo hivyo wana maokoto.

Nusrat Hanje(Mbunge) naye kaingia KING kwa Super Mario atachotwa mihela hadi akome.
 
Kabisa brand yake mademu wanashoboka wenyewe ,jamaa anafata hela tu ,nikimwangalia Deborah na Mwanaidi naona ni mademu wa kawaida sema ndiyo hivyo wana maokoto.

Nusrat Hanje(Mbunge) naye kaingia KING kwa Super Mario atachotwa mihela hadi akome.
Kitenge mlengaji hawa wanawake ombaomba wapiga mizinga hawataki

Ova
 
Kabisa brand yake mademu wanashoboka wenyewe ,jamaa anafata hela tu ,nikimwangalia Deborah na Mwanaidi naona ni mademu wa kawaida sema ndiyo hivyo wana maokoto.

Nusrat Hanje(Mbunge) naye kaingia KING kwa Super Mario atachotwa mihela hadi akome.
Sasa kama hanje kwa wanaomjuwa miaka 10 huko nyuma kalikuwa kawaida tu na harakati zake,kawa mbunge kajitupiatupia kajuwa kujiweka sawa watu wamemuona 😄

Ova
 
Sasa kama hanje kwa wanaomjuwa miaka 10 huko nyuma kalikuwa kawaida tu na harakati zake,kawa mbunge kajitupiatupia kajuwa kujiweka sawa watu wamemuona 😄

Ova

Kabisa ameonekana ubonge umeisha kawa model,Kitenge anasubiria tu 270m za kiinua mgongo azitafune... 😀 😀
 
Kama ni muislamu na wanawake ni waislamu na hawajazidi wanne..sioni kosa hapo..kama na ww unaweza chekecha upate pisi..us au mbunge...umuoe umle sawasawa au uwe na jina kama la kitenge..
Mambo mengine sio marahisi kama yanavyoonekana

Pambana upande wako...! Kama wewe ni master kinachotakiwa ni noti tu..hapa bongo watu wanatajirika kwa kushonwa..sembuse yeye anashona...?
 
Wabongo watakuja kusema hapo kuna mwekezaji. hawakosi kuzusha. ila wale vijana watatu wanakera kuliko hata ccm, wanajali matumbo yao na hawaangalii future yao itakuwaje akija rais ambaye sio mwanaccm.
Dada mange katoboa Siri !!! Wapo wawekezaji.... Mapato ya fedheha... Yaani kudanga... According to taarifa alizotunyetisha dada wa taifa !!
 
Back
Top Bottom