Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KITENGE TV ,COMENTETA DSTV na UDALALI wa DIPIWODI unamlipa.
Ngada?Mzuka wanajamvi!
Huyu Mwamba Mungu amtangulie.
Hizi jeuri za pesa na matanuz anazitoa wapi?
Ikumbukwe kuna lindi la umaskini katika jamii yetu. Na hulka ya mtu mweusi ni chuki, uchawi, fitina, umbea na majungu. Punguzeni hizi jeuri na jazba
Maulid asidhanu tunafurahi kutanua na kula bata kwake. Tunamaindi kichiz. Lazima wote tuwe sawa bana.
Yani jamaa hatulii utadhani jamii ya kuku anataga.
Leo yuko Sweden, kesho Australia keshokutwa marekani. Wakati sisi wingine kajamba nani kufika Nyarugusu tu ama Bukombe ni shughuli. Halafu anaposti mapichamapicha na kutuzidishia maumivu.
Maulid juwa hatupendezwi. Mmatumbi kikawaida siyo mchawi lakini kuna sababu zinampelekea kuwa mchawi na kuroga. Tunakula mara moja baada ya siku tatu halafu mnaturingishia lazima turoge tu wote tuwe sawa.
Kuleni bata kimya kimya huko na jeuri zenu za fedha sijui mnatowa wapi.
+ DÉBORA USA =
Msake mange kimambi anakuambia kila kituMzuka wanajamvi!
Huyu Mwamba Mungu amtangulie.
Hizi jeuri za pesa na matanuz anazitoa wapi?
Ikumbukwe kuna lindi la umaskini katika jamii yetu. Na hulka ya mtu mweusi ni chuki, uchawi, fitina, umbea na majungu. Punguzeni hizi jeuri na jazba
Maulid asidhanu tunafurahi kutanua na kula bata kwake. Tunamaindi kichiz. Lazima wote tuwe sawa bana.
Yani jamaa hatulii utadhani jamii ya kuku anataga.
Leo yuko Sweden, kesho Australia keshokutwa marekani. Wakati sisi wingine kajamba nani kufika Nyarugusu tu ama Bukombe ni shughuli. Halafu anaposti mapichamapicha na kutuzidishia maumivu.
Maulid juwa hatupendezwi. Mmatumbi kikawaida siyo mchawi lakini kuna sababu zinampelekea kuwa mchawi na kuroga. Tunakula mara moja baada ya siku tatu halafu mnaturingishia lazima turoge tu wote tuwe sawa.
Kuleni bata kimya kimya huko na jeuri zenu za fedha sijui mnatowa wapi.
Ana wanawake wanamlea , angalia Mange ameposti wanawake wawili wanaomlea ,bado wa hapa bongo wanaomlea.Mzuka wanajamvi!
Huyu Mwamba Mungu amtangulie.
Hizi jeuri za pesa na matanuz anazitoa wapi?
Ikumbukwe kuna lindi la umaskini katika jamii yetu. Na hulka ya mtu mweusi ni chuki, uchawi, fitina, umbea na majungu. Punguzeni hizi jeuri na jazba
Maulid asidhanu tunafurahi kutanua na kula bata kwake. Tunamaindi kichiz. Lazima wote tuwe sawa bana.
Yani jamaa hatulii utadhani jamii ya kuku anataga.
Leo yuko Sweden, kesho Australia keshokutwa marekani. Wakati sisi wingine kajamba nani kufika Nyarugusu tu ama Bukombe ni shughuli. Halafu anaposti mapichamapicha na kutuzidishia maumivu.
Maulid juwa hatupendezwi. Mmatumbi kikawaida siyo mchawi lakini kuna sababu zinampelekea kuwa mchawi na kuroga. Tunakula mara moja baada ya siku tatu halafu mnaturingishia lazima turoge tu wote tuwe sawa.
Kuleni bata kimya kimya huko na jeuri zenu za fedha sijui mnatowa wapi.
Debora analipia "dyudyu" toka Tanzania to USA? AMEKOSA WABONGO wabeba maboksi kweli?Alikua anatoa jeuri kwa debora
Alikua anatoa jeuri kwa debora
mdangajiJibu liko kwa Mange.. 😂😂😂😂😂
Maghayo 🤣Debora analipia "dyudyu" toka Tanzania to USA? AMEKOSA WABONGO wabeba maboksi kweli?
mie had napata ukakasi mdomoni ujue..arghAlikua anatoa jeuri kwa debora
Kwaninimie had napata ukakasi mdomoni ujue..argh
Pakawa naomba unitabirie ni lini CCM itaondoka madarakani!Atazilipa soon
How.. amekanyaga ganda la ndizi kuwakebehi WaTanganyika
Muda utaongea vizuri
Mrs Besyige ukakasi wa nini? Zile transaction kutoka kwa Debora? Alikuwa anamwagilia maji penzi jamani.mie had napata ukakasi mdomoni ujue..argh
Mzuka wanajamvi!
Huyu Mwamba Mungu amtangulie.
Hizi jeuri za pesa na matanuz anazitoa wapi?
Ikumbukwe kuna lindi la umaskini katika jamii yetu. Na hulka ya mtu mweusi ni chuki, uchawi, fitina, umbea na majungu. Punguzeni hizi jeuri na jazba
Maulid asidhanu tunafurahi kutanua na kula bata kwake. Tunamaindi kichiz. Lazima wote tuwe sawa bana.
Yani jamaa hatulii utadhani jamii ya kuku anataga.
Leo yuko Sweden, kesho Australia keshokutwa marekani. Wakati sisi wingine kajamba nani kufika Nyarugusu tu ama Bukombe ni shughuli. Halafu anaposti mapichamapicha na kutuzidishia maumivu.
Maulid juwa hatupendezwi. Mmatumbi kikawaida siyo mchawi lakini kuna sababu zinampelekea kuwa mchawi na kuroga. Tunakula mara moja baada ya siku tatu halafu mnaturingishia lazima turoge tu wote tuwe sawa.
Kuleni bata kimya kimya huko na jeuri zenu za fedha sijui mnatowa wapi.
Vijiweni huwa mnalishana matango pori kweli kweli.Tuko pamoja Broo huyo ni kitengo kitenge
Sio kila swali ni wivu au chuki? Muda una tabia mbaya ya kutuumbuaBro punguza chuki na wewe utafanikiwa tu