Hizi jeuri za fedha Maulid Kitenge anazitoa wapi?

Hizi jeuri za fedha Maulid Kitenge anazitoa wapi?

Mzuka wanajamvi!

Huyu Mwamba Mungu amtangulie.

Hizi jeuri za pesa na matanuz anazitoa wapi?

Ikumbukwe kuna lindi la umaskini katika jamii yetu. Na hulka ya mtu mweusi ni chuki, uchawi, fitina, umbea na majungu. Punguzeni hizi jeuri na jazba

Maulid asidhanu tunafurahi kutanua na kula bata kwake. Tunamaindi kichiz. Lazima wote tuwe sawa bana.

Yani jamaa hatulii utadhani jamii ya kuku anataga.

Leo yuko Sweden, kesho Australia keshokutwa marekani. Wakati sisi wingine kajamba nani kufika Nyarugusu tu ama Bukombe ni shughuli. Halafu anaposti mapichamapicha na kutuzidishia maumivu.

Maulid juwa hatupendezwi. Mmatumbi kikawaida siyo mchawi lakini kuna sababu zinampelekea kuwa mchawi na kuroga. Tunakula mara moja baada ya siku tatu halafu mnaturingishia lazima turoge tu wote tuwe sawa.

Kuleni bata kimya kimya huko na jeuri zenu za fedha sijui mnatowa wapi.

Bongo ili uonekane huna Hela inakubidi usiweke wazi kila ulifanyalo 😏
 
Mzuka wanajamvi!

Huyu Mwamba Mungu amtangulie.

Hizi jeuri za pesa na matanuz anazitoa wapi?

Ikumbukwe kuna lindi la umaskini katika jamii yetu. Na hulka ya mtu mweusi ni chuki, uchawi, fitina, umbea na majungu. Punguzeni hizi jeuri na jazba

Maulid asidhanu tunafurahi kutanua na kula bata kwake. Tunamaindi kichiz. Lazima wote tuwe sawa bana.

Yani jamaa hatulii utadhani jamii ya kuku anataga.

Leo yuko Sweden, kesho Australia keshokutwa marekani. Wakati sisi wingine kajamba nani kufika Nyarugusu tu ama Bukombe ni shughuli. Halafu anaposti mapichamapicha na kutuzidishia maumivu.

Maulid juwa hatupendezwi. Mmatumbi kikawaida siyo mchawi lakini kuna sababu zinampelekea kuwa mchawi na kuroga. Tunakula mara moja baada ya siku tatu halafu mnaturingishia lazima turoge tu wote tuwe sawa.

Kuleni bata kimya kimya huko na jeuri zenu za fedha sijui mnatowa wapi.

Anapumu....LIWA
Ni tetesi tu usiwazingatie walimwengu, mbona hajawahi kusafiri na familia? Au hata mkewe?
 
Yele jamaa Binafsi nilimpuuza.

MTU YOYOTE mwenye Hela Huwa anafanya UWEKEZAJI na si MATUMIZI ya anasa.

TUNAONA WATU WENYE Hela Wana Miradi ya maana SIO Kila siku safari..

MASIKINI AKIPATA MATKO HULIA MBWATA.
We una uhakika gani hajawekeza? Au hadi akutangazie?
 
Gari la kawaida,njooni hapa Morocco mchana muone watu wanapita na gari Kali,mbona hio ya kuendea sokoni
 
Eti huku mtaani kwetu tandale, maskani yetu chaka bovu,, kuna wana nimewasikia kuwa mwamba mitikasi anauza chakusongea ugali Eti,,, 🤔
 
Back
Top Bottom