Hizi jeuri za fedha Maulid Kitenge anazitoa wapi?

Hizi jeuri za fedha Maulid Kitenge anazitoa wapi?

Mzuka wanajamvi!

Huyu Mwamba Mungu amtangulie.

Hizi jeuri za pesa na matanuz anazitoa wapi?

Ikumbukwe kuna lindi la umaskini katika jamii yetu. Na hulka ya mtu mweusi ni chuki, uchawi, fitina, umbea na majungu. Punguzeni hizi jeuri na jazba

Maulid asidhanu tunafurahi kutanua na kula bata kwake. Tunamaindi kichiz. Lazima wote tuwe sawa bana.

Yani jamaa hatulii utadhani jamii ya kuku anataga.

Leo yuko Sweden, kesho Australia keshokutwa marekani. Wakati sisi wingine kajamba nani kufika Nyarugusu tu ama Bukombe ni shughuli. Halafu anaposti mapichamapicha na kutuzidishia maumivu.

Maulid juwa hatupendezwi. Mmatumbi kikawaida siyo mchawi lakini kuna sababu zinampelekea kuwa mchawi na kuroga. Tunakula mara moja baada ya siku tatu halafu mnaturingishia lazima turoge tu wote tuwe sawa.

Kuleni bata kimya kimya huko na jeuri zenu za fedha sijui mnatowa wapi.

Kwa spirit hii… utakufa domo wazi
 
Mwamba kumbe anatembelea nyota za wanawake...anaoaoa wamama - mishangazi...inamlea...Waswahili wajanjajanja sana....inasikitisha.Maisha ya kujipachika kwa mimama na kula pesa zao...Hatari sana
 
Back
Top Bottom